Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Mkuu hamia CCM tu, kule kuna maslahiBarcelona ilipoanza kufanya vibaya taratibu nilianza kujitoa na mpaka sasa nimefanikiwa now naanza mazoezi ya kutokua mshabiki wa chama chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hamia CCM tu, kule kuna maslahiBarcelona ilipoanza kufanya vibaya taratibu nilianza kujitoa na mpaka sasa nimefanikiwa now naanza mazoezi ya kutokua mshabiki wa chama chochote.
Mbowe kala cha juu ndipo akawapa ruksa kwenda DodomaSi wameenda kwa baraka za chama?
Sasa wafukuzwe sababu gani?
Mbona Lisu na Lema wamechapa lapa na hawajaonewa aibu hii ni mbinu ya kivita acheni waingie bungeniKweli kabisaa, chadema haijawahi kumuonea aibu MTU.
Umeonaje hii?Ni kiasi gani watacontribute kuendesha chama. Fikiri tens kablanya kuandika
Mbowe kauza utu bila Aibu kisa ruzuku tuNjaa kalii uondoa aibuu zote
Tuliwaonya hamkusikiaLissu aanzishe chama chake cha siasa
Taarifa ya kina halima kuapa imenivunja moyo Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Shukuru tu umevunjika ungeandama ukavunjwa mbavu na askari halafu ukawa ICU unamuona Mdee anaapa kuwa mbunge si ungekufa kabisa
Haaaaaa haaaaaa. Leooo umenichekesha saaanaa, kwanini sasa nyie chadema musiwemnakuwa nawanachama wenyeshibe na vitambiiii??View attachment 1633810
hapa ni kabla njaa haijapanda kichwani
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na lidhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama. Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Nusrat Hanje alitolewa ilia aje kua mbunge?
ccm itakaa ikulu milele endapo ujinga huu utaendelea chadema lakini siku mbowe akizeeka au hata kufariki akaja mwenyekiti mwenye msimamo asiyependa pesa mbele ndipo chadema itapiga hatua kimaendeleoTechnically chadema wamefanya kosa kubwa Sana
Naanza kuelewa kwanini ccm haitakuja kushindwa uchaguzi wowote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lissu na Zitto ndio wapinzani Hawa wengne nna mashaka nasubiri pressKufukuzana uanachama haijawahi kuwa solution yenye kuleta tija
Nyie tulieni maisha yaendelee tu na wanasiasa wasiwape stress. Jiulize kwanini mpaka leo Aida hakuwa amefukuzwa?
Jiulize mpaka leo kwanini ACT wamemute kujibu barua kama hawatojoin SUK? Jiulize kwa nini kwenye press conference ya jana alikuwepo Lissu na Zitto tu? Mbowe na Mnyika walikuwa wapi?
Mkuu hamia CCM tu, kule kuna maslahi
Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na lidhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya kuliko kuwa na watu wasio na nidhamu ndani ya chama. Ifahamike kuwa chama hiki ni mali ya wanachama na si watu wachache. Kuna watu tumepoteza kazi serikalini kwa sababu ya kukipigania chama.
Narudia kama wamekengeuka na kula kiapo bila ridha ya chama ,basi wafukuzwe wote Mara moja bila kujali jina la MTU.
Acha ujinga wewe, chadema wenye Weledi wamekataa unafiki wote ndiyo maana wamesema ukweli kuwa mbowe kala Rushwa toka ccm kauza viti maalum kwa ccm kibiashara kuisaidia ccm ikwepe vikwazo vya kimataifa, Huko ccm hakuna wa kupinga unafiki wa ccm kuchukua pesa za walipa kodi kwenda kumpa mbowe wanaogopa kusema ukweli, ccm mtakufa kwa unafiki wenu pesa zinatumika vibaya badala ya maendeleo zinatumika kuwapa mbowe lakini ccm mpo kimyaNdani ya CHADEMA wote wana price tag wanachotofautia ni dau tu.
Huwa wanasikitisha sana wafuasi wao "vipofu" wanaoleta hekaya za ukombozi na blah blah kama hizo.
Pesa iliyotumika kuwanunua wabunge viti maalum ingeweza kujenga viwanda zaidi ya 100 ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, ccm hawataki maendeleo wamekalia ununuzi wa kimasilahi kuwafaidisha madalali waliofanikisha huo mchongoSishabikii chochote nimegundua badala ya kutafuta hela napoteza muda wangu bure kwa upumbavu.
Itakua njema SanaLisu aweza kuhamia ACT maana hayupo ktk mgao wao