Mkuu wewe mwenyewe ulimsikia Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Mbowe kwa masikio yako, au ulifanya ulihadithiwa tuu kuwa Mbowe kasema hiki na kile?!, kwa sababu kuna watu wana masikio lakini hawasikii, na kuna watu wana macho lakini hawaoni!.
Sasa kwa kukusaidia wewe na wengine ambao hamkubahatika kumsikia Mwenyekiti wa Chadema, alisema nini, nakuwekea video yake uiangalie na kumsikiliza kwa makini alisema nini,
pia nakuwekea na clip ya mwenyenchi mwenyewe, amesema nini,
na ni hii clip mkuu wa nchi, ndio imepelekea kunifanya mimi kuutoa ushauri huu kwa Chadema, cho chonde msiandamane, this man mean business!, he mean what he says and will practice what he preach!.
Pasco