Ushauri: Kabla Serikali haijaruhusu Watanzania kufanya vibarua Israel wajirithishe uwezo wa sasa wa Israel kujilinda na kulinda raia wake

Ushauri: Kabla Serikali haijaruhusu Watanzania kufanya vibarua Israel wajirithishe uwezo wa sasa wa Israel kujilinda na kulinda raia wake

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kuna habari kuwa Israel imeamua kuwanyima ajira wapalestina na sasa anataka kitafuta vibarua wapya mashambani kutoka Afrika na kwingineko duniani. Hii nimeisoma humuhumu JF.

Nashauri kabla hatujarisk kuwapeleka raia huko kupiga shekeli basi tujirithishe uwezo wa nchi hiyo kujinda. Kama bado kuna mashaka nashauri wanaopenda wakafanye vibarua tu hukohuko Malinyi, Mpanda na mwenye mashamba ya nchini.

Sababu ya hofu yangu.

1: Israel kwa sasa imeongeza maadui wengi hivyo rahisi kuwa targeted kutokea angle yoyote.

2: Tumeona silaha nyingi za magharibi walizowauzia Ukraine kupitia Black market zimetapakaa hadi kwa magaidi wa Hamas. Hivyo wanaweza kupigwa na kitu kizito muda wowote.

3: Tetesi ya leo kuwa Hypersonic Missile ya Hesbullah imelipua batteries mbili za Iron Dome. Kitu ambacho hakuna mwarabu aliwahi kufanikiwa tangu zibuniwe. Ni ishara sasa wenda nchi hiyo sio salama sana.

4: Kitendo cha mtanzania mwenzetu kutrend dunia nzima siku hizi mbili akiuwawa na magaidi huku wakijua fika sio myahudi pia kinatutaka kuongeza umakini wa kiutafiti kbla hatujaruhusu watu wetu kusogea huko hasa kusini mwa israel.

5: Kitendo cha Mossad kushindwa kugundua hatari kubwa kama ile ya tarehe 7, kinatia shaka uwezo wa nchi hiyo kujisimamia kiintellijensia. Hivyo kuna haja ya kujiridhisha sana kabla hatujapeleka vibarua wa mashambani.

Hata sisi watumishi wa Mungu tunaopenda kwenda kuchunguza maandiko kwa vitendo kwa uchunguzi huu butu ambao haujaongozwa na roho mtakatifu kuna haja ya kusoma upepo kidogo.

Ni hayo tu.
 
Wimbi lakwenda kutafuta ela nchi za wenzetu limepungua kwa kasi ya ajabu mno yani kama mtu hauna nyumba umepanga chumba kimoja nawenye mikopo wanawakopesha mpaka m1 saa uko wafwate nini
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 yaani Tz ijiridhishe kuhusu Israel???uko serious au??? Nchi ambayo ni maskini wa kutupwa wamama wanajifungulia chini ijiridhishe kwa nchi ambayo imegeuza jangwa kua neema ya kilimo kwa kila kitu. Nalemagha ghete ghete.
 
Kuna habari kuwa Israel imeamua kuwanyima ajira wapalestina na sasa anataka kitafuta vibarua wapya mashambani kutoka Afrika na kwingineko duniani. Hii nimeisoma humuhumu JF.

Nashauri kabla hatujarisk kuwapeleka raia huko kupiga shekeli basi tujirithishe uwezo wa nchi hiyo kujinda. Kama bado kuna mashaka nashauri wanaopenda wakafanye vibarua tu hukohuko Malinyi, Mpanda na mwenye mashamba ya nchini.

Sababu ya hofu yangu.

1: Israel kwa sasa imeongeza maadui wengi hivyo rahisi kuwa targeted kutokea angle yoyote.

2: Tumeona silaha nyingi za magharibi walizowauzia Ukraine kupitia Black market zimetapakaa hadi kwa magaidi wa Hamas. Hivyo wanaweza kupigwa na kitu kizito muda wowote.

3: Tetesi ya leo kuwa Hypersonic Missile ya Hesbullah imelipua batteries mbili za Iron Dome. Kitu ambacho hakuna mwarabu aliwahi kufanikiwa tangu zibuniwe. Ni ishara sasa wenda nchi hiyo sio salama sana.

4: Kitendo cha mtanzania mwenzetu kutrend dunia nzima siku hizi mbili akiuwawa na magaidi huku wakijua fika sio myahudi pia kinatutaka kuongeza umakini wa kiutafiti kbla hatujaruhusu watu wetu kusogea huko hasa kusini mwa israel.

5: Kitendo cha Mossad kushindwa kugundua hatari kubwa kama ile ya tarehe 7, kinatia shaka uwezo wa nchi hiyo kujisimamia kiintellijensia. Hivyo kuna haja ya kujiridhisha sana kabla hatujapeleka vibarua wa mashambani.

Hata sisi watumishi wa Mungu tunaopenda kwenda kuchunguza maandiko kwa vitendo kwa uchunguzi huu butu ambao haujaongozwa na roho mtakatifu kuna haja ya kusoma upepo kidogo.

Ni hayo tu.

Usiwe na hofu ndugu ushauri wa kiufundi tutawapa mossad
 
Wimbi lakwenda kutafuta ela nchi za wenzetu limepungua kwa kasi ya ajabu mno yani kama mtu hauna nyumba umepanga chumba kimoja nawenye mikopo wanawakopesha mpaka m1 saa uko wafwate nini
Dunia kijiji. Kama kuna sehemu iko salama watu waende tu.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 yaani Tz ijiridhishe kuhusu Israel???uko serious au??? Nchi ambayo ni maskini wa kutupwa wamama wanajifungulia chini ijiridhishe kwa nchi ambayo imegeuza jangwa kua neema ya kilimo kwa kila kitu. Nalemagha ghete ghete.
😁😁 mkuu haijalishi lakini lazimq na sisi tujitutumue kujali raia wetu hata kama watu wanajifungulia chini ya mti.
 
Kuna habari kuwa Israel imeamua kuwanyima ajira wapalestina na sasa anataka kitafuta vibarua wapya mashambani kutoka Afrika na kwingineko duniani. Hii nimeisoma humuhumu JF.

Nashauri kabla hatujarisk kuwapeleka raia huko kupiga shekeli basi tujirithishe uwezo wa nchi hiyo kujinda. Kama bado kuna mashaka nashauri wanaopenda wakafanye vibarua tu hukohuko Malinyi, Mpanda na mwenye mashamba ya nchini.

Sababu ya hofu yangu.

1: Israel kwa sasa imeongeza maadui wengi hivyo rahisi kuwa targeted kutokea angle yoyote.

2: Tumeona silaha nyingi za magharibi walizowauzia Ukraine kupitia Black market zimetapakaa hadi kwa magaidi wa Hamas. Hivyo wanaweza kupigwa na kitu kizito muda wowote.

3: Tetesi ya leo kuwa Hypersonic Missile ya Hesbullah imelipua batteries mbili za Iron Dome. Kitu ambacho hakuna mwarabu aliwahi kufanikiwa tangu zibuniwe. Ni ishara sasa wenda nchi hiyo sio salama sana.

4: Kitendo cha mtanzania mwenzetu kutrend dunia nzima siku hizi mbili akiuwawa na magaidi huku wakijua fika sio myahudi pia kinatutaka kuongeza umakini wa kiutafiti kbla hatujaruhusu watu wetu kusogea huko hasa kusini mwa israel.

5: Kitendo cha Mossad kushindwa kugundua hatari kubwa kama ile ya tarehe 7, kinatia shaka uwezo wa nchi hiyo kujisimamia kiintellijensia. Hivyo kuna haja ya kujiridhisha sana kabla hatujapeleka vibarua wa mashambani.

Hata sisi watumishi wa Mungu tunaopenda kwenda kuchunguza maandiko kwa vitendo kwa uchunguzi huu butu ambao haujaongozwa na roho mtakatifu kuna haja ya kusoma upepo kidogo.

Ni hayo tu.
Naomba nijibu wakati vijana wenzangu wanaenda kulikuwa na tension hii, hapana katika haki tusimame na katika onewa tusimame.
 
😁😁 mkuu haijalishi lakini lazimq na sisi tujitutumue kujali raia wetu hata kama watu wanajifungulia chini ya mti.
Hamna uwezo huo wa kujali raia zenu nyie, tembelea balozi zetu za nje ukiwa na shida ndio utajua hii nchi imeoza toka kichwani hadi unyayoni.Nchi imejaa ubinafsi wa kutupwa, ma afisa ubalozi waache kujali matumbo yao yenye vitambi vya minyoo wajali wananchi wao.Thubutuu.Eti nchi ya TZ ijali raia wake, una akili timamu wewe. Nchi hii ishapotea kitambo sana haina huo uwezo wa kujali raia zake, mfano hai ni wabongo wangapi wanakufa huko Gulf kwa mateso ya waarabu na rais wenu kila siku yupo huko ulishawahi sikia wakiongelea hilo.
 
Back
Top Bottom