Nikweli but ukiona mtu kapenda kweli ujue chujio limechuja Nina miaka mingi Sana dar na Wala ata siangaiki na wanawakeWachuchu wapo wengi sana, ni vile tu moyo wako kwa sasa unakudanganya kuwa hakuna mwingine zaidi ya huyo...
Hakika nimekupata Saaana Asante kwa ushauri wako mzuri umenichoma kunako ingawa Kuna karoho ya ajabu inaleta shidaNimepitia reply zako inaonesha wewe bado unataka kulazimisha kwa huyo bint
Mkuu skia huyo dada haupo moyoni mwake, amekulinganisha na ex wake akaona hutoshi, hana hisia nawewe, bado anaamin ex wake atarudi.
Ushauri wangu;
Acha kupoteza mda wako kwake, mtu kama mpaka kaku block na hamja gombana, hiyo inatoka moyoni mwake, umesem hela haikusumbui!, vema, ila endelea kuboresha maisha yako, kama amepangwa awe wako atakuja mbele ya safari tu.
Kaza kiume, siku zinavyoenda moyo unapoa, kama imeandikwa wako mbona atakuja tuu, ukizidi kimsumbua ndo atazidi kukudharau na kukuona kero, mwanamke ni kama mchanga wa bahari, jinsi unavyo zidi kuushika na kuubana kwa guvu kiganjani ndivo unavyo zidi kukuponyoka.Hakika nimekupata Saaana Asante kwa ushauri wako mzuri umenichoma kunako ingawa Kuna karoho ya ajabu inaleta shida
But hii lazima nilifanyie kazi [emoji848][emoji848]
Sasa hatuna cha kukushauri umemchagua mwenyeweAsante mkuu. Mimi Kila kitu nakula lakini namshukuru mungu na chagua Cha kuingiza tumboni naamini apo utanielewa
Fantastic article ⭐⭐⭐⭐mkuu ubarikiwe 🙏 🙏Kaza kiume, siku zinavyoenda moyo unapoa, kama imeandikwa wako mbona atakuja tuu, ukizidi kimsumbua ndo atazidi kukudharau na kukuona kero, mwanamke ni kama mchanga wa bahari, jinsi unavyo zidi kuushika na kuubana kwa guvu kiganjani ndivo unavyo zidi kukuponyoka.
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Angalia kijana usije ukawa chazo Cha wadada kujiua kwasababu ya mapenziMapenzi mapenzi
Miaka hii niliyonayo sijawahi kupenda mwanamke....nawaona chombo Cha starehe tu..
Any Nina male chauvinism
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Isipokua Mimi TU[emoji4]Humu kila mtu ni strong kwenye mapenzi[emoji28][emoji28][emoji28]
Tafuta pesa Kijana Acha kulia Lia kuhusu pesa mdogo wangu. Tafuta hela mdogo wangu zitakutatulia changamoto nyingi nakuhakikishia mdogo wanguHabari Wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.
Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .
Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo
"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."
Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.
Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
DahSikiliza huu wimbo wa Juma Nature huku unakunywa pombe kali
Siku hizi kupendaa penda kumepitwa na mudaaa tulilluuuuu.....Habari Wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.
Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .
Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo
"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."
Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.
Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii
Yeye ndo alipaswa ajiulize afanye niniHabari Wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.
Kazi ipo kwa huyu wa sasa,
Kuna Mdada nilikutananae katika kuwasiliana kwetu nilimwambia kilichopo moyoni, baada ya wiki moja nilikutananae kumwonyesha hisia zangu uso kwa uso. Ambapo alinieleza kuwa na yeye awezi kumdanganya mwanaume akipenda amependa. mungu ni mwema Alifunguka na kuniambia ananipenda, Lakini kwenye mazungumzo alinieleza historia yake ya mausiano yuko Kama mimi aliumwizwa na "X" wake. kwakuwa wote tuko Single tumekutana tunapendana Baasi moyoni nilifrai saana nikatambua jukumu langu kubwa kama mwanaume ni kumfanya aweze kumsahau "X" wake .
Nilijitahidi kweli kumjali kilichotokea juzi Tarehe 17.02.2022 usiku saa 09:45 nilikuta Kaniblock kwenye call na kuniachia text zifuatazo
"Jina langu.., am really sorry [emoji17]. Sitaki Kukuumiza kwa Upendo wako me sitaki mpenzi moyo wangu bado unamaumivu."
"Am sorry Sitaki kukupotezea muda kwako sina hisia za mapezi tena."
Moyo wangu ulisinyaa ghafla kama hini lililo mwagiwa gongo. nilitoka nyumbani mda uleule na kupanda pikipiki kwenda mtaani kwao anapoishi na kujaribu kuulizia watu wa pale anapokaa sikufanikiwa kwa kweli kwakuwa siku ile sikupata nafasi ya kujua nyumba anayokaa kinyooonge nilirudi nyumbani. but nyuma aliniaidi kuwa tarehe 27.02.2022 Atanipatia Zawadi ya Valentine day nami nilimwaidi hiyo siku atapata zawadi kutoka kwa valentine boy wake ambae ni mimi.
Dah nifanye nini?? mwenzenu nampenda ya Kikwelii