Pasco mwaka 2025 jamaa akiamua atagombea tena kwa mabavu na kuvunja katiba,tutulie tu!Akishindwa akajitangaza mshindi tutulie tu kisa mkubwa ana jeshi?
lowasa huwa anapanda daladala na wananchi nategemea atakuwa front line ktk maandamano pia"Hakuna dhambi mbaya kama uoga" Godbless Lema
Acha tuandamane tutapambana barabarani na polisi.
Makamanda tujiandae kuingia barabarani nawaomba Mbowe na Lowassa pamoja na Sumaye tuwe pamoja kwenye maandamano.
lowasa huwa anapanda daladala na wananchi nategemea atakuwa front line ktk maandamano pia"Hakuna dhambi mbaya kama uoga" Godbless Lema
Acha tuandamane tutapambana barabarani na polisi.
Makamanda tujiandae kuingia barabarani nawaomba Mbowe na Lowassa pamoja na Sumaye tuwe pamoja kwenye maandamano.
Angalia usimponze Invisible kutakiwa kwa lazima kuwasilisha jina la mmiliki wa title ya Gavana humu jf , na kuliwasilishwa kunahusika ili kufanyiwa uchunguzi asije kuwa ni member wa vikosi vyetu, pia kutafutwa kwa kufanyiwa mahojiano marefu kuhusu posti aliyoipost jf kumtishia Magufuli kuwa asiringie majeshi , na kwamba kunauwezekano kumkuta kilichomkuta Karume Snr na Kabila Snr kwa kuondoshwa na anaowaamini!. Hivyo wakati tukisubiria wale 'jamaa zetu' kumjua Gavana ni nani, tunashauri rais Magufuli afanye pangua pangua ya mabadiliko ya haraka ya vile vikosi vyake vya ulinzi mapema, kwa kuwa weka pembeni walinzi wote waliopo, kama Gavana ni mmoja wao, au type ya hao Gavana aliyowazungumzia, kama wapo ili wasiweze kuleta madhara yoyote, na badala yake, sasa rais wetu alindwe na kikosi maalum cha sungusungu wa Ng'wana Ngosha kutoka Chato?!.PASCO ANASAHAU KUWA HILO JESHI ANALORINGIA MAGUFULI PAMOJA NA POLISI NA VYOMBO VYA USALAMA SIO ROBOTS HAO NI BINADAMU
KARUME MKUBWA KAONDOSHA NA HAO ALIOWAAMINI
KABILA MKUBWA YALIMFIKA HAYO HAYO
kumbuka majipu yote ccm na wananchi wanalitambua hilo na UKAWA haina haja tena ya kuwaambia wananchi.tunakwenda kuzuia UDIKTETA TAREHE 1 HILO LIKO WAZInimesoma hii nakala aisee ni nzuri sana ongera.Japokuwa wapo ambao hawatakuelewa kwa upande wangu nina mambo yafuatayo
1)Turudi nyuma kidogo miaka ya 1995s chama kikubwa cha upinzani kilikuwa ni c.u.f kilipata umarufu lkn kupitia kufanya maandamano walipata kichapo na kupoteza mvuto kwa wanatanzania.
2)kuanzia miaka ya 2000s ndipo chadema ilichukua nafasi ya cuf.Upinzani wa chadema ulikuwa juu sana mara baada ya kusimama na hoja ya ufisadi ambayo iliwapa nguvu sn.Watanzani walipenda kuwasikia wakisema kuhusu ufisadi na misimamo yao ktk jambo hili baya.Lakini kumalizila kwa uchaguzi mkuu nazani mtakubaliana na mimi kuwa chadema hawaimbi hata nyimbo moja ya kukemea ufisadi jambo ambalo linawashangaza wananchi.kitendo cha mh rais kupinga kwa vitendo ufisadi na kuchukua hatua mblmbl zimerudisha imani kwa wananchi.
3)hoja ya udikteta uchwara hii ni hoja ya wanasheria lkn wananchi hajui kbs upuuzi huo.kwani sisi tunataka kuona tunapata huduma nzuri.
my take 1/9/2016 chadema hii ni siku ambayo mtapuuzwa sana kwa kukosa nguvu ya wananchi km mlivyozoea na kuanguka kama cuf
Wamekariri hawajaelewa somo.Kwani Nchi hii agenda ni ufisadi tu? Kama mnaona ufisadi ndio issue kubwa itumieni nyinyi ili iwatoe.
