vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Wewe ndio mwizi unataka jinsi ya kujinasua
Jiandae kwenda jela kwa uhalifu
Jiandae kwenda jela kwa uhalifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini usiepuke kununua used ? Hakuna ulazima wowote wa kununua vitu used , vitu used vina madhara mengi , bora uende dukani tu kuepuka matatizo .Ukiwasiliana na mtu Kwa nini usirekodi?
Ukinunua vitu Mtandaoni Kwa nini usiwe una-screenshot? Na kuhifadhi kwenye kumbukumbu zako hata walau mwaka mzima?
Sio kosa kununua kitu used, lakini hapo ishu itaanzia kuthibitisha kwamba umenunua, hunarisiti, huna kumbukumbu yoyote kuonyesha ni kweli unaushahidi WA kununua hiyo simu.
Mimi nikinunua kitu used huwa nafanya hivi;
1. Narekodi Mawasiliano yangu na huyo muuzaji, tena Kwa kumuuliza maswali mfano,
Simu ni Aina gani, rangi gani, inatumia laini moja au mbili, n.k.
2. Screenshot TANGAZO la bidhaa uliyoiona Mtandaoni ukainunua.
3. Mkikutana mpige picha kisiri. Hii unaenda na mtu mwingine WA ziada ambaye atakuwa anarekodi matukio bila ya muuzaji kujua.
4. Ni vyema kujua majina yake,
Kwa dunia ya sasa huwezi kuepuka kununua vitu Used
Ukiwasiliana na mtu Kwa nini usirekodi?
Ukinunua vitu Mtandaoni Kwa nini usiwe una-screenshot? Na kuhifadhi kwenye kumbukumbu zako hata walau mwaka mzima?
Sio kosa kununua kitu used, lakini hapo ishu itaanzia kuthibitisha kwamba umenunua, hunarisiti, huna kumbukumbu yoyote kuonyesha ni kweli unaushahidi WA kununua hiyo simu.
Mimi nikinunua kitu used huwa nafanya hivi;
1. Narekodi Mawasiliano yangu na huyo muuzaji, tena Kwa kumuuliza maswali mfano,
Simu ni Aina gani, rangi gani, inatumia laini moja au mbili, n.k.
2. Screenshot TANGAZO la bidhaa uliyoiona Mtandaoni ukainunua.
3. Mkikutana mpige picha kisiri. Hii unaenda na mtu mwingine WA ziada ambaye atakuwa anarekodi matukio bila ya muuzaji kujua.
4. Ni vyema kujua majina yake,
Kwa dunia ya sasa huwezi kuepuka kununua vitu Used
Usalama wako kaitupe chooni au anza kutafuta wakili msomiWakuu kwema? Mimi kijana wenu mtiifu nimekuja kwenu nikiwa na majanga naomba mnisaidie.
Nilinunua simu mtandaoni kupitia kupatana.com
Niliona bei ni nzuri nikamcheki jamaa nikachat nae kwenye hiyo website na akanipa namba.
Nikampigia kwa simu ya kawaida maana namba haikuwa WhatsApp, tukaongea akasema yupo mbezi nije tukutane niione.
Nikakutana nae pale mbezi stendi nikaicheki cheki nikaona ipo fresh niikampa hela nikaondoka na simu.
Baada ya kuitumia kama siku mbili nikagundua ina tatizo la charge ambalo sikuligundua muda ule, Nilipojariby kumpigia nikashangaa namba zote nilizokuwa nawasiliana naye hazipatikani.
Niliumia lakini nikakubali tu kuishi nayo hivo hivo, nikakubali kupigwa,,,,, Sasa kimbembe kimekuja leo asubuhi wakati naitumia hii simu nikashangaa tu mara ghafla inawasha camera na kuanza kupiga 112..Halafu inapiga milio kama ya ambulance....Nikawahi nikaizima.
Nimekaa nimefikiria nmeshagundua itakuwa simu ilikuwa ya wizi na mwenye nayo anaitafuta, au huenda ilikuwa ni njama ya mapolisi kunifanyia hako kamchezo.
Sasa hapa nilichofanya nimeizima, ila bado nawaza nini nifanye sasa? Maana aliyeniuzia hapatikani na hata zile message za kupatana ameshazifuta hata mimi saivi sizioni.
nilishaona watu wanakamatwa na polisi kwa hizi njama na kulipishwa pesa mingi au kubambikiziwa kesi.
Sasa nifanyeje wakuu?
WAHUNI WA CCM WAMESHA KUINGIZA CHAKA [emoji1787][emoji1787]Wakuu kwema? Mimi kijana wenu mtiifu nimekuja kwenu nikiwa na majanga naomba mnisaidie.
Nilinunua simu mtandaoni kupitia kupatana.com
Niliona bei ni nzuri nikamcheki jamaa nikachat nae kwenye hiyo website na akanipa namba.
Nikampigia kwa simu ya kawaida maana namba haikuwa WhatsApp, tukaongea akasema yupo mbezi nije tukutane niione.
Nikakutana nae pale mbezi stendi nikaicheki cheki nikaona ipo fresh niikampa hela nikaondoka na simu.
Baada ya kuitumia kama siku mbili nikagundua ina tatizo la charge ambalo sikuligundua muda ule, Nilipojariby kumpigia nikashangaa namba zote nilizokuwa nawasiliana naye hazipatikani.
Niliumia lakini nikakubali tu kuishi nayo hivo hivo, nikakubali kupigwa,,,,, Sasa kimbembe kimekuja leo asubuhi wakati naitumia hii simu nikashangaa tu mara ghafla inawasha camera na kuanza kupiga 112..Halafu inapiga milio kama ya ambulance....Nikawahi nikaizima.
Nimekaa nimefikiria nmeshagundua itakuwa simu ilikuwa ya wizi na mwenye nayo anaitafuta, au huenda ilikuwa ni njama ya mapolisi kunifanyia hako kamchezo.
Sasa hapa nilichofanya nimeizima, ila bado nawaza nini nifanye sasa? Maana aliyeniuzia hapatikani na hata zile message za kupatana ameshazifuta hata mimi saivi sizioni.
nilishaona watu wanakamatwa na polisi kwa hizi njama na kulipishwa pesa mingi au kubambikiziwa kesi.
Sasa nifanyeje wakuu?
Pole sana karipoti Polisi.
Kwa nini usiepuke kununua used ? Hakuna ulazima wowote wa kununua vitu used , vitu used vina madhara mengi , bora uende dukani tu kuepuka matatizo .
Mengineyo
4. Andikishaneni, iwe polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa hata bolazi
5. Muulize muuzaji kama ana kitambulisho cha kupiga kura, NIDA etc akipige kopi kisha akuachie nakala
kupatanaUnachati na yeye anakuwa na uwezo wa kufuta chat zenu! Mtandao gani huo?
Duh sasa kama walishanijua?Ivunje vunje.