ntajaribu mkuu, but hivi vitu vinakatisha tamaa, mfano nimejitolea tu hapa kushauri watu bure lakini wameibuka watu wengine hao na kuanza kuaribu uzi utadhani hapa mim labda nalipwa.Asante kwa shule wakili msomi.
Pia unaweza ukapanga siku ukachambua mada moja tu kuhusu sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaha mimi mwaka wangu wa kwanza kuanza kupractice tayari nilipeleka kesi mahakama ya rufaa na kwa maombi maalum nikakubaliwa kusimama mule, though sheria inataka wakili aanzie miaka mitano.We mwehu kweli kweli naona nisikujibu tena mana kichwa maji bumunda...
Nyie watu kama nyie ndo inabidi majaji wawapige suspensions mrudi tena shuleni hamfai kupractice law.
Shukrani Sana mkuu kwa ufafanuzi,nilikuwa nakasirika sana hakimu akisema hautakiwi kujibu chochote kumbe lengo ndio hilo,Kudos!well, mkuu swali zuri sanaa, kisheria hiko hivi, kuna makosa ambayo yanapelekwa mahakama kuu tu kama mauaji, uhaini, ufisadi wa pesa kubwa na madawa ya kiasi kikubwa lakini pia nyara za serikali, sasa makosa haya yote ni jinai, na kwa mujibu wa sheria za jinai hakuna kesi yoyote itakayopelekwa mahakama kuu moja kwa moja pasipo kupitia mahakama ya wilaya au hakimu mkazi, lengo na maudhui ni kukamilisha ushahidi na utaratibu wote utakao tumika mahakama kuu.
kwaio utaona mshtakiwa anaambiwa na hakimu kua "mshitakiwa mahakama hii haina uwezo wa kusikiliza kesi hii, hapa imekuja kwa maulizo na hautopaswa kusema chochote",,, sasa akishaambiwa hivi upande wa mashtaka/jamhuri utamsomea orodha ya mashahidi watakao toa ushahidi wao mahakama kuu, utamsomea vile vile vizibiti vitakavyotumika kama ushahidi, hatua hii kisheria huitwa PI-Preliminary Inquiries, then wakimaliza utaritibu huu, file linachukuliwa kama lilivyo linapelekwa mahakama kuu kwa ajili ya kuanza kusikilizwa rasmi.
sasa kisheria ktk masikilizo ya kesi yoyote ya jinai ni lazima kuwe na masikilizano ya awali ambayo huitwa Preliminary Hearing ambapo hii ina dhima ya kusave muda ambapo kuna vitu mshitakiwa ata vikubali na havitazungumziwa tena kwenye kesi na kuna document hapa inaitwa Memorundum of agreed facts itasainiwa na mshitakiwa.
well hio hua ni hatua nzuri sanaa, cha msingi unapaswa kuchukua hio judgement ambayo ilimkuta na hatia huyo mtu ktk trafic case hio ambayo alikutwa na hatia, then unaenda kufungua kesi ktk mahakama ya hakimu mkazi kudai fidia kutokana na ajali iliyosababishwa na uzembe barabarani.Ni hatua gani za kufuata ili nilipwe baada ya mshatakiwa aliyenigonga na gari kushindwa kesi ya kuendesha gari kwa njia ya uzembe amekwenda jela mwaka mmoja
Unaweza kukataa kutoa maelezo mpaka ufanye mawasiliano na mwanasheria wako au ndugu.. Askari anapaswa ajitambulishe anapokukamata.. 3. Unapokabiridhi mali zako lazima uorodheshe mali zako kwenye detention Register,na nakala unabaki nayo. Na hyo detention isainiwe na askari wa Zamu.Mimi nataka kujua haki za raia kipindi unatamatwa na polisi,
Na ukifikishwa kituoni kipi kinatakiwa nifanye na nisifanyiwe nini? maana kuna kupigwa siunajua wengine hatujui kunyenyekea na polisi wanapenda tuwaone superior.
Ivi did you study law kweli ww?hahahahaha anyway nimesikitika, kwanza umejifanya ni mjuaji kiasi ukakosa heshima kwangu tangu awali, pili ni swali ulilouliza hahahaha hili swali niliulizwa wakati nimemaliza criminal procedures ii almost miaka kama kumi hivi iliyopita,,, kwa majigambo na mbwembwe zako nilijua utaleta boongeee la swali, but umeni disapoint kabisaa, anyway
s.91 ya CPC ambayo inampa power dpp kuiondoa kesi ktk stage yoyote ile chini ya nolle prosequi, na kwa bahati mbaya au nzuri sheria hii haijataja remedies zozote juu ya nolle na kwa kua ni inaondoa kesi kabisa ktk mahakama na haiwezi kua rendered as aetrofois, there is no way accused akaimove mahakama kuhusiana na swala hilo kwakua hana tena ground za kisheria,,, ila kama Republic wangeiondoa case hio kwa 255 ndio remedies zingeweza kupatikana.
