Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
- #81
Ahaa kumbe ishu ni hyo agency na wala sio huo uamuzi wa kwenda nje kutafuta maisha?Nani kakwambia kua nje hakuna maisha? watu tunakomaa na box huku na mambo yanaenda shwari kabisa,tatizo jinsi ulivyoelezea hapa inaonekana wazi kabisa kua kuna mtu anaenda kupigwa.
Sidhan kama ni matapeli maana alivyodai wanafanya kazi mpaka na wizara