Ja Mara
Member
- Aug 19, 2021
- 44
- 44
- Thread starter
- #41
Nikweli but ukiona mtu kapenda kweli ujue chujio limechuja Nina miaka mingi Sana dar na Wala ata siangaiki na wanawakeWachuchu wapo wengi sana, ni vile tu moyo wako kwa sasa unakudanganya kuwa hakuna mwingine zaidi ya huyo...
Ndio zetu watu wenye upendo wa dhati na siku ukikutana na unaempenda kweli ndo cheche zinatoka