Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

capt.PNG


Sheria pia inatoa maelezo hayo ni utoto kuchagua vile vinavyokufaa wewe tu ndio maana kuna vyombo vyenye mamlaka ya kuuliza na kutoa tafsiri kipi sahihi kisheria.
 
Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.

Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"


Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.

He should be careful of what he wish for!
Mhh!!
1469990775374.jpg
 
Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.

Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"


Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.

He should be careful of what he wish for!
Tafakari upya bro..
 
Mkuu katiba haijasema mikutano ya hadhara ni wakati wa uchaguzi tuu, wala sheria ya vyama haijasema hivyo!, alichosema rais Magufuli ni kinyume cha katiba na kinyume cha sheria, lakini katiba inapovunjwa au sheria na kanuni zinapokiukwa, hili sio jambo la maandamano wala mikutano ya hadhara, hili ni jambo la kisheria mahali sahihi ni mahakamani!.

Pasco

Sasa Pasco hizo ni double Standard!
kama wewe binafsi bila ya Kwenda mahakamani Umeconclude kuwa jamaa amevunja katiba na sheria, Then kwa nini unadhani na wengine hawawezi kuliona hilo mpaka litamkwe na mahakama?
 
It never occurred to me that Pasco is a coward! He's scared of being gassed or sprayed with that pepper water. He's afraid of dying as if he thinks everybody'll live for lever. You were born once and there's a day you'll die.

Tumechoka kudanganywa kama watoto wadogo, huyu mkakonko hawezi kutupelekesha hivi bila kuhojiwa. Yeye anasema hapa kazi tu (kazi zenyewe ziko wapi) sisi tunasema tuko ngagari (cuf) na tutapambana hadi kieleweke (cdm).

Magufuli sio mungu na hawezi kuvaa na hana uzuri wowote wa kukomesha rushwa wakati anawalinda wezi wa Epa, Kiwira Coal Mines, Tegeta Escrow na huko kwenye vitalu vya gesi.

Tarehe 01 mwezi wa tisa mwaka 2016 operation UKUTA lazima itikise Tanzania. HERI KUFA WENGI ILI WATAOBAKI WAPATE MAISHA BORA
MUNGU akusaidie........maana umeongea kwa madaha utadhani mpigania uhuru miaka ya sitini........lakini nikikuuliza swali moja la msingi sijui kama utaweza lijibu.............mmmmmmmhmn ila ngoja nikuache ni heri ujifunze jwa vitendo......
 
Bado hawajawai kuonja moto wa jiwe

Watu wanao kuita dikteta ikiwa wewe siyo dikteta
Nibora uwape moto wa udikteta
Ili liwe findisho .

HAWA JK KAWALEA SANA

WALI MTUKANA SANA
WALI MZONGA SANA
WACHA WAKIONE.



"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
Hata me naona jela inawaita hawa vilaza wanaojifanya wanauchungu na nchi wakati tukipekua mafaili yao utagundua ni majupu......
 
Ushauri wangu ni kwa Chadema kuachana na siasa za uanaharakati, the politics of confrontation, na badala yake wafanye real politics of development, Magufuli ni dikiteta mzalendo mwenye no sense ya busara zozote when it comes kwenye kumjaribu, Huyu ni mwenye nguvu akisema jambo fulani ni hapana na iwe hapana kweli hataki mchezo.

The right thing to do kwa Chadema ni kwenda mahakamani kuiomba mahakama kutoa tafsiri sahihi ya haki ya mikutano, freedom of lawful assembly, freedom of expression, na political activities hivyo kuonyesha tamko la rais ni batili na kinyume cha katiba na sheria lakini sio kumpinga rais kwa mikutano ya hadhara na matamko ya kutishana na kutunishiana misuli! .

Pasco
Bonge la point.........umetoa maneno ya busara sana.....[emoji3]

Maana mimi sielewi haki inadaiwa vipi kwa kuvunja sheria za nchi........kama serikali ina makosa kuna namna ya kuiwajibisha ila si kwa kuwashawishi wananchi kwa kutengeneza maamkizi ya uchochezi kama hivi ili waichukie serikali yao utadhani wao ndio watakatifu kumbe wameona kila gia wanayopiga inafeli........
 
