Ushauri:CHADEMA na wanaharakati mbalimbali, wakati umefika Mdude apewe tuzo ya ushujaa katika siasa za mapambano na harakati za kupigania haki za watu

Ushauri:CHADEMA na wanaharakati mbalimbali, wakati umefika Mdude apewe tuzo ya ushujaa katika siasa za mapambano na harakati za kupigania haki za watu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Wadau, kwa sasa, huyu bwana bila shaka ndio anaeongoza kwa kupata misukosuko kutoka na harakati za kisiasa pampja na kupinga uovu wanaofanyiwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasio wanasiasa.

Kwa ujasiri aliona na utayari mkubwa alinao wa kubeba gharama ya hii kazi hata ikibidi kwa kupoteza maisha yake, nashauri chama chake cha CHADEMA kwa kushirikiana na wanaharakati wa haki za binadamu, wamuandalie tuzo ya kutambua juhudi zake na mchango wake katika mapambano ya kupigania haki za wengine pamoja na kushiriki siasa za mapambano zinazolenga kuikomboa nchi yetu na utawala huu wa CCM usiofaa hata kidogo kuendelea kubaki madarakani.

Mdude ni mwanasiasa na pia ni mwanaharakati wa kupigania haki za watu wengine. Atambuliwe sasa.

Tumpe mau yake angali yu hai.
 
😂😂😂

Kwa Sababu Tundu Lisu kamsifia Shujaa Magufuli Sasa umehamia kwa Mdude

We Jamaa Hatari na Nusu 🐼
 
Wadau, kwa sasa, huyu bwana bila ndio anaeongoza kwa kupata misukosuko kutoka na harakati za kisiasa pampja na kupinga uovu wanaofanyiwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasio wanasiasa.

Kwa ujasiri aliona na utayari mkubwa alinao wa kubeba gharama ya hii kazi hata ikibidi kwa kupoteza maisha yake, nashauri chama chake cha CHADEMA kwa kushirikiana na wanaharakati wa haki za binadamu, wamuandalie tuzo ya kutambua juhudi zake na mchango wake katika mapambano ya kupigania haki za wengine pamoja na kushiriki siasa za mapambano zinazolenga kuikomboa nchi yetu na utawala huu wa CCM usiofaa hata kidogo kuendelea kubaki madarakani.

Mdude ni mwanasiasa na pia ni mwanaharakati wa kupigania haki za watu wengine. Atambuliwe sasa.

Tumpe mau yake angali yu hai.
Sana.
 
Wadau, kwa sasa, huyu bwana bila ndio anaeongoza kwa kupata misukosuko kutoka na harakati za kisiasa pampja na kupinga uovu wanaofanyiwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasio wanasiasa.

Kwa ujasiri aliona na utayari mkubwa alinao wa kubeba gharama ya hii kazi hata ikibidi kwa kupoteza maisha yake, nashauri chama chake cha CHADEMA kwa kushirikiana na wanaharakati wa haki za binadamu, wamuandalie tuzo ya kutambua juhudi zake na mchango wake katika mapambano ya kupigania haki za wengine pamoja na kushiriki siasa za mapambano zinazolenga kuikomboa nchi yetu na utawala huu wa CCM usiofaa hata kidogo kuendelea kubaki madarakani.

Mdude ni mwanasiasa na pia ni mwanaharakati wa kupigania haki za watu wengine. Atambuliwe sasa.

Tumpe mau yake angali yu hai.
Mdude ni Daudi wa Nyakati hizi.

Yule bwana ana Mungu
 
Wadau, kwa sasa, huyu bwana bila ndio anaeongoza kwa kupata misukosuko kutoka na harakati za kisiasa pampja na kupinga uovu wanaofanyiwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasio wanasiasa.

Kwa ujasiri aliona na utayari mkubwa alinao wa kubeba gharama ya hii kazi hata ikibidi kwa kupoteza maisha yake, nashauri chama chake cha CHADEMA kwa kushirikiana na wanaharakati wa haki za binadamu, wamuandalie tuzo ya kutambua juhudi zake na mchango wake katika mapambano ya kupigania haki za wengine pamoja na kushiriki siasa za mapambano zinazolenga kuikomboa nchi yetu na utawala huu wa CCM usiofaa hata kidogo kuendelea kubaki madarakani.

Mdude ni mwanasiasa na pia ni mwanaharakati wa kupigania haki za watu wengine. Atambuliwe sasa.

Tumpe mau yake angali yu hai.
Mdude_Nyagali apewe maua yake akiwa hai, hayatomsaidia kitu mkimpa akiwa mfu
 
Back
Top Bottom