Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
-
- #41
Ndo hiyo hiyo anaenda kufanyaKazi pekee anayoweza kupata ni ya kuosha vibabu na vibibi vizee kwenye nursing homes. Mshahara ni kama USD 3,000 kwa mwezi. Sijui akikatwa kodi na kulipia pango atabaki na Tsh ngapi za kutoboa
Unapenda nyuma?Keyboard ina tabia mbaya sana
Process zote barua, Viza,passport,IELTS, hospital check,ticket + pocket moneyHiyo million 20 ni hela ya visa,passport,flight ticket au ya nini?umesema anaenda kufanya kazi,hela hiyo ya nini??
Kajenga mwenyeweNyumba za urithi zina shida sana angekuwa kajenga mwenyewe asingewaza huwo ujinga!
Hana..ila wamemwambia wanamuandalia mazingira ya kupokelewa na mwenyeji mwez mmojaAna mwenyeji UK?
Nikuulize wewe na keyboard yako?Unapenda nyuma?
Actually hiyo agency ni ya uhakika sio mbambamba, mwenyew nimeverifyKimfaacho mtu chake, kuna shida gani mtu kuuza Mali yake ili akamilishe plan nyingine?
Kila siku watu wanauza nyumba na wengine wananunuwa nyumba.
Kuna makampuni na viwanda vinauzwa wengine wananunuwa.
Bongo mtu akikwama hakuna wakumkopesha sasa akiuza asset yake kwenda kuangalia maisha mengine shida iko wapi?
Muhimu tu asikutane na Agency za wapigaji, hicho kipengere ndio pekee kinachohitaji umakini na upime Agency fee utapata ukweli.
Ziko njia za kuverify kama hiyo Agency ni genuine au mbambambaa.
Hapana, kwann unauliza?una undugu nae?
Matapeli hao achana nao, watakupiga pesa yako halafu ukienda kwenye ofisi yao unaambiwa walishahama.Hana..ila wamemwambia wanamuandalia mazingira ya kupokelewa na mwenyeji mwez mmoja
Bas tufanye ni Mimi, unanishaurije mkuu?Sasa wewe inakuhusu nini mpaka uje umfungulie thd hapa JF?
Unajificha nyuma ya mtu! si ungesema tu kua huyo mtu ni wewe.
Bas tufanye ni Mimi, unanishaurije mkuuSasa wewe inakuhusu nini mpaka uje umfungulie thd hapa JF?
Unajificha nyuma ya mtu! si ungesema tu kua huyo mtu ni wewe.
Kusikia kwa Kenge mpaka damu zitoke masikioni.Actually hiyo agency ni ya uhakika sio mbambamba, mwenyew nimeverify
Ameingizwa chaka to chakainahitajika kama 20M, hana
Chukua huu ushauri Mleta mada, utakuja kumshukuru huyu Jamaa baadaye.Matapeli hao achana, watakupiga pesa yako halafu ukienda kwenye ofisi yao unaambiwa walishahama.
Siku hizi town kuna ofisi Kali za kukodi hata kwa masaa kumpiga mtu.
Ukiona unapewa fursa tambua kua wewe ndio fursa yenyewe.Bas tufanye ni Mimi, unanishaurije mkuu
Kidogo chetu alooooApate.
Kipapatio....cha kuku, kuku gani? Mweupe, analiaje? Kwiikwii.Apate.