Assume kwamba sitaki kutoa maelezo yoyote kabisa isipokua personal particulars apo je?Unaweza kukataa kutoa maelezo mpaka ufanye mawasiliano na mwanasheria wako au ndugu.. Askari anapaswa ajitambulishe anapokukamata.. 3. Unapokabiridhi mali zako lazima uorodheshe mali zako kwenye detention Register,na nakala unabaki nayo. Na hyo detention isainiwe na askari wa Zamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahaah certificate of law uliyoipata university of bagamoyo bado haiwezi kukusaidia lolote, kwaio pale haujanielewa sio?Ivi did you study law kweli ww?
Unaonekana mtupu sana wewe.
Nimekuuliza iwapo Government wameingia Nolle kwenye incurably defective charge....nini remedy kwa jamaa wa defense???
Jibu swali sasa
Sio tunaharibu kmk unalisha wadau matango pori unataka tukuache tu uwalishe mpk wavimbiwe???ntajaribu mkuu, but hivi vitu vinakatisha tamaa, mfano nimejitolea tu hapa kushauri watu bure lakini wameibuka watu wengine hao na kuanza kuaribu uzi utadhani hapa mim labda nalipwa.
255 ya CPA inasemaje kwani?hahahahaha anyway nimesikitika, kwanza umejifanya ni mjuaji kiasi ukakosa heshima kwangu tangu awali, pili ni swali ulilouliza hahahaha hili swali niliulizwa wakati nimemaliza criminal procedures ii almost miaka kama kumi hivi iliyopita,,, kwa majigambo na mbwembwe zako nilijua utaleta boongeee la swali, but umeni disapoint kabisaa, anyway
s.91 ya CPC ambayo inampa power dpp kuiondoa kesi ktk stage yoyote ile chini ya nolle prosequi, na kwa bahati mbaya au nzuri sheria hii haijataja remedies zozote juu ya nolle na kwa kua ni inaondoa kesi kabisa ktk mahakama na haiwezi kua rendered as aetrofois, there is no way accused akaimove mahakama kuhusiana na swala hilo kwakua hana tena ground za kisheria,,, ila kama Republic wangeiondoa case hio kwa 255 ndio remedies zingeweza kupatikana.
hahahahaha wewe una trauma, iv uko sawa kabisaa? swali ilo aliliiuliza mtu mwingine, na huyu alimjibu huyo mtu, then wewe unaliendeleza tena kwa niaba ya yule alieuliza mwanzo wee unajua yule alieuliza alikua anataka kujua nin? kwanini na wewe usiulize tu swali lako? alaf inakuaje wewe unataka kujibu humu kila sms?Assume kwamba sitaki kutoa maelezo yoyote kabisa isipokua personal particulars apo je?
hahahahaa okei nakupa laki moja hapa hapa kama kuna sehemu nimekosea au nimeshauri sivyo then hawa ni mashahidi wanaona, natoa kweli.Sio tunaharibu kmk unalisha wadau matango pori unataka tukuache tu uwalishe mpk wavimbiwe???
Kmk,hahahahahaah certificate of law uliyoipata university of bagamoyo bado haiwezi kukusaidia lolote, kwaio pale haujanielewa sio?
hahahaha sasa pale juu napo ulisema sijajibu swali, alieuliza kasoma kasema ndio kitu alichokua anahitaji kujua, sasa angalia inavyosikitisha layman anaelewa haraka kuliko wewe mwenye cheti, its so sad, sijui diploma utaelewa vp? degree ndio utaweza kweli?
sidhani kama nnaweza kulijibu swali lako lolote, na matter of the fact nimeamua nisisome text yoyote utakayo i type hapa.
Nimefunguliwa kesi ya madai iliyotokana na traffic case na imekuja kwangu binafsi na kwa bima, je nini cha kufanya hapo?Muda ni leo Jumamosi mpaka jumapili tu (16-17 february 2019).
wakili.
255 ya CPA inasemaje kwani?
Nyie ndo wale wa ndioooo.Dogo kuanzisha uzi jf wala hakuhitaji malipo
Kwanini usianzishe uzi wako wadau wapo watakufata tu kuuliza shida zao. Apa unatuzingua tu ata km kuna sehem mtoa uzi ameteleza tunarekebishana kisomi sio kuattack mtu.
Huo unaofanya ni utoto na sio usomi.
Damn it
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo wale wa ndioooo.
Kwanza mimi sio "msomi" kama wewe na yeye.
Ila kama analisha matango pori lazima aambiwe ili asipotoshe wadau au unataka kusema mm sio mzalendo??