Uchaguzi 2020 Ushauri: Gwajima asiposhinda uchaguzi huu astaafu siasa, amefanyiwa kampeni kubwa sana na Dr Magufuli

Uchaguzi 2020 Ushauri: Gwajima asiposhinda uchaguzi huu astaafu siasa, amefanyiwa kampeni kubwa sana na Dr Magufuli

ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI

GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Gwajima Kila mahali yupo.

Kwenye list ya Wauza unga yupo.
Kwenye umalaya yupo.
Kwenye uongo yupo.
Kwenye kufa yupo.
Kwenye kufufuka yupo.
Kwenye dini yupo.
Kwenye siasa yupo

Haka kajamaa.......!!
 
ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI

GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Hiyo Mtumishi huwa simuamini sana sijui kwa nini. Namuona kama jasusijasusi flani hivi.
Na anaujasiri wa kutoa kauli Kali za kuleta sintofahamu kitu ambacho sioni kama ni hitaji letu kwa sasa.

Na had I Leo sijui kwa nini kagombea ubunge ambao huko nyuma aliudhalilisha kwa kukiita kitu kidogo sana kulinganisha kazi yake ya utumishi wa serikali ya Mbinguni.


Msimu huu tutaona mengi. Akishindwa ntashangaa kuliko akishinda.
 
ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI

GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA

Ahhh measure your comments on a such weight matter, ushabiki usisipitilize nchi ni ya kwetu.
 
Na akishindwa hata ile misukule yake anayoita waumini itamshtukia labda ajikite kwenye kutengeneza filamu za ngono na mauno mauno mauno
 
Ahhh measure your comments on a such weight matter, ushabiki usisipitilize nchi ni ya kwetu.
Kesi iko Polisi na unaona hadi alihojiwa , hizo clip na vipeperushi vina madhara makubwa sana kwa umoja na amani yetu kama nchi .....hulihoni hilo ??
HADI leo faili la kesi limekaliwa kwa DPP Maganga .... mtu mwenye tuhuma nzito kama hizo hutaki watu waseme ....hatari ni sisi huku au yeye ambayo ushahidi wote upo kuwa alikuwa anaunda na kuhamasisha vikundi vya kikabila
Ikumbuke kuwa vikundi kama hivyo ikitokea aliyeviunda hayuko madarakani hugeuka kuwa vikundi vya UASI .
 
Gwajima Kila mahali yupo.

Kwenye list ya Wauza unga yupo.
Kwenye umalaya yupo.
Kwenye uongo yupo.
Kwenye kufa yupo.
Kwenye kufufuka yupo.
Kwenye dini yupo.
Kwenye siasa yupo

Haka kajamaa.......!!

Kwa kuwa amekuwa Chadema muda mrefu hizo sifa ameziacha Chadema au ameondoka nazo?

Lakini magari yanayo tumika makao makuu chadema ni yeye ameyaleta. Tuwe tunapima kila neno.

Tutakosa waku kushirikiana nao baadae sababu wanajua hatuna shukurani. Labda inawezekana ndio maana wafanyibiashara wanatukimbia . . . . . . .
 
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
 
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.

Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.

Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!

Kwani rais anakubalika sana mpaka ushangae anayempigia debe kutokushinda?
 
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
MOJA YA KAZI YA KWANZA YA MAKUNDI YANAYODAIWA YA KUMLINDA MAGUFULI NI TUKIO LA KARIBUNI LA VURUGU ZA CHATO ...UNAWEZA KUONA KABISA HUKU POLISI WANASHUHUDIA VIJANA WALE WACHACHE WAKITAKA KULETA VURUGU
UNAWEZA KUONA KABISA VURUGU HAZIKUUNGWA MKONO NA WANANCHI KWAKUA WALIBAKI WANAWASHANGAA HAO MAMLUKI ....KWENYE SANAA YA KULETA VURUGU WALICHOFANYA WALE WALIANZISHA VURUGU ILI WAUNGWE MKONO NA WANANCHI IWE KUBWA ...FIKIRIA KAMA WALE WANANCHI WA CHATO WANGEAMUA KUINGIA KWENYE ILE VURUGU ..NINI KINGETOA ...KAMA SIO MAUWAJI MAKUBWA KABISA .....TUWE MAKINI SANA !! ,,mtu binafsi anaachwaje kuunda makundi ya ajabu ajabu na kuachwa tu ...kwani TISS chinia ya PSU wameshindwa kumlinda ?? CCM imeshindwa kumtetea ?
 
Kwa kuwa amekuwa Chadema muda mrefu hizo sifa ameziacha Chadema au ameondoka nazo?

Lakini magari yanayo tumika makao makuu chadema ni yeye ameyaleta. Tuwe tunapima kila neno.

Tutakosa waku kushirikiana nao baadae sababu wanajua hatuna shukurani. Labda inawezekana ndio maana wafanyibiashara wanatukimbia . . . . . . .

Gerald acha upotoshaji wa kijinga, Gwajima hajawahi kuwa cdm, bali alikuwa mfuasi Lowassa. Ni magari yaliletwa na Gwajima, mwambie akayachukue maana ni ya kwake? Hakuna mfanyabiashara anaikimbia cdm, ila kwenye nchi za madictator ni ngumu mfanyabiashara kujionyesha mshabiki wa chama cha upinzani.
 
MOJA YA KAZI YA KWANZA YA MAKUNDI YANAYODAIWA YA KUMLINDA MAGUFULI NI TUKIO LA KARIBUNI LA VURUGU ZA CHATO ...UNAWEZA KUONA KABISA HUKU POLISI WANASHUHUDIA VIJANA WALE WACHACHE WAKITAKA KULETA VURUGU
UNAWEZA KUONA KABISA VURUGU HAZIKUUNGWA MKONO NA WANANCHI KWAKUA WALIBAKI WANAWASHANGAA HAO MAMLUKI ....KWENYE SANAA YA KULETA VURUGU WALICHOFANYA WALE WALIANZISHA VURUGU ILI WAUNGWE MKONO NA WANANCHI IWE KUBWA ...FIKIRIA KAMA WALE WANANCHI WA CHATO WANGEAMUA KUINGIA KWENYE ILE VURUGU ..NINI KINGETOA ...KAMA SIO MAUWAJI MAKUBWA KABISA .....TUWE MAKINI SANA !! ,,mtu binafsi anaachwaje kuunda makundi ya ajabu ajabu na kuachwa tu ...kwani TISS chinia ya PSU wameshindwa kumlinda ?? CCM imeshindwa kumtetea ?
Umepaniki Sana mzee tatizo nini ??

Gwajima tu anakutoa kamasi namna hii??

Si ndio huyo huyo aliyekuwa mshenga kwa kuwaletea Lowasa hapo Chadema??

Kugombea kupitia CCM imekuwa kosa??
 
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.

Maendeleo hayana vyama!

Huyo Gwajima aache siasa, alikuwa MWANA SIASA lini? Na huyo Mayala, ameingiaje kwenye huu uzi
 
Kwa kuwa amekuwa Chadema muda mrefu hizo sifa ameziacha Chadema au ameondoka nazo?

Lakini magari yanayo tumika makao makuu chadema ni yeye ameyaleta. Tuwe tunapima kila neno.

Tutakosa waku kushirikiana nao baadae sababu wanajua hatuna shukurani. Labda inawezekana ndio maana wafanyibiashara wanatukimbia . . . . . . .
Mkuu mimi siyo CDM ....... Ninachozungumza ni sifa mbaya na utapeli wa Gwajima.
 
Back
Top Bottom