USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

Na uwakumbushe kuyadai magazeti na majarida yote yaliyowahi kutumia picha au maneno aliyowahi kuyatumia.Mtunza "regase"!
Ule ulikuwa ukosoaji akiwa madalakani na ulikuwa na afya Kwa taifa, hiki kitabu kimeitumia picha ya rais kinyume cha lengo la kitabu, IAM THE STATE kilitakiwa kichambue mazuri ya kuigwa na mabaya ya kupingwa kingeonekana kuwa kinawahusu watanzania wote.
 
JPM anavuna alichopanda. Angekuwa rais mzuri watu wasingeandika mabaya juu yake kwa kiasi hicho. Hilo ni fundisho nawe mleta mada acha udikteta, hatupo kwenye enzi za JPM acha watu watoe maoni yao katika nchi huru.
Kama ni maoni yasingetungiwa kitabu lakini lengo kuharibu taswara mzuri ya JPM ndio maana hata waliokitunga wameonyesha chuki zao za waziwazi Kwa jpm
 
Ule ulikuwa ukosoaji akiwa madalakani na ulikuwa na afya Kwa taifa, hiki kitabu kimeitumia picha ya rais kinyume cha lengo la kitabu, IAM THE STATE kilitakiwa kichambue mazuri ya kuigwa na mabaya ya kupingwa kingeonekana kuwa kinawahusu watanzania wote.
Siyo "madalaka" na wala si rais tena!Ulitaka wachambue mambo bila picha yake?Watu wangejuaje kama ni yeye?
 
Kama ni maoni yasingetungiwa kitabu lakini lengo kuharibu taswara mzuri ya JPM ndio maana hata waliokitunga wameonyesha chuki zao za waziwazi Kwa jpm
Kwani huzuni yako imelalia kwenye picha au kitabu?
NB:Wewe ni Mwanaharakati Mwema au Mwanaharakati huru aka chuchunge?
 
Wewe mtetezi wa mwendazake acha upumbavu. Unatetea hata ushuzi ulioandika badala ya kurekebisha. Hujui kuna maneno ya kiingereza ukikosea tu kidogo linaleta maana tofauti kabisa? Kwa mfano Knight & night au Wright & right..... hebu edit haraka sana huo ushuzi ulioandika.
Wewe kama una Akili timamu sidhani kama unaweza kushindwa kujua maudhui ya mada hii kisa neno legancy na legacy wakati habari nzima inajieleza.

(1)Mfano: mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kulima.

(1) mfano:mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kurima.

Mwanzo wa sentensi unafuta kosa la neno 'kurima' Kwa kuwa Lina maana isiyoendana na sentensi husika, hivyo Ni wazi utakuwa umeelewa alilenga nini.

Nb: nimekubali kukosolewa.
 
Siyo "madalaka" na wala si rais tena!Ulitaka wachambue mambo bila picha yake?Watu wangejuaje kama ni yeye?
Zile ni chuki binafsi matumizi ya picha ya marehemu Kwa maslai binafsi hayakubaliki Kwa kuwa tuhuma zilizoainishwa hawezi kuzijibu hivyo ili watunzi WA kitabu kile wasionekane Wana chuki binafsi wauchambue uongozi wake Kwa mabaya yake na mazuri yake.
 
Bila picha,hata ya kuchora,ya marehemu?Wasomaji watajengaje picha na hoja vichwani mwao?
Zile ni chuki binafsi matumizi ya picha ya marehemu Kwa maslai binafsi hayakubaliki Kwa kuwa tuhuma zilizoainishwa hawezi kuzijibu hivyo ili watunzi WA kitabu kile wasionekane Wana chuki binafsi wauchambue uongozi wake Kwa mabaya yake na mazuri yake.
 
Kufanikiwa kupitia mgongo wa chuki binafsi za kutumia picha na maudhui ya kuegemea upande mmoja wa shilingi.
Kumbe na wewe ni sadist kama maliyemu?Wakipata mahela kwa mauzo ya hivyo vitabu unaumia sana?Nuna hadi mdomo uwe mrefu kama wa fisi.Vitabu vitanunuliwa tu.
 
Like

Pale wanalenga biashara Yao Kwa kuwa kutumia picha ya JPM kwenye kava wanaamini itawavutia watu wengi Kununua kutokana na umaalufu alionao.
Unaamini picha ndiyo inavutia zaidi?Kumbe unapaswa nawe ukinunue hicho kitabu ili uwe unakesha unaiangalia picha ya "shujaa" wako.
 
Huyu mbwa hawezi kupumzika kwa amani kamwe . Magufuli alinajisi Ikulu yetu kwa kumwaga damu za wasio na hatia, kunyang'anya fedha za wafanya biashara, kuiba fedha za umma (Tsh 1 5 Trillion as per CAG report) na kuiba uchaguzi wote wa S/Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ataendelea kuungua na moto wa jehanam milele
Mungu ni baba yako?
 
Wewe kama una Akili timamu sidhani kama unaweza kushindwa kujua maudhui ya mada hii kisa neno legancy na legacy wakati habari nzima inajieleza.

(1)Mfano: mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kulima.

(1) mfano:mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kurima.

Mwanzo wa sentensi unafuta kosa la neno 'kurima' Kwa kuwa Lina maana isiyoendana na sentensi husika, hivyo Ni wazi utakuwa umeelewa alilenga nini.

Nb: nimekubali kukosolewa.
Wewe mtetezi wa mwendazake mbona unazidi kujiaibisha? Umekosea kiingereza halafu unatoa mfano wa kiswahili? Akili zako ziko sawa?
 
Wewe kama una Akili timamu sidhani kama unaweza kushindwa kujua maudhui ya mada hii kisa neno legancy na legacy wakati habari nzima inajieleza.

(1)Mfano: mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kulima.

(1) mfano:mwalimu alikuwa anawafundisha wanafunzi kurima.

Mwanzo wa sentensi unafuta kosa la neno 'kurima' Kwa kuwa Lina maana isiyoendana na sentensi husika, hivyo Ni wazi utakuwa umeelewa alilenga nini.

Nb: nimekubali kukosolewa.
Acha kutetea upumbavu. Nenda kasome MEMKWA au QT ndiyo uje humu. JF siyo ya wajinga
 
Nini maana ya kujielewa ili nikujibi swali lako, Kwa maana kujielewa kunategemeana na mazingira. Kwa mfano: Kuna mtu kama pro:lyeitama Ni muelewa wa masuala ya teaching comedy lakini kwenye masuala ya utulivu na unadhifu yupo zero sasa niambie kwenye lipi.
Ok narahisisha swali, mtu gani maarufu au mwenye pesa anayemkubali huyo mtu wako?
 
Back
Top Bottom