Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Pole sana huyo hakupendi ila anapenda Pesa zako, achana naye Mungu atakupatia wakuendana naye.
 
Safi sana ni mfano mzuri ,Huo ndo uanaume kujikubali.
 
Umesema wewe ni kiziwi, hapo hapo unasema "UMESIKIA" tetesi.. Is it possible?
 
Muache, usimlazimishe

Utampata atayekupenda na udhaifu wako
 
Huyo alikupendea pesa. Bora kakuonyesha tabia halisi mapema. Pole
 
Husikii kabisa au unasikia kwa mbalii?
Ninapoishi kuna kijana anatufanyia usafi ana usikivu wa mbali ukiongea nae unavuta kwanza pumzi ndefu ndio utoe sauti kali ili akusikie lakini mbona yupo fresh na anagonga mademu mtaan kama kawaida
 
Husikii kabisa au unasikia kwa mbalii?
Ninapoishi kuna kijana anatufanyia usafi ana usikivu wa mbali ukiongea nae unavuta kwanza pumzi ndefu ndio utoe sauti kali ili akusikie lakini mbona yupo fresh na anagonga mademu mtaan kama kawaida
Jf kila mtu ana uelewa wake😅😅 wengine hawaelewi aliyekwambia Mwamba hagongi ni Nan? Kaa utulie usome vzuri ndo utoe ushauri
 
Nasikitika kusikia hilo, lakini kumbuka kwamba kuwa kiziwi siyo sababu ya kutopata mwenza. Ni muhimu kuwa na mawasiliano wazi na mpenzi wako na kuelezea hali yako. Pia, unaweza kujaribu kumuomba msaada wa rafiki yake au ndugu yake kuwasiliana na mpenzi wako ili kufafanua mambo na kumsaidia kuelewa hali yako. Pia, ni muhimu kuelewa kwamba ndoa sio lazima, unaweza kujenga maisha mazuri na mwenza bila kufunga ndoa.
 
Pole mkuuu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna rafiki yangu wakike anakufaa maana hata yeye anatatizo kama lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…