Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Wakuu habarini za mihangaiko, nimejenga nyumba kubwa ya vyumba 3 nimeishia kuweka lenta lakini kutokana na kupanda Kwa gharama za vifaa vya ujenzi kuna uwezekano wa kuchukua hata miaka miwili Hadi kumaliza.
Kuna wadau wamenishauri ili nitoke kwenye upangaji basi nijenge chumba kimoja na sebule pembeni then nihamie halafu niwe naendelea na ujenzi wa nyumba kubwa nikiwa kwangu ili niondokane na kodi lakini pia itarahisha usimamizi wa nyumba kubwa.
Kuna wadau wamenishauri ili nitoke kwenye upangaji basi nijenge chumba kimoja na sebule pembeni then nihamie halafu niwe naendelea na ujenzi wa nyumba kubwa nikiwa kwangu ili niondokane na kodi lakini pia itarahisha usimamizi wa nyumba kubwa.