Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Kaza moyo demu alikuwa loyal kwa jama wa kwanza katendwa ana majeraha sana kwa watu wankaa na majeraha mpaka miaka 5 na kitu mpe mda

Dunia haina huruma unalipwa tofauti ukiwa haucheat nawe unasalitiwa ndo maana matukio ya kujiua yamezidi

Ishu na uyo ex najua kurudiana ni ngumu kutokana na ego ishajengeka kati yao kila mtu anaona kumwambia mwenzie warudiane ni ishu pevu inawa mioyo yao inapendana
 
Hizo sms alizokutumia ni kama mwandiko wa demu wangu juzi nilimchatisha kisha jana akaja ghetto
Kama ni mnene wa wastani, anaishi mabibo na mdogo wake basi ni demu wangu
Hapana kaka usije ukagombana nae bila kosa Wala Akai mabibo
 
Kaza moyo demu alikuwa loyal kwa jama wa kwanza katendwa ana majeraha sana kwa watu wankaa na majeraha mpaka miaka 5 na kitu mpe mda

Dunia haina huruma unalipwa tofauti ukiwa haucheat nawe unasalitiwa ndo maana matukio ya kujiua yamezidi

Ishu na uyo ex najua kurudiana ni ngumu kutokana na ego ishajengeka kati yao kila mtu anaona kumwambia mwenzie warudiane ni ishu pevu inawa mioyo yao inapendana
Asante Sana kwa ushauri wako. lakini ata yule x wake ajui alipo uyu huyu dada alipo kua akimtafuta alikua akimtumia video akiwa na mwanamke mwingine lakini akuchoka kuzidi kumtafuta but kilichotokea baada ya x wake kuona haachi kumsumbua X aliamua kumblock.
 
Ungekua na hela usingekataliwa
Shida sio pesa naweza kumlisha anacho kitaka na kumvalisha na makorokoro yote ya wanawake unayoyajua wanatumia kwa mwaka bila kumsubirisha akiomba ata sekunde Moja.
Ye mwenye Yuko vizuri na ataki pesa anataka "atakaempenda kwa dhati she not care about 💰 money " na mie kweli nampenda
Shida ipo kwenye kuamini na kumfanya amsaau yule X. kuniblock ni ishu ndog kwangu.
 
Asante Sana kwa ushauri wako. lakini ata yule x wake ajui alipo uyu huyu dada alipo kua akimtafuta alikua akimtumia video akiwa na mwanamke mwingine lakini akuchoka kuzidi kumtafuta but kilichotokea baada ya x wake kuona haachi kumsumbua X aliamua kumblock.
Game ngumu sana kaka mapenzi ni hatar kwa zama izi tena ukiwa loyao umekwisha watu wana zeeka wakiwa single kutokana na izo ishu

Dunia haina huruma
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Kwa umri wako huwezi kutoa KODI ya MEZA ,tatizo linaanzia hapo
 
Mi nakushauri kwa experience usijaribu kuforce mtu akupende, kama ameweza kusema wazi wazi usije ukapoteza muda wako.
Mwisho wa siku utakuja kutamkiwa maneno mabaya ambayo yatakuumiza zaidi.

Kwa umri wako huo najua bado hujawa stable kiuchumi, na ndo maana anakupa sababu zote hizo. Pambana tafuta hela mengine yatakuja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 24 unalia kisa Mapenzi!
Mkuu, una mambo mengi ya kufanya zaidi ya Kupenda kijinga , mapenzi waachie wazee.
Mkuu mpaka Sasa Nina mambo megi Nina yafanya. hoooh sawaaaaaa mapenzi ni ya wazee ukute we nawe mwezangu na Mimi unajikaza tu kiaina hee
 
Mi nakushauri kwa experience usijaribu kuforce mtu akupende, kama ameweza kusema wazi wazi usije ukapoteza muda wako.
Mwisho wa siku utakuja kutamkiwa maneno mabaya ambayo yatakuumiza zaidi.

Kwa umri wako huo najua bado hujawa stable kiuchumi, na ndo maana anakupa sababu zote hizo. Pambana tafuta hela mengine yatakuja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe 🙏 saana mkuu. But maswala ya pesa sio shida wote tuna shuguli za kufanya yeye anachokililia ni true love only mambo mengine badae tatizo kuniamini na lile jambo Bado lipo moyoni mwake na kweli linamuumiza kisaikolijia
 
Wachuchu wapo wengi sana, ni vile tu moyo wako kwa sasa unakudanganya kuwa hakuna mwingine zaidi ya huyo...
Asante Sana. Lakini nahisi ni yeye ndo moyo wake unamdanganya anazani Mimi ni sawa na yule X.
Wakati kakutana na mtu mwema
wake
 
Nimepitia reply zako inaonesha wewe bado unataka kulazimisha kwa huyo bint

Mkuu skia huyo dada haupo moyoni mwake, amekulinganisha na ex wake akaona hutoshi, hana hisia nawewe, bado anaamin ex wake atarudi.

Ushauri wangu;
Acha kupoteza mda wako kwake, mtu kama mpaka kaku block na hamja gombana, hiyo inatoka moyoni mwake, umesem hela haikusumbui!, vema, ila endelea kuboresha maisha yako, kama amepangwa awe wako atakuja mbele ya safari tu.
 
Back
Top Bottom