Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
-
- #81
Ahaa kumbe ishu ni hyo agency na wala sio huo uamuzi wa kwenda nje kutafuta maisha?Nani kakwambia kua nje hakuna maisha? watu tunakomaa na box huku na mambo yanaenda shwari kabisa,tatizo jinsi ulivyoelezea hapa inaonekana wazi kabisa kua kuna mtu anaenda kupigwa.
Ahaa kwahyo mkuu Uingereza hamna kaziMwambie AACHE KABISA !!! AACHE KABISA !!
Atafute internet ni Waingereza wangapi hawana ajira. Anadhani yeye akienda atapataje??
Issue nzima ni UTAPELI MTUPU !!
Alikuwa anapiga kazi zipi?Alikuwa Uingereza
Habari za kuuza nyumba hajawaambia.Ndio wamemdanganya hivyo.... Kuwa auze nyumba na kila kitu.... Mama wa makamo... Huko ulaya anakwenda kuishije na alishakuwa makamo?? Nguvu za kuhangaika zishapungua....
Alikuwa anaokota vipisi vya sigara na kazi zingine ndogo ndogo kwenye stendi za treniAlikuwa anapiga kazi zipi?
Mzuie asije akajinyonga watoto wa mjini wanataka kufanya yao hapoWajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje.
Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
kachanganyikiwaWajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Mimi nahitaji hicho kiwanja please! Mnake wajinga ndio waliwaoWajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Sawa, tufanye ni Mimi..una ushauri gani?
Hiyo visa hata hajapata ,halafu huko Uingereza hakuna.jipya.Maisha popote bwana.Kama alifanikiwa hadi kujenga nyumba Tanzania,basi anaweza kufika mbali zaidi.Aendelee kupiga kazi hapo hapo Tanzania.Wajuvi,wajuzi,wakulungwa na makontawa na matycoon mnaitwa huku mtoe ushauri.
Nina jirani yangu huku Morogoro ni mmama wa makamo, alienda Dar kibiashara lakini katika pitapita zake amekutana na kampuni posta wanasaidia kuprocess watu kwenda nje. Sasa amepewa plan ya kuunganishwa kwenda UK akafanye kazi.
Kimbembe amerudi anataka auze Kila kitu kuanzia nyumba mpaka kiwanja chake kipo msamvu ili aende.
Anasema ana Imani ndani ya miezi 6 anaweza kuzirudisha hizo asset.
Wakuu, hii imekaaje?
Hawezi kwenda kufeli akarudi na stress na majuto?
Hakuna sehemu yoyote inayo demand pesa ili upate ajira, ogopa matapeli.inahitajika kama 20M, hana
unafuatilia yasiyo kuhusu.Hapana, kwann unauliza?