Ushauri jamani, nimeshaharibu sinunui tena vitu used

Kwa nini usiepuke kununua used ? Hakuna ulazima wowote wa kununua vitu used , vitu used vina madhara mengi , bora uende dukani tu kuepuka matatizo .
 

Mengineyo
4. Andikishaneni, iwe polisi au kwa mwenyekiti wa mtaa hata bolazi

5. Muulize muuzaji kama ana kitambulisho cha kupiga kura, NIDA etc akipige kopi kisha akuachie nakala
 
Usalama wako kaitupe chooni au anza kutafuta wakili msomi
 
WAHUNI WA CCM WAMESHA KUINGIZA CHAKA [emoji1787][emoji1787]
 
Kwa nini usiepuke kununua used ? Hakuna ulazima wowote wa kununua vitu used , vitu used vina madhara mengi , bora uende dukani tu kuepuka matatizo .

Ni kweli vitu used vina changamoto zake lakini kama pesa huna utafanyaje?

Kumbuka wengi tunaishi maisha Used used!

Magari karibu yote unayoyaona hapa nchini ni Used, unafikiri watu hawapendi Mapya? umasikini ni moja ya sababu ya watu kununua vitu Used.
 
Kama utaenda polisi tafadhali tadhali usiende peke yako,tena kama inawezekana chukua vijisenti kidogo mpatie jamaa mmoja mwenye kitambi na kijigari muombe adai ni kaka/dada yako.na huyohuyo ndo akutolee maelezo maana wewe uijieleza lazima utakuwa na panik flani.au basi nenda na wakili kabisa maana hata kwa 50,000/- anaweza kukusindikiza!
 
Ukishatia line kwenye simi tayari tcra wanaijua namba inayotumia simu, Polisi wakienda tcra wanapewa namba inayotumia simu.

Kiufupi washakujua iwapo simu iliibiwa na alieibiwa alienda kuifatilia polisi. hata ukiitupa simu chooni haisaidii, tena itunze simu vizuri lasivyo utadaiwa na pesa ya simu hiyo mpya.

Mpe mtu unaemwamini kama laki 1 hivi, awe mtu mzima kidogo mwenye maneno ya busara akiri kwamba ulinunua simu mtaani bila kujua ni ya wizi na akuombwe msamaha kwa hio laki 1, lasivyo unaenda jela kiutani utani.

Kuwa makini sana unaponunua vitu kama modem na simu ambazo huwa zina imei inayorahisisha kazi kujua namba inayotumia kifaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…