Kimfaacho mtu chake, kuna shida gani mtu kuuza Mali yake ili akamilishe plan nyingine?
Kila siku watu wanauza nyumba na wengine wananunuwa nyumba.
Kuna makampuni na viwanda vinauzwa wengine wananunuwa.
Bongo mtu akikwama hakuna wakumkopesha sasa akiuza asset yake kwenda kuangalia maisha mengine shida iko wapi?
Muhimu tu asikutane na Agency za wapigaji, hicho kipengere ndio pekee kinachohitaji umakini na upime Agency fee utapata ukweli.
Ziko njia za kuverify kama hiyo Agency ni genuine au mbambambaa.