ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kuna jamaa amerudi juzi baada ya miaka tisa anasema huko hapafai kama huna fani.Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje.
Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
anyway kila mtu na zali lake