Naunga hoja , wafukuzwe chadema Mara moja. Wanajali matumbo yao kuliko chama.Hata Halima Mdee!! Loh, kweli usimwamini mtu kwa 100%.
CHADEMA lazima isimamie inachoKiamini. Bila ya kujali kama CCM itaendelea kuvunja katiba na kuamua kuendelea kuwaweka Bungeni wanachama hawa waliokisaliti chama au vinginenvyo, ni lazima hatua madhubuti zichukuliwe. Wasaliti hawa wote wafukuzwe uanachama mara moja. Wakaongeze nguvu ya UWT.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. Slaa alipoondoka 2015 CHADEMA iivuna viti vingi zaidi vya ubunge kuliko huko nyuma. Mawaziri waluu wastaafu wawili wakaondoka 2020 Chadema ikawa tishio kiasi chaa kufanya uchaguzi mkuu usifanyike!Kweli kabisaa, chadema haijawahi kumuonea aibu MTU.
Siyo akina halima, SEMA taarifa ya saccos ya Mbowe.Taarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
acha wivu wa kike, basi na wewe kabadili jinsi yako upewe nafasi.Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja...
Makamanda gani hao? Hao wachumba tuu.vwamelegeaaaa, mtasababisha shoga arudi.Tulieni basi makamanda.
mkileta ujuaji usio na macho Mbowe atateuliwa kuwa mbunge na uwaziri utamuhusu.
""""""kudadadeki"""""
Akili za nyumbu Wala hakuna mtu anakushangaa, kwa Sasa wenzako wameanza matusi badala ya kujibu hoja.CHADEMA WAKANA KUPELEKA MAJINA YA VITI MAALUM
Wabunge wa chadema walijiuza walikuwa wanawake au wanaume? Nyumbu hovyo kabisa.Ila wanawake ni wasalisiti sana hawaaminiki kabisa, Mungu kama alijua akawapa heshima ya kutuzaa na kuitwa Mama, isingekuwa hivyo wange pata taabu sana.