1.Pasco nilifikiri wewe ni great thinker kumbe ni wale watu wa maskani.
2.Mimi sijamtishia mtu , Mbona pasco unatishika kumbe wewe ni muoga kiasi hiki ????
3.Unamfanya magufuli naye awe mwoga kama wewe ????
4.Hivi unapoongoza kwa haki na uadilifu unaogopa kitu gani ???
5.Wa kuogopwa ni Mungu anayeweza kuangamiza mwili na roho au hujui hilo ???
6.Mimi ninawakumbusha muelewe hilo kwa kuwa ninawapenda
7.kwani niliyotamka ni uongo ???
8.Pasco tuko karne nyengine hii
9.Kumbe Pasco wewe ni kada wa vijiweni ???
10.Kumbe wewe siye Great thinker ?
11.Hivi ulifika darasa la ngapi ???
12.Kwani hayo niliyosema , nimesema uongo hapo ??? nani asiyejua kuwa Karume kauliwa na askari
13.Nani asiyejua kuwa Kabila kauliwa na askari
14.unamtishia nani hapa
15.Ukitaka id yangu sio siri nitakupa usimtishie mtu hapa
16.Ogopa yule anayeweza kuangamiza mwili na roho
17.Huyo Magufuli anaogopa kitu gani kama anajiamini anafuata haki . Mungu hamtoshi kuwa mlinzi wake ???
18.Wacha kumtisha mtu , hivi unafikiri hapa uko maskani??? HAPA UPO JF KWA GREAT THINKERS
Mkuu Gavana,
1. Mimi sio GT ila pia sio mtu wa maskani, mimi ni free thinker ambaye sina chama chochote!, tukiunda maskani za ukweli mtupu, niajiunga!.
2. Mimi kweli ni muoga kuliko hata kunguru!, kwa ulichokisema, nimetishika, kwa sababu hata Hamudu alikisema kitu kama hicho, akapuuzwa!, na siku ya siku, akakitekeleza!, hapa nimewapa tuu angalizo, wale 'jamaa zetu' ili kama uu mmoja wao, wakuweke mahala salama!.
3. Magufuli ni muoga kuliko hata mimi, hata kelele tuu za mikutano ya hadhara zinamtisha, na kuhusu UKUTA, ameishatoa onyo, mwenye masikio na asikiye!.
4. Nikikutana naye nitakuulizia hili!.
5. Ni kweli wa kuogopwa ni Mungu tuu, ila vitabu vitakatifu, vimetufunza tutii mamlaka halali!.
6. Asante kwa upendo wa mshumaa