Tupo tayari kufaaaa
Mkuu Okw Boban Sunzu ni kweli uko tayari kufa kifo cha kweli au hiki cha kwenye keyboard tuu but in reality unakiogopa kifo hakuna mfano? !.

Kidunia ukifa katika kupigania Chadema, utatangazwa ni shujaa wa Chadema na duniani utakumbukwa milele ambapo Chadema pia wataitunza familia yako kama wanavyozitunza families za wale wahanga wengine, ila kule mbinguni roho yako inahatari ya kupokelewa kwa kutupwa kwenye jehanum ya moto wa milele kwa kosa la kutotii mamlaka halali! .

Mungu ametuasa tumpe Kaisari yaliyo ya Kaisari na tumpe Mungu yaliyo ya kiMungu
na miongoni mwa yaliyo ya Kaisari, ni pamoja na kutii amri halali za viongozi na mamlaka halali! . Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mamlaka halali na ndio mamlaka kuu nchni Tanzania ukiondoa katiba, ukifa kwa kutokuitii mamlaka halali ni kifo cha dhambi hata kama mamlaka hiyo imetoa amri batili, kanuni ya utiii ni kwa u halali wa mamlaka na sio subject matter ya uhalali wa amri kumaanisha mamlaka halali hata ikitoa amri batili bado tunapaswa kwanza kutii kisha ndipo tutumie sheria, taratibu na kanuni rasmi za kudai haki na ubatili wa amri ile ikiwemo haki ya kuandamana na haki ya kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara.

Pasco
 
Hakuna mwenye akili timamu atakaye andamana
Wakati wa kupeana madaraka akina Mbowe hawakutusikiliza kabisa
Waliteua hadi watumishi wa UVCCM kuwa Wabunge

Mwanachama wa kawaida CHADEMA kazi yake ni kuandamana na kuwekwa mahabusu tu
Faida ya chama anakula Mbowe na genge lake akina Lissu
Haandamani mtu hapa,kaandamaneni wenyewe
 
Hv hapa anaedai haki ni kiongoz Au mwananchi? km viongoz wanadai haki ati kufany mikutano sas wananchi wakaandamane nn? nenden wenyew. Swain
 
Mkuu hakuna kitabu cha siasa, sheria zinazoongelea utaratibu wa vyama vya siasa or even when not expressed; kwamba vya siasa vinajukumu la kuelemisha umma, kufanya mikutano yake ya kisiasa, kupinga hoja kandanimizi etc na hoja za CDM.

Sheria hizo hizo zinatoa njia halali kwanza ya kupinga hoja za serikari; either unaamini haki itatendeka or not bila ya kupitia taratibu hizo ni uvunjifu wa amani na serikari ina haki ya kulinda amani.

PS kutoa elimu ya siasa au kupinga hoja za serikari aina maana njia pekee ni mikutano ya hadhara tu. Tatizo hapa ni kuwa 'one trick pony'; sheria hizo hizo zinaipa serikari mamlaka ya kulinda amani sasa unapokuwa na lengo la kuchonganisha kama kauli ya Mbowe unategemea wakae kimya? Watu kufanya kazi yao ni udikteta pia hizi ni kwa definition za CDM tu.
Mkuu Hepi Fiti, kila kitu kipo kwenye sheria, taratibu na kanuni tena zipo kimaandishi kabisa kuwa mikutano ya hadhara popote na yoyote aliyesajiliwa rasmi ni haki yake, tamko la rais Magufuli kuuzuia ni tamko batili na hata rais alipofafanua kuwa hajazuia bali mikutano ifanywe na wabunge waliochaguliwa katika maeneo yao tuu pia ni tamko batili! . Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe yuko very right kuhusu haki ya kuandamana na haki ya kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara kwa mujibu wa sheria, lakini maadam mwenye nchi amesema hataki maandamano, then hakuna kibali chochote cha maandamano kitokacho tolewa kwa Chadema, wao wanadai wanaandamana tuu kwa kibali au bila kibali, ushauri wangu kwao ni watii amri halali, wasiandamane, maana watatandikwa tena na sio za rubber! ,bali za moto! , japo amri ya rais kutokuandamana ni amri batili, mamlaka pekee yenye uwezo wa kuutangaza ubatili huo sio Mbowe, sio maandamano, sio mikutano ya hadhara bali ni mahakama pekee! . Chadema wasiandamane bali waende mahakamani wakafungue shauri la kikatiba chini ya hati ya dharura, mahakama itatoa tafsiri sahihi ya tamko la rais na mamlaka ya rais kwa mujibu wa katiba hii rais Magufuli hana mamlaka ya kuuzuia maandamano wala mikutano ya hadhara, mahakama ikiisha tamka, ubatili wa katazo la rais, then serikali ndiyo mtekelezaji wa amri hiyo ya mahakama, itake usitake ila zile mamlaka za OCD wa eneo husika kuwajibika kutoa kibali na ulinzi kwenye maandamano hayo na mikutano hiyo ,uko pale pale.

Kiukweli anachofanya rais Magufuli ni ubabe tuu, yeye kama rais hana sababu ya kupigishana kelele na vijitu vidogo kama kina Mbowe! ,watu ambao hawana mamlaka yoyote ya kidola, alichopaswa kufanya Magufuli, ni maadam ameamua hataki mikutano ya hadhara, yeye kama rais kwa kuitumia his government machinery anamuelekeza IGP kuwaeleza ma OCD wote wasitoe kibali chochote cha maandamano wala mikutano, kwa excuse yoyote iwe ni hatuna polisi wa kutosha kusimamia ulinzi, au tuna taarifa za kiinteligensia za uvunjifu wa amani! . That is the end! . Hakuna mwenye kibali kuhoji kuhusu taarifa hizo za kiinteligensia, bali hakutafanyika maandamano wala mikutano ya hadhara ,kinyume cha hapo ni kucheza na moto! .

Hii ingekuwa kimya kimya tuu, jamaa yetu huyu kutaka masifa kutamponza, he is a populist leader hivyo maamuzi ya masifa ndio order of the day! . Niliwahi kusema mahali nchi hii haihitaji one man shows, tutahitaji systems in place! .

Mfano hicho kituo cha mabasi ambacho kimekamilika lakini Sumatra hawajatoa kibali cha kuanza kutumika, rais katoa amri kianze leo na kusema yeye ndio rais hao Sumatra hata kama wako mbinguni washuke kituo leo kianze kazi! . Kama tungekuwana system in place, kazi ya ujenzi kimekamilika tuu inafuatiwa na commissioning na kama kuna good reasons why not inajulikana na kuwa taken care of!.

Haya ndio yale yale ya ile ward ya wazazi pale Muhimbili ya vitanda na magodoro ya ule mchapalo wa Bunge jipya kumbe jengo halina choo wala maliwato! ,Mama mjamzito na drip anekwenda nje kujisaidia, what a joke! , kisa masifa tuu! .

Huku kutunishiana misuli kati ya mwenye nguvu na kapuku, kapuku ataumia bure!, mwenye nchi amewasisitiza hao viongozi wa vyama safari hii maandamano hayo wayaongoze wao na sio kuwaachia makapuku halafu washuhudie atakachowafanya!. Kiukweli mwenye nguvu mpishe, Ngosha hana mchezo wala hatanii atawatandika kiukweli kweli tena bila huruma. Sisi wengine kazi yetu ni kusema tuu kwa lengo la kuwasaidia nyumbu tuu wasiojielewa! .

Pasco
 
Sasa Pasco hizo ni double Standard!
kama wewe binafsi bila ya Kwenda mahakamani Umeconclude kuwa jamaa amevunja katiba na sheria, Then kwa nini unadhani na wengine hawawezi kuliona hilo mpaka litamkwe na mahakama?
Mkuu Gamba la Nyoka, sio double standards bali ndio kitu kinachoitwa separation of powers kati ya mihimili ya dola kwa lengo la kufanya checks and balance kwa sharia atunge mwingine, tafsiri afanye mwingine na utekelezaji ufanywe na mwingine tena! .

Rais kama Mkuu wa the executive yeye ndio kila kitu sasa ukijumlisha na huu udikiteta wake anajikuta anatoa matamshi ya uvunjaji wa katiba wazi wazi mchana kweupe huku akishangiliwa.

Mfano siku ile analiagiza jeshi la polisi kumalizana na mahambazi there and then , hadi IGP alishangilia! . Kiukweli tuna baadhi ya viongozi wetu ni mijitu mijinga ajabu! . Sheria zipo, kanuni zipo, na taratibu za kudeal na kila situation zipo, leo rais anashauri zikiukwe polisi wamalize mchezo fasta tena sio akawaahidi kinga, bali akawaahidi vyeo! ,watu wanashangilia, then unadhani kuna anybody from within can stop him! . No one! . Kiukweli Samia anakiwango fulani cha busara na anayaona mambo ambayo hayako right lakini huwezi kusema wala kushauri kwa kuogopa kuonekana mtovu wa fadhili! .

Sasa rais anapovunja katiba hili sio suala la nani ameona au nani anatamka rais amevunja katiba, kwa mujibu wa katiba, sio Mbowe, sio maandamano wala mikutano ya hadhara bali ni mahakama pekee ndio taasisi yenye mamlaka ya ku tafsiri sheria na kutoa tamko kuwa kama kauli ile ya rais imekiuka katiba au la! .

Mifano hai ipo. Katiba ilitoa haki kwa Mtanzania yoyote kushiriki siasa, sheria ya uchaguzi ikasema ili mtu kushiriki siasa ni lazima awe mwanachama wa chama cha siasa. Rev.Mtikila (RIP ) akafungua shauri Mahakama Kuu na akashinda kesi, Mahakama Kuu ikikitangaza kipengele cha uanachama wa chama cha siasa ni unconsitutional na kiwe strucked ooff from the books of law na mtu yoyote mwenye sifa aruhusiwe kugombea nafasi yoyote kama mgombea huru.

Serikali ikakata rufaa ikashindwa! . Serikali kwa kutumia Bunge ikafanya mabadiliko ya katiba lile shurti la kudhaminiwa na chama likapenyeshwa ndani ya katiba, hivyo udhamini wa chama ukawa rasmi ndani ya katiba. Mtikila akarudi mahakamani, akashinda tena kwa mahakama kutamka mabadiliko hayo ni batili, katiba haiwezi kutoa haki kwa mkono mmoja kisha kuinyang'anya haki hiyo kwa mkono mwingine! .

Serikali ikaukatia rufaa uamuzi huo kuwa Mahakama haina uwezo kupinga kifungu cha katiba kwa sababu na yenyewe iko chini ya katiba, kifungu cha katiba kinaweza kuondolewa kwa mabadiliko ya katiba pekee na sio kwa amri ya mahakama!.

Hivyo kama katiba imetoa uhuru wa kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara, na rais anaweza kuuzuia mikutano hiyo kwa mamlaka ipi?. Chadema wakienda mahakamani wanashinda hii kesi mapema asubuhi kabisa hata kabla chai haijapoa!.

Madikiteta wote duniani huanza hivi hivi kwanza kwa kuwa ni mahakama populist leaders kwa kufanyia yanayopendwa na watu na hushangiliwa sana na umati wa watu, katiba na sheria huwekwa kando na kutawala kwa kuitumia decrees na mwisho wa siku ndipo huonyesha makucha no impunity ni utawala wa kimla mwanzo mwisho!.

Kiukweli Tanzania tulipofika tulihitaji sana kiongozi mwenye udikiteta fulani na Mungu kutumika, katupatia kiongozi dikiteta ila Magufuli ni dikiteta mzalendo mwenye anayekerwa na rushwa na ufisadi toka ndani ya nafsi yake hivyo anaufanya huu udikiteta wake kwa nia njema na dhamira safi ya kulikomboa taifa hili toka kwenye lindi la umasikini uliotopea uliogubikwa na rushwa na ufisadi ambalo ni jambo jema kwa taifa hili ila huu udikiteta unapoelekezwa kwenye siasa hapa sasa naona kama anataka kuvuka mpaka kutoka kuwa ni dikiteta mzalendo hadi kuwa a real dictator! , na the dividing line between dikiteta mzalendo na a real dictator ni very thin!.

Pasco
 
Mkuu Hepi Fiti, kila kitu kipo kwenye sheria, taratibu na kanuni tena zipo kimaandishi kabisa kuwa mikutano ya hadhara popote na yoyote aliyesajiliwa rasmi ni haki yake, tamko la rais Magufuli kuuzuia ni tamko batili na hata rais alipofafanua kuwa hajazuia bali mikutano ifanywe na wabunge waliochaguliwa katika maeneo yao tuu pia ni tamko batili! . Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe yuko very right kuhusu haki ya kuandamana na haki ya kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara kwa mujibu wa sheria, lakini maadam mwenye nchi amesema hataki maandamano, then hakuna kibali chochote cha maandamano kitokacho tolewa kwa Chadema, wao wanadai wanaandamana tuu kwa kibali au bila kibali, ushauri wangu kwao ni watii amri halali, wasiandamane, maana watatandikwa tena na sio za rubber! ,bali za moto! , japo amri ya rais kutokuandamana ni amri batili, mamlaka pekee yenye uwezo wa kuutangaza ubatili huo sio Mbowe, sio maandamano, sio mikutano ya hadhara bali ni mahakama pekee! . Chadema wasiandamane bali waende mahakamani wakafungue shauri la kikatiba chini ya hati ya dharura, mahakama itatoa tafsiri sahihi ya tamko la rais na mamlaka ya rais kwa mujibu wa katiba hii rais Magufuli hana mamlaka ya kuuzuia maandamano wala mikutano ya hadhara, mahakama ikiisha tamka, ubatili wa katazo la rais, then serikali ndiyo mtekelezaji wa amri hiyo ya mahakama, itake usitake ila zile mamlaka za OCD wa eneo husika kuwajibika kutoa kibali na ulinzi kwenye maandamano hayo na mikutano hiyo ,uko pale pale.

Kiukweli anachofanya rais Magufuli ni ubabe tuu, yeye kama rais hana sababu ya kupigishana kelele na vijitu vidogo kama kina Mbowe! ,watu ambao hawana mamlaka yoyote ya kidola, alichopaswa kufanya Magufuli, ni maadam ameamua hataki mikutano ya hadhara, yeye kama rais kwa kuitumia his government machinery anamuelekeza IGP kuwaeleza ma OCD wote wasitoe kibali chochote cha maandamano wala mikutano, kwa excuse yoyote iwe ni hatuna polisi wa kutosha kusimamia ulinzi, au tuna taarifa za kiinteligensia za uvunjifu wa amani! . That is the end! . Hakuna mwenye kibali kuhoji kuhusu taarifa hizo za kiinteligensia, bali hakutafanyika maandamano wala mikutano ya hadhara ,kinyume cha hapo ni kucheza na moto! .

Hii ingekuwa kimya kimya tuu, jamaa yetu huyu kutaka masifa kutamponza, he is a populist leader hivyo maamuzi ya masifa ndio order of the day! . Niliwahi kusema mahali nchi hii haihitaji one man shows, tutahitaji systems in place! .

Mfano hicho kituo cha mabasi ambacho kimekamilika lakini Sumatra hawajatoa kibali cha kuanza kutumika, rais katoa amri kianze leo na kusema yeye ndio rais hao Sumatra hata kama wako mbinguni washuke kituo leo kianze kazi! . Kama tungekuwana system in place, kazi ya ujenzi kimekamilika tuu inafuatiwa na commissioning na kama kuna good reasons why not inajulikana na kuwa taken care of!.

Haya ndio yale yale ya ile ward ya wazazi pale Muhimbili ya vitanda na magodoro ya ule mchapalo wa Bunge jipya kumbe jengo halina choo wala maliwato! ,Mama mjamzito na drip anekwenda nje kujisaidia, what a joke! , kisa masifa tuu! .

Huku kutunishiana misuli kati ya mwenye nguvu na kapuku, kapuku ataumia bure!, mwenye nchi amewasisitiza hao viongozi wa vyama safari hii maandamano hayo wayaongoze wao na sio kuwaachia makapuku halafu washuhudie atakachowafanya!. Kiukweli mwenye nguvu mpishe, Ngosha hana mchezo wala hatanii atawatandika kiukweli kweli tena bila huruma. Sisi wengine kazi yetu ni kusema tuu kwa lengo la kuwasaidia nyumbu tuu wasiojielewa! .

Pasco
Mkuu Pasco, binafsi ili swala siliungi mkono eti kwa sababu ya kauli ya juzi bali naamini hizi sio siasa na ni mmoja wa watu wachache sana niliodhani JK alikuwa anawachekea sana na kuuponda mtazamo wake kwenye hili tangia yuko madarakani.

Tatizo la msingi hapa ni watu kufanya siasa za kupiga chini ya mkanda CDM wakishindwa hoja wanatumia ignorance kuchochea chuki na serikari hizi ndio siasa pekee wanazoziweza sio hoja for the most part.

Kuna maamuzi mengi hata nchi zilizo na liberal democracy vyama tawala vinafanya ambavyo ni unpopular or bound to irritate large number of people. Lakini kama aviko kinyume na katiba au ni sehemu ya maamuzi ya uongozi lazima vieshimiwe kudumisha amani ata kama upendezewi sio CDM wao hilo awajali kama awakubali kitu au wanamtazamo tofauti wanataka wahamasishe wengine (hivi unadhani matokeo ya kura ya maoni huko uingereza wanasiasa wangeamua kuyakataa kuna ambae angewazuia; lakini decision are decision lazima zieshimike).

Tukirudi kwetu kuonyeshwa kwa 'Bunge Live' sio lazima yes controversy decision lakini sio lazima hoja ya upinzani ni kwamba mkituchagua sisi bunge live tutalirudisha lakini sio wao wanavyolipokea kama sehemu ya kuchonganisha au sijui kutoka bungeni etc with their political nonsense. Halafu kutaka kuzunguka nchi nzima kusambaza chuki na uchochezi kisa mtazamo wao wa kitoto hakuna mtu anaruhusiwa kufanya siasa hizo duniani.

Halafu wakienda mahakamani wakashinda nitashangaa awawezi shinda hii kesi miaka mia moja kwa sheria za Tanzania ata ikienda sikiliziwa ICC. Hicho kipande nilichokuwekea ndio primary legislation ya vyama vya siasa; regulations or conducts ni secondary na aziwezi kwenda kinyume na primary legislation Mbowe kazungumza kwenye TV agenda yake, so asTundu Lissu na kauli zao za kichochezi; kwa sheria ya vyama vya siasa Tanzania wamevunja kanuni za usajili in short for the most part siasa zao ni kinyume cha sheria ata uchaguzi wao wa ndani ni wa kiimla tu (ni kwa sababu ya kulelewa tu lakini nchi nyingine hata za huko Ulaya chama kingeshafutwa long time).
 
Ushauri wangu ni kwa Chadema kuachana na siasa za uanaharakati, the politics of confrontation, na badala yake wafanye real politics of development, Magufuli ni dikiteta mzalendo mwenye no sense ya busara zozote when it comes kwenye kumjaribu, Huyu ni mwenye nguvu akisema jambo fulani ni hapana na iwe hapana kweli hataki mchezo.

The right thing to do kwa Chadema ni kwenda mahakamani kuiomba mahakama kutoa tafsiri sahihi ya haki ya mikutano, freedom of lawful assembly, freedom of expression, na political activities hivyo kuonyesha tamko la rais ni batili na kinyume cha katiba na sheria lakini sio kumpinga rais kwa mikutano ya hadhara na matamko ya kutishana na kutunishiana misuli! .

Pasco
Na wana mwanasheria nguli kuliko wote Tanzania.
 
Back
Top Bottom