Ushauri: Jirani yangu anataka kuuza nyumba ili akatafute maisha Uingereza ni sawa?

Ushauri: Jirani yangu anataka kuuza nyumba ili akatafute maisha Uingereza ni sawa?

Nani kakwambia kua nje hakuna maisha? watu tunakomaa na box huku na mambo yanaenda shwari kabisa,tatizo jinsi ulivyoelezea hapa inaonekana wazi kabisa kua kuna mtu anaenda kupigwa.
Ahaa kumbe ishu ni hyo agency na wala sio huo uamuzi wa kwenda nje kutafuta maisha?
Sidhan kama ni matapeli maana alivyodai wanafanya kazi mpaka na wizara
 
Ndio wamemdanganya hivyo.... Kuwa auze nyumba na kila kitu.... Mama wa makamo... Huko ulaya anakwenda kuishije na alishakuwa makamo?? Nguvu za kuhangaika zishapungua....
Habari za kuuza nyumba hajawaambia.
 
Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.

Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje.
Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.

Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.

Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.

Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Mzuie asije akajinyonga watoto wa mjini wanataka kufanya yao hapo
 
Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.

Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.

Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.

Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.

Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
kachanganyikiwa
 
Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.

Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.

Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.

Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.

Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Mimi nahitaji hicho kiwanja please! Mnake wajinga ndio waliwao
 
Ukipata fursa ya kuishi nchi za ulaya na marekani usijiulize mara mbili piga bei mpka Figo, Tanzania hauwezi kufanikiwa kama sio chawa.
 
hao uliokutana nao ni matapeli wanataka hizo hela,watakupiga maneno mengi wao wataondoka na hela na wewe utarudi moro na majuto.usiuze wala usiende kazana hapahapa kama riziki ipo ipo tu.
 
Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.

Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.

Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.

Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.

Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Hiyo visa hata hajapata ,halafu huko Uingereza hakuna.jipya.Maisha popote bwana.Kama alifanikiwa hadi kujenga nyumba Tanzania,basi anaweza kufika mbali zaidi.Aendelee kupiga kazi hapo hapo Tanzania.
 
Back
Top Bottom