ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kuna jamaa amerudi juzi baada ya miaka tisa anasema huko hapafai kama huna fani.Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje.
Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
[emoji1787]Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno
Luka 13:28
Kwani Mumewe na Watoto wake wao wanasemaje!!??Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje.
Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Kwann? Kumbe ugumu ni visa tu. Sio maisha baada ya kufika?Kama ameshapata visa tayari auze tu haina shida, lakini kama visa bado simshauri auze.
Wanabishana tuKwani Mumewe na Watoto wake wao wanasemaje!!??
Pesa inaishiwa matumizi basiMwambie aache ujinga TU!!
Umri wa makam tena mmama unatafuta pesa ya aje!!?
Alikuwa nchi gan?Kuna jamaa amerudi juzi baada ya miaka tisa anasema huko hapafai kama huna fani.
anyway kila mtu na zali lake
Hyo sio Agency fee. Agency fee ni 1000usdNilikuwa sijaona hii msg, huu ni Utapeli mia kwa mia.
Mwambie afanye mambo mengine kuliko kuwapa watu sadaka 20m, hakuna Agency fee ya hivyo.
Uongo, huhitaji milioni 20 kwenda Uingereza. Anaibiwa huyo, Mwambie aache.inahitajika kama 20M, hana
Kwahyo mkuu kumbe nje hakuna maishaUkiona unapewa fursa tambua kua wewe ndio fursa yenyewe.
Shingapi inahitajika?Uongo, huhitaji milioni 20 kwenda Uingereza. Anaibiwa huyo, Mwambie aache.
Anaweza kuja inbox tumshauri vizuri.
Hata za kuosha vibibi?Mwambie anapigwa live bila chenga.. Mwambie ili umuokoe ulaya hakuna kazi za mserereko kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia kua nje hakuna maisha? watu tunakomaa na box huku na mambo yanaenda shwari kabisa,tatizo jinsi ulivyoelezea hapa inaonekana wazi kabisa kua kuna mtu anaenda kupigwa.Kwahyo mkuu kumbe nje hakuna maisha
Ndio wamemdanganya hivyo.... Kuwa auze nyumba na kila kitu.... Mama wa makamo... Huko ulaya anakwenda kuishije na alishakuwa makamo?? Nguvu za kuhangaika zishapungua....inahitajika kama 20M, hana
Anategemea kuwa atalipwa pesa ngapi kuosha vibibi vyenzake??Hata za kuosha vibibi?
Alikuwa UingerezaAlikuwa nchi gan?