Hayo sio maneno ya katiba bali ni maneno ya yule tuliyempa dhamana ya kuilinda katiba yetu, kwa ridhaa yetu wenyewe, kupitia uchaguzi huru na wa haki, ametutangazia kuwa uchaguzi umekwisha, muda wa kupiga siasa ulikuwa ni wakati wa uchaguzi, baada ya uchaguzi kumalizika pia muda wa kupiga siasa nao umemalizika sasa ni wakati wa kuchapa kazi kulinganisha taifa na sio kukalia kupiga siasa domo, ndio maana kwa kauli mbiu yake ni "sasa kazi, hapa kazi tuu ".MANENO HAYO UNAYAPATA KWENYE KATIKA IPI ??
Hayo sio maneno ya katiba bali ni maneno ya yule tuliyempa dhamana ya kuilinda katiba yetu, kwa ridhaa yetu wenyewe, kupitia uchaguzi huru na wa haki, ametutangazia kuwa uchaguzi umekwisha, muda wa kupiga siasa ulikuwa ni wakati wa uchaguzi, baada ya uchaguzi kumalizika pia muda wa kupiga siasa nao umemalizika sasa ni wakati wa kuchapa kazi kulinganisha taifa na sio kukalia kupiga siasa domo, ndio maana kwa kauli mbiu yake ni "sasa kazi, hapa kazi tuu ".
Pasco
Angalia usimponze Invisible kutakiwa kwa lazima kuwasilisha jina la mmiliki wa title ya Gavana humu jf , na kuliwasilishwa kunahusika ili kufanyiwa uchunguzi asije kuwa ni member wa vikosi vyetu, pia kutafutwa kwa kufanyiwa mahojiano marefu kuhusu posti aliyoipost jf kumtishia Magufuli kuwa asiringie majeshi , na kwamba kunauwezekano kumkuta kilichomkuta Karume Snr na Kabila Snr kwa kuondoshwa na anaowaamini!. Hivyo wakati tukisubiria wale 'jamaa zetu' kumjua Gavana ni nani, tunashauri rais Magufuli afanye pangua pangua ya mabadiliko ya haraka ya vile vikosi vyake vya ulinzi mapema, kwa kuwa weka pembeni walinzi wote waliopo, kama Gavana ni mmoja wao, au type ya hao Gavana aliyowazungumzia, kama wapo ili wasiweze kuleta madhara yoyote, na badala yake, sasa rais wetu alindwe na kikosi maalum cha sungusungu wa Ng'wana Ngosha kutoka Chato?!.
Pasco
Angalia usimponze Invisible kutakiwa kwa lazima kuwasilisha jina la mmiliki wa title ya Gavana humu jf , na kuliwasilishwa kunahusika ili kufanyiwa uchunguzi asije kuwa ni member wa vikosi vyetu, pia kutafutwa kwa kufanyiwa mahojiano marefu kuhusu posti aliyoipost jf kumtishia Magufuli kuwa asiringie majeshi , na kwamba kunauwezekano kumkuta kilichomkuta Karume Snr na Kabila Snr kwa kuondoshwa na anaowaamini!. Hivyo wakati tukisubiria wale 'jamaa zetu' kumjua Gavana ni nani, tunashauri rais Magufuli afanye pangua pangua ya mabadiliko ya haraka ya vile vikosi vyake vya ulinzi mapema, kwa kuwa weka pembeni walinzi wote waliopo, kama Gavana ni mmoja wao, au type ya hao Gavana aliyowazungumzia, kama wapo ili wasiweze kuleta madhara yoyote, na badala yake, sasa rais wetu alindwe na kikosi maalum cha sungusungu wa Ng'wana Ngosha kutoka Chato?!.
Pasco
Mkuu kalulukalunde mbona operesheni UKUTA inakutia kiwewe hadi inakuondoa akili? Operesheni ipo palepale hadi ulieje.
Mkuu Tipo, kwenye operesheni UKUTA mimi nimo sana, tena naweza kujisifu humu ni miongoni mwa wana JF wa mwanzo kabisa kusema humu Magufuli ni dikiteta, hakuna aliyesikia, mpaka alipoanza ku bite, ndipo Chadema, ikadakia!.kumbe hata mkuu Pasco yumo? sikuwa na taarifa mkuu.
Hainitishi, naiunga mkono na ndio maana nimejitolea kuhamasisha watu tujitokeze kwa wingi siku hiyo ikifika!.na pasco OPERATION UKUTA INAMTISHA anajaribu kutisha watu karne hii ya 21
HAYO NI MAANDAMANO TU