Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Amekutajia Jina Halisi Kabisa Unachanganyikiwa Kijana?

Hapo Ndio Unafungua Kurasa Ya Kumtafuta Vizuri.
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Uaimfikirie tena huyo mpuuzi.... fanya mambo mengine ya maan....yakimshinda atakuja akwambie [emoji849] samahani ni shetani

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nikweli but ukiona mtu kapenda kweli ujue chujio limechuja Nina miaka mingi Sana dar na Wala ata siangaiki na wanawake
Ndio zetu watu wenye upendo wa dhati na siku ukikutana na unaempenda kweli ndo cheche zinatoka

Penda kwa kutumia ubongo, upendo wa moyoni uache hadi mchuchu atapokuwa mkeo...
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry 😔. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Tafuta pesa (Mbongo) ni sabuni tosha ya mapenzi Kwa miaka hii
 
Hapana kaka usije ukagombana nae bila kosa Wala Akai mabibo
Aaah wapi...! Unajua nini, mimi mwenyewe nilikua napenda kama wewe nikajikuta naishia kuumia tu, sasa nilichokifanya nimeamua kutokupenda, yaani naigiza kama napenda lakini akilini nafanya kama utani au usanii flani hivi

Nampa maneno mazuri lakini nimeshajijengea imani akilini mwangu najisemea, "akinitosa sina cha kupoteza".
Tangu nianze tabia hii sijawahi kujutia wala kuumia tena ndo nimejikuta nakua jasiri namuibukia mwanamke yeyote on time yaani nikimuelewa tu namchana akikataa naachana nae nafanya mambo mengine maana sina cha kupoteza

Kwa sasa mambo ya kupenda kutoka moyoni tuwaachie kina Sharukhan sisi twende na maigizo tu
Hawa viumbe wanapenda sana kudanganywa hivyo twende nao anavyotaka wao

Kuna mwamba aliweka status akasema, "ukiwa mkweli huwezi kuoa"
Hivyo ni vyema twende nao kwa kutumia ulimi wa mwanasiasa
Usipende ila mtamani tu, kuwa muigizaji
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry 😔. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Soma sana kwa bidii, wazazi wako tunateseka sana na magunia ya vitunguu ili mwanetu usome halafu unaendekeza habari za mapenzi! Mimi kama mzee Materu sijapenda hio biashara unayofanya hapo uhasibu!
 
Nimepitia reply zako inaonesha wewe bado unataka kulazimisha kwa huyo bint

Mkuu skia huyo dada haupo moyoni mwake, amekulinganisha na ex wake akaona hutoshi, hana hisia nawewe, bado anaamin ex wake atarudi.

Ushauri wangu;
Acha kupoteza mda wako kwake, mtu kama mpaka kaku block na hamja gombana, hiyo inatoka moyoni mwake, umesem hela haikusumbui!, vema, ila endelea kuboresha maisha yako, kama amepangwa awe wako atakuja mbele ya safari tu.
Hahahahahha
 
Kitu naweza kuhusia tu kamwe usijaribu kufosi mtu akupende!

Love is free ni hisia ambazo zinakuwepo tu juu yako hazihitaji msukumo wa aina yeyote ile. Huyo mwanamke ukimforce ataishia kukutesa tu.
 
Kubaliwa, kataliwa, Achwa, tapeliwa, rudi tena mwenyewe, etc
nishazoea mpk naona kawaida t..
Br usicomplicate mambo ,we ishi tu
 
Back
Top Bottom