Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Ushauri; Kuna dada nampenda sana lakini hayuko tayari kuwa na mimi

Wachuchu wapo wengi sana, ni vile tu moyo wako kwa sasa unakudanganya kuwa hakuna mwingine zaidi ya huyo...
Nikweli but ukiona mtu kapenda kweli ujue chujio limechuja Nina miaka mingi Sana dar na Wala ata siangaiki na wanawake
Ndio zetu watu wenye upendo wa dhati na siku ukikutana na unaempenda kweli ndo cheche zinatoka
 
Nimepitia reply zako inaonesha wewe bado unataka kulazimisha kwa huyo bint

Mkuu skia huyo dada haupo moyoni mwake, amekulinganisha na ex wake akaona hutoshi, hana hisia nawewe, bado anaamin ex wake atarudi.

Ushauri wangu;
Acha kupoteza mda wako kwake, mtu kama mpaka kaku block na hamja gombana, hiyo inatoka moyoni mwake, umesem hela haikusumbui!, vema, ila endelea kuboresha maisha yako, kama amepangwa awe wako atakuja mbele ya safari tu.
Hakika nimekupata Saaana Asante kwa ushauri wako mzuri umenichoma kunako ingawa Kuna karoho ya ajabu inaleta shida
But hii lazima nilifanyie kazi 🤔🤔
 
Hakika nimekupata Saaana Asante kwa ushauri wako mzuri umenichoma kunako ingawa Kuna karoho ya ajabu inaleta shida
But hii lazima nilifanyie kazi [emoji848][emoji848]
Kaza kiume, siku zinavyoenda moyo unapoa, kama imeandikwa wako mbona atakuja tuu, ukizidi kimsumbua ndo atazidi kukudharau na kukuona kero, mwanamke ni kama mchanga wa bahari, jinsi unavyo zidi kuushika na kuubana kwa guvu kiganjani ndivo unavyo zidi kukuponyoka.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Kaza kiume, siku zinavyoenda moyo unapoa, kama imeandikwa wako mbona atakuja tuu, ukizidi kimsumbua ndo atazidi kukudharau na kukuona kero, mwanamke ni kama mchanga wa bahari, jinsi unavyo zidi kuushika na kuubana kwa guvu kiganjani ndivo unavyo zidi kukuponyoka.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Fantastic article ⭐⭐⭐⭐mkuu ubarikiwe 🙏 🙏
 
Sasa hatuna cha kukushauri umemchagua mwenyewe
Yawezekana kweli lakini kwa waliotoa ushauri tiaari naona naelekea pazuri but kumbuka wazungu wanasema "find what you love and let's it kill you"
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Tafuta pesa Kijana Acha kulia Lia kuhusu pesa mdogo wangu. Tafuta hela mdogo wangu zitakutatulia changamoto nyingi nakuhakikishia mdogo wangu
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Siku hizi kupendaa penda kumepitwa na mudaaa tulilluuuuu.....
 
Dogo..
Pesa
Pesa
Pesa
Pesa
Achana na kutongoza tafuta pesa. Fisi hufuata mzoga...
Utachagua fisi wako mwenye nafuu.
Nb; bado wapo ke wanaojielewa hawatishwi na pesa lkn ni kuduchu mno
 
Habari Wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.

Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .

Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo

"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."

Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.

Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Yeye ndo alipaswa ajiulize afanye nini
 
Back
Top Bottom