Ushauri: Jirani yangu anataka kuuza nyumba ili akatafute maisha Uingereza ni sawa?

Ushauri: Jirani yangu anataka kuuza nyumba ili akatafute maisha Uingereza ni sawa?

Kazi pekee anayoweza kupata ni ya kuosha vibabu na vibibi vizee kwenye nursing homes. Mshahara ni kama USD 3,000 kwa mwezi. Sijui akikatwa kodi na kulipia pango atabaki na Tsh ngapi za kutoboa
Ndo hiyo hiyo anaenda kufanya
 
Kimfaacho mtu chake, kuna shida gani mtu kuuza Mali yake ili akamilishe plan nyingine?

Kila siku watu wanauza nyumba na wengine wananunuwa nyumba.

Kuna makampuni na viwanda vinauzwa wengine wananunuwa.

Bongo mtu akikwama hakuna wakumkopesha sasa akiuza asset yake kwenda kuangalia maisha mengine shida iko wapi?

Muhimu tu asikutane na Agency za wapigaji, hicho kipengere ndio pekee kinachohitaji umakini na upime Agency fee utapata ukweli.

Ziko njia za kuverify kama hiyo Agency ni genuine au mbambambaa.
Actually hiyo agency ni ya uhakika sio mbambamba, mwenyew nimeverify
 
Back
Top Bottom