Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

Sio kiziwi kabisa nina usikivu hafifu wa kuchelewa kusikia sauti
Kama ni hivi mbona unapona!!fuatilia ujue tatizo ni nini,sauti kuchelewa kufika!!!!!so kwamba sauti unaisikia lakini unashindwa kuelewa matamshi kwa haraka? Na ukipona tafuta Pisi nyingine hiyo piga chini.
 
Mwanamke alimwambia best yake mtu mwenyewe hasikii nitampeleka wapi
Mkabili umuulize na umpe muda akujibu kiusahihi kama anataka umuone au la.

Umwambie zikipita siku fulani (mfano tatu) ikiwa sijapata jibu basi mimi natafuta mwingine ambaye atanikubali.

Baada ya hizo siku kama hakuna jibu wewe songe mbele tafuta ambaye atakukubali (umwambie ukweli tangu mwanzo wenu).
 
Dah! Pole sana mkuu, mim pia ni kiziw kama wewe nilipatwa na tatizo mwaka 2013 nikiwa kidato cha pili, hata mimi napitia chamgamoto kama yako imekuwa ngumu sana kwangu kuanzisha mahusiano kwan kila ninaejaribu kumweleza hisia zangu mwisho huishia kunikataa, nawaza sana cjui nitaishi maisha gani mim, nataman na mim niwe na familia sababu umri nao unasonga lakin ndo hivyo tena najikuta sina namna. Kiukwel inaumiza sana kwan sikupenda niwe hiv
Soma comment ya 105


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina tatizo linalofanana na lako kwa kiasi fulani, nina tatizo linaitwa tinnitus nilipata nikiwa form one 2007. Nilipoteza uwezo wa kusikia kwa 80%.

Kwa experience yangu sidhani kama its a big issue maana nishakua na relationship kibao tu since niko secondary mpaka chuo na mpaka sasa walikua mademu wananielewa sana and the ladies didn’t give a shit about my problem. Na saiv nna pisi moja kali sana tunaoana mwaka huu, tena ni mdada mzuri haswa.

I can say uyo dada hakupendi tu. Pia jiamini na tafuta pesa, narudia tena make sure uko na pesa. Mapenzi hayaangalii hizo issues ni kwamba uyo anakutafutia sababu tu akuache ila hakupendi.

Mimi nafundisha chuo pia, wanafunzi kibao have crush on me. Wako wengine wananiibukia live. So siwezi sema kuwa na shida hio inaweza kuwa sababu mtu asipendwe.

Jaribu kujitathmini kwny maisha yako kuna mahala unakosea au haujiamini au hauchkui nafasi yako kama mwanaume. Kuhusu tatizo lako weka pembeni kwanZa focus on building yourself
Ahh ticha kumbe upo huku jeiefu, ipandishe course work yangu basi

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni hivi mbona unapona!!fuatilia ujue tatizo ni nini,sauti kuchelewa kufika!!!!!so kwamba sauti unaisikia lakini unashindwa kuelewa matamshi kwa haraka? Na ukipona tafuta Pisi nyingine hiyo piga chini.
Ndiyo hivyo hakika hujakosea nifuatilie wapi
 
Na bado tu upo nae, hivi vijana wa sasa mna shida gani mbona ni wagumu sana kufanya maamuzi
Kuna tatizo mahali upande wa vijana wa kiume tuseme tu ukweli, imagine anaingia kwenye ndoa sidhani kama ataiweza kufanya maamuzi yoyote.

Kuna mmoja eti ana demu wake kamkuta na mtoto wa miezi 7 akamchukua waishi wote, demu anatoka usiku anaenda kuliwa halafu anarudi, jamaa anaomba ushauri afanyeje
 
Usimuoe tafuta atakaekupenda muache asubirie mkamilifu aone!!!!
Mungu amekupa ishara mapema sana
 
Kuna tatizo mahali upande wa vijana wa kiume tuseme tu ukweli, imagine anaingia kwenye ndoa sidhani kama ataiweza kufanya maamuzi yoyote.

Kuna mmoja eti ana demu wake kamkuta na mtoto wa miezi 7 akamchukua waishi wote, demu anatoka usiku anaenda kuliwa halafu anarudi, jamaa anaomba ushauri afanyeje
Aisee hili ni tatizo, ndio hawa wakataa ndoa maana hawawezi kuishi na mwanamke hata mwezi wenyewe wanajua kumuita dame ghetto wazagamuane basi, na akijitahidi kukaa na mwanamke basi mdada atakuwa juu mwanaume yupo chini, which won't last long
 
Wadau naomba msaada wenu.

Mimi ni kijana mwenye tatizo la usikivu. Kuna mwanamke nilikuwa nataka kumuoa, sasa nimesikia tetesi kutoka kwa ndugu yake anasema hawezi kuolewa na kiziwi anaogopa kuchorwa japo yeye hujawahi kunitamkia.

Financial huwa namsaidia sana ila ndoa anasumbua, anasema hayupo tayari, ndugu yake kasema hataki kuolewa na wewe kisa kiziwi. Dah, nimejisikia vibaya.
Pole sana
Ushauri wangu.
Usilazimishe kisichoewezekana, kama kweli amesema hivyo na ukahakikisha ni kweli Achana naye usiishi katika gereza maisha Yako yote, maana anachowaza kwenye akili ni vigumu kukifuta, hata hivyo hakuna binadamu mkamilifu.
Mtafute uongee naye akuthibitishie waswasi wako kuwa ni kweli au ni uvumi ikithibitika vyovyote vile chukua hatua maana maisha ni Yako, Mazishi ni yetu.
Mwisho wa yote mtangulize MUNGU Kwa Kila jambo utafanikiwa.
 
Pole sana
Ushauri wangu.
Usilazimishe kisichoewezekana, kama kweli amesema hivyo na ukahakikisha ni kweli Achana naye usiishi katika gereza maisha Yako yote, maana anachowaza kwenye akili ni vigumu kukifuta, hata hivyo hakuna binadamu mkamilifu.
Mtafute uongee naye akuthibitishie waswasi wako kuwa ni kweli au ni uvumi ikithibitika vyovyote vile chukua hatua maana maisha ni Yako, Mazishi ni yetu.
Mwisho wa yote mtangulize MUNGU Kwa Kila jambo utafanikiwa.
Atauliza kakwambia nani nimjibuje
 
Back
Top Bottom