Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua duka la madawa kakaHello.
Nina million 2.
Nina mke na mtoto.
Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge.
Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu.
So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas ya Hii hela ili niipandishe niondoke home.
Nataka niende mkoa
Msaada Jamanj.
Nilikuwa na hiyo mil2 kichwa kiliniuma lakn nikaona isiwe taabu.....nikanunua bodabada na maisha yalisonga......iko hivi ukiomba ushauri kwa watu na wao watakupa ushauri kulingana na maisha wanayoishi,waliyoyaona au kupitia waoHello.
Nina million 2.
Nina mke na mtoto.
Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge.
Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu.
So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas ya Hii hela ili niipandishe niondoke home.
Nataka niende mkoa
Msaada Jamanj.
mkopo unachukua muda gani hadi kwishauna account ya nmb?
kama jibu ndio Fanya hivi.
jisajili kwenye kikundi chochote Cha Bajaj kupitia cmpd.
toa 1.5m weka bank ya nmb omba mkopo wa Bajaj
kwenye 500000 toa 150000 kwa ajili ya leseni.
marejesho ni 91000 kwa wiki
ukiwa mfanya kazi kwa siku una uhakika wa kusave 20k
Nakuona Pumbuz tuu baada ya laki yangu kusepaBet lost
Miaka miwilimkopo unachukua muda gani hadi kwisha
Ha!ha!ha!Ulikuwa unampoteza mwenzako [emoji23]
Angekuwa kala mtaji maskini
Huo mtaji kwa car wash mdogo sana! Usikurupuke kama huwezi kushauriUkifungua car wash!?? Unaonaje
Kwa umeme upi?Kaka, upo kwenye biashara ya samaki ? ,Nikiwa na mtaji wa 3 mil,nikafungua butcher ya kuuza samaki nitatoboa kweli ? Freezer ninalo na frame ipo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Taifa stars walielekezwa kwa mganga wa Yanga 😅👍🏾Jana uganda wanacheza kama wamebeba magogo bwana
Kuna mama huwa namuona hapa mtaani kwetu nasikia anatokea Buza, ndo anapoishi ila anakuja kufanyia biashara zake Mikocheni. Anauza Vitafunwa. Kipande cha muhogo cha kukaanga anauza shilingi 250. Anakaanga mihogo mingi mizuri sana na viazi na kachumbari safi! Yote huwa inaisha na watu wanaenda kununua na magari. Sio Mihogo na viazi tu. Kuna Sambusa, maandazi na Chapati.Hello.
Nina million 2.
Nina mke na mtoto.
Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge.
Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu.
So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas ya Hii hela ili niipandishe niondoke home.
Nataka niende mkoa
Msaada Jamanj.
Huu wa Tanesco mkuu,huku haukatikiKwa umeme upi?
Wazo zuri Kamongo Ila ongeza minofu kidogo kuhusu a b c za huu mpango WA mabondoNjoo Kanda ya ziwa uwe chinga wa mabondo ya sangara
Hawezi, itakuwa huwajui watanzania wewe
Umeniwahi tu mkuu nilitaka niseme hivyo hivyo, watu kama hawa ukiwasikiliza unaweza kufa na stress.Typical JF comment hii
Yani unataka kusema hamna biashara za 2M?
Unaonaje utafute sehem ufunge saloon ya kike?
Amchinje tuu taifa stars ijumaa maisha ameyapatia
1X, playmaster, betpawa, betway, sportpesa....Hello.
Nina million 2.
Nina mke na mtoto.
Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge.
Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu.
So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas ya Hii hela ili niipandishe niondoke home.
Nataka niende mkoa
Msaada Jamanj.
Unauza kama chakula cha kukuTatizo dagaa wanabadilikaga na kuwa pumba
1X, playmaster, betpawa, betway, sportpesa....
Wiki moja umezalisha 3m nyingine
Karibu sanaUtanifundisha kubet