Kama mnaogopa uchaguzi wa NDANI wa nje ndo mtauwezaHii ni fragile moment. CCM wanaangalia wapi chadema itadondoka na wameshaona kizuizi kikubwa ni Mbowe. Haongeki. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge, nawashauri postpone uchaguzi wa Mwenyekiti na makamu wake mvuke salama kipindi hiki.
Mtakumbuka machawa walivyoshangilia mtafaruku aliouleta Msigwa, kuna cha kujifunza hapo.
MATUSI YA NINI? JENGA HOJA NA SI MATUSI. HUJAJIBU HOJA HAPO. let me spare you for the time being!Kwanini Cdm imekuwwa na watu wajinga hivi
kwamba washupaza shingo wa chadema wanachakujifunza kabla shingo haijakatika, right?πHii ni fragile moment. CCM wanaangalia wapi chadema itadondoka na wameshaona kizuizi kikubwa ni Mbowe. Haongeki. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge, nawashauri postpone uchaguzi wa Mwenyekiti na makamu wake mvuke salama kipindi hiki.
Mtakumbuka machawa walivyoshangilia mtafaruku aliouleta Msigwa, kuna cha kujifunza hapo.
hakuna sababu ya msingi kuahirisha Uchaguzi ndani ya chadema πMATUSI YA NINI? JENGA HOJA NA SI MATUSI. HUJAJIBU HOJA HAPO. let me spare you for the time being!
To me kuna sababu ya msingi kuhairisha uchaguzi maana chaguzi zinavuruga vyama particularly anapokuwepo jitu lenye mapesa kutoka hazina kuhonga wasio na misimamo kwenye fragile moments kama hizi!
leta ushahidiMbowe hahongeki?
Unatania au?
hakuna anyeogopa kufanya uchaguzi, Hakiogopi katu the issue is this is a fragile period..... chaguzi zote dunia nzima zinakuwa na hekaheka. Kwa nchi ambayo rais anahonga pikipiki, ananunua wapinzani, mwenye akili lazima kuwa macho......Kwanini chama cha DEMOKRASIA kiogope kufanya uchaguzi?.
Rejea issue ya Lowassa as a case study.leta ushahidi
weka ushahidi and not revelationsMbowe hahongeki?
Unatania au?