Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee hapa anapita wimaBwashee hebu tupia jicho hapa
Muulize Mbowe na Mnyika wanamjua vizuri Gwajima kuliko wewe uliyekuja Ufipa juzi kwa upepo wa Tundu Lisu!Eti 'astaafu siasa' kwani Ni lini huyo pornstar alishawahi kuwa mwanasiasa ?
Akili maji kabisa wewe!
Gwajima Kila mahali yupo.ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI
GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Hiyo Mtumishi huwa simuamini sana sijui kwa nini. Namuona kama jasusijasusi flani hivi.ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI
GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Wanajuana vizuri na tapeli mwenzake Magufuli na ndio maana 'mishipa' ilimtoka alipokuwa anamuombea kura huyo tapeli na watu kumpuuza kila kataMuulize Mbowe na Mnyika wanamjua vizuri Gwajima kuliko wewe uliyekuja Ufipa juzi kwa upepo wa Tundu Lisu!
ANATAKA GWAJIMA AINGIE BUNGENI KWA UDI NA UVUMBA KWAKUA YEYE NDIO KIONGOZI WA KUNDI LINALOJIITA LA KUMLINDA MAGUFULI ..AMBALO HATA USALAMA WANAJUA ...KUNDI HILI LITAKUJA KUZAA KUNDI LA WAASI SIKU MAGUFULI AKIONDOKA MADARAKANI NA IKATOKEA KUWA ATAKAYEINGIA ATAKUWA SIO MTU WAO ....JAPO LENGO LA MKAKATI WAO LA KWANZA NI KUHAKIKISHA WANA MOBILIZE BUNGENI ILI AONGEZEWE MUDA WA KUKAA MADARAKANI
GWAJIMA NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA
Kesi iko Polisi na unaona hadi alihojiwa , hizo clip na vipeperushi vina madhara makubwa sana kwa umoja na amani yetu kama nchi .....hulihoni hilo ??Ahhh measure your comments on a such weight matter, ushabiki usisipitilize nchi ni ya kwetu.
Gwajima Kila mahali yupo.
Kwenye list ya Wauza unga yupo.
Kwenye umalaya yupo.
Kwenye uongo yupo.
Kwenye kufa yupo.
Kwenye kufufuka yupo.
Kwenye dini yupo.
Kwenye siasa yupo
Haka kajamaa.......!!
Niwe mkweli Gwajima ni mgombea pekee wa CCM " aliyebahatika" kufanyiwa kampeni na Dr Magufuli karibu katika kila kata ya jimbo la Kawe.
Wakati akielekea kwenye mkutano mkuu wa kampeni wa wilaya ya Kinondoni Dr Magufuli alisimama katika kata zote msafara wake ulipopita jimboni Kawe na kuomba kura kwa ajili yake na kumuombea Gwajima pia.
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.
Maendeleo hayana vyama!
Tatizo ni kwamba idadi kubwa ya wapiga kura wa kawe ni watu wanaojitambua na wanakazi zao, siyo kama ushwahilini ambako mmejazana majobles kama ninyiGwajima ana bahati ya mtende.
Halima Mdee aanze kufungasha mizigo!
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
Lazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
MOJA YA KAZI YA KWANZA YA MAKUNDI YANAYODAIWA YA KUMLINDA MAGUFULI NI TUKIO LA KARIBUNI LA VURUGU ZA CHATO ...UNAWEZA KUONA KABISA HUKU POLISI WANASHUHUDIA VIJANA WALE WACHACHE WAKITAKA KULETA VURUGULazima ampigie sana kampen mana yale magroup ya whtsap ya kikabila ambayo pornboy Mr Gwajboy aliyaunda si ni kwa faida ya msukuma huyu?
Kwa kuwa amekuwa Chadema muda mrefu hizo sifa ameziacha Chadema au ameondoka nazo?
Lakini magari yanayo tumika makao makuu chadema ni yeye ameyaleta. Tuwe tunapima kila neno.
Tutakosa waku kushirikiana nao baadae sababu wanajua hatuna shukurani. Labda inawezekana ndio maana wafanyibiashara wanatukimbia . . . . . . .
Ni bora sasa aanze kujipendekeza kwa Lissu labda ataambulia teuziPascal Mayalla
Umepaniki Sana mzee tatizo nini ??MOJA YA KAZI YA KWANZA YA MAKUNDI YANAYODAIWA YA KUMLINDA MAGUFULI NI TUKIO LA KARIBUNI LA VURUGU ZA CHATO ...UNAWEZA KUONA KABISA HUKU POLISI WANASHUHUDIA VIJANA WALE WACHACHE WAKITAKA KULETA VURUGU
UNAWEZA KUONA KABISA VURUGU HAZIKUUNGWA MKONO NA WANANCHI KWAKUA WALIBAKI WANAWASHANGAA HAO MAMLUKI ....KWENYE SANAA YA KULETA VURUGU WALICHOFANYA WALE WALIANZISHA VURUGU ILI WAUNGWE MKONO NA WANANCHI IWE KUBWA ...FIKIRIA KAMA WALE WANANCHI WA CHATO WANGEAMUA KUINGIA KWENYE ILE VURUGU ..NINI KINGETOA ...KAMA SIO MAUWAJI MAKUBWA KABISA .....TUWE MAKINI SANA !! ,,mtu binafsi anaachwaje kuunda makundi ya ajabu ajabu na kuachwa tu ...kwani TISS chinia ya PSU wameshindwa kumlinda ?? CCM imeshindwa kumtetea ?
Endapo Gwajima atashindwa mbele ya Halima Mdee basi namshauri aachane kabisa na siasa na nitamwomba Rais Magufuli amteue Pascal Mayalla kwenye zile nafasi zake 10.
Maendeleo hayana vyama!
Huyo Gwajima aache siasa, alikuwa MWANA SIASA lini? Na huyo Mayala, ameingiaje kwenye huu uzi
Mkuu mimi siyo CDM ....... Ninachozungumza ni sifa mbaya na utapeli wa Gwajima.Kwa kuwa amekuwa Chadema muda mrefu hizo sifa ameziacha Chadema au ameondoka nazo?
Lakini magari yanayo tumika makao makuu chadema ni yeye ameyaleta. Tuwe tunapima kila neno.
Tutakosa waku kushirikiana nao baadae sababu wanajua hatuna shukurani. Labda inawezekana ndio maana wafanyibiashara wanatukimbia . . . . . . .