Mjinga ni ww bima ya afya haipaswa kufanywa generalized bali ni jitihada za mtu mmoja mmoja .Shule ulienda kusomea ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga ni ww bima ya afya haipaswa kufanywa generalized bali ni jitihada za mtu mmoja mmoja .Shule ulienda kusomea ujinga
Ndo hivyo kuna wamejaa makamasi kichwani .yaani nikatwe kodi ile mvivu flani atibiwe bure hiyo haitakubalika ni lazima anayepewa bima achangia ili one umuhim wake na kuiheshimuDuh.! Mama na mtoto watibiwe bure tena? Tunarudi kwenye ujamaa kamili wa kukamua watafutaji kodi za damu ili wanaozaa bila kujiandaa wapewe kila kitu bure?
Naunga mkono hojaHaina shaka kwamba pombe na sigara, soda na vinywaji aina yake, na pengine sekta ya madini, ndio visababishi vikubwa vya maradhi. Visababisha maradhi basi viwe na mchango katika tiba.
Serikali ikae ifanye tathmini ili kujua endapo itaongezwa shilingi 100 kwa kila kinywaji, itapatikana shilingi ngapi.
Halafu iangaliwe huduma ya mama na mtoto huwa inagharimu shilingi ngapi, zipelekwe huko. Mama mjamzito, mama aliyejifungua na mtoto, wapewe huduma bure. Pia mtoto yeyote anayelazwa apewe huduma bure pamoja na wazee.
Wataalamu wakae wafanye tathmini ya makadirio ya gharama hizo. Hii inaweza kugusa huduma maalum za matibabu ya moyo kwa watoto. Hii itampa nafuu Malisa kuchangisha watu huko mitandaoni, na pia ugonjwa hauna chama.
Wanaume tukisaidiwa gharama za kuwatibu mke na mtoto, sisi tutajitibu wenyewe
Acha upumbavu wako wewe kimaMjinga ni ww bima ya afya haipaswa kufanywa generalized bali ni jitihada za mtu mmoja mmoja .
We chizi nini.. Yaani fegi tuvute sisi. Madhara tupate sisi.. Halafu kutibiwa watibiwe wake zenu..😃😃😃😃Haina shaka kwamba pombe na sigara, soda na vinywaji aina yake, na pengine sekta ya madini, ndio visababishi vikubwa vya maradhi. Visababisha maradhi basi viwe na mchango katika tiba.
Serikali ikae ifanye tathmini ili kujua endapo itaongezwa shilingi 100 kwa kila kinywaji, itapatikana shilingi ngapi.
Halafu iangaliwe huduma ya mama na mtoto huwa inagharimu shilingi ngapi, zipelekwe huko. Mama mjamzito, mama aliyejifungua na mtoto, wapewe huduma bure. Pia mtoto yeyote anayelazwa apewe huduma bure pamoja na wazee.
Wataalamu wakae wafanye tathmini ya makadirio ya gharama hizo. Hii inaweza kugusa huduma maalum za matibabu ya moyo kwa watoto. Hii itampa nafuu Malisa kuchangisha watu huko mitandaoni, na pia ugonjwa hauna chama.
Wanaume tukisaidiwa gharama za kuwatibu mke na mtoto, sisi tutajitibu wenyewe
Haina shaka kwamba pombe na sigara, soda na vinywaji aina yake, na pengine sekta ya madini, ndio visababishi vikubwa vya maradhi. Visababisha maradhi basi viwe na mchango katika tiba.
Serikali ikae ifanye tathmini ili kujua endapo itaongezwa shilingi 100 kwa kila kinywaji, itapatikana shilingi ngapi.
Halafu iangaliwe huduma ya mama na mtoto huwa inagharimu shilingi ngapi, zipelekwe huko. Mama mjamzito, mama aliyejifungua na mtoto, wapewe huduma bure. Pia mtoto yeyote anayelazwa apewe huduma bure pamoja na wazee.
Wataalamu wakae wafanye tathmini ya makadirio ya gharama hizo. Hii inaweza kugusa huduma maalum za matibabu ya moyo kwa watoto. Hii itampa nafuu Malisa kuchangisha watu huko mitandaoni, na pia ugonjwa hauna chama.
Wanaume tukisaidiwa gharama za kuwatibu mke na mtoto, sisi tutajitibu wenyewe
Ndo maana tunalilia katiba mpya haya mambo yatapotea tu!Hili neno tozo linatumika vibaya Sana. Kila mtu anajisikia kusema lolote. Serikali imeshindwa kuisimamia NHIF mpaka inakaribia kufa ndio ije isimamie mambo mengine.
We fala wenzio wananunua LC 300 kupitia makodi na matozo....wanakula raha.....shauri yakoHaina shaka kwamba pombe na sigara, soda na vinywaji aina yake, na pengine sekta ya madini, ndio visababishi vikubwa vya maradhi. Visababisha maradhi basi viwe na mchango katika tiba.
Serikali ikae ifanye tathmini ili kujua endapo itaongezwa shilingi 100 kwa kila kinywaji, itapatikana shilingi ngapi.
Halafu iangaliwe huduma ya mama na mtoto huwa inagharimu shilingi ngapi, zipelekwe huko. Mama mjamzito, mama aliyejifungua na mtoto, wapewe huduma bure. Pia mtoto yeyote anayelazwa apewe huduma bure pamoja na wazee.
Wataalamu wakae wafanye tathmini ya makadirio ya gharama hizo. Hii inaweza kugusa huduma maalum za matibabu ya moyo kwa watoto. Hii itampa nafuu Malisa kuchangisha watu huko mitandaoni, na pia ugonjwa hauna chama.
Wanaume tukisaidiwa gharama za kuwatibu mke na mtoto, sisi tutajitibu wenyewe
Na huo ndio upumbavu wa mleta mada, serikali inafuja hela kwa vitu vya anasa hajagusia kabisa,ila kwa wavuja jasho ambao wameminywa Kila sehemu eti anashauri vice iongezwe, kwa aina hii ya wapumbavu hatuwezi songa mbele, yaani hakuna mbinu mbadala zaidi ya kumnyonga mvuja jashoViongozi wanapenda sana aina hii ya mindset kwa Raia wanaowaongoza.
Hatuongelei ma v8 ya 400 mil plus za viongozi wanazonunua kama pipi, gharama na matumizi mabaya ya puplic funds bali tunajibana sisi kwa sisis kwa vitu ambavyo tunaona havituhusu.
Huyu ni mshenzi Sana!Na huo ndio upumbavu wa mleta mada, serikali inafuja hela kwa vitu vya anasa hajagusia kabisa,ila kwa wavuja jasho ambao wameminywa Kila sehemu eti anashauri vice iongezwe, kwa aina hii ya wapumbavu hatuwezi songa mbele, yaani hakuna mbinu mbadala zaidi ya kumnyonga mvuja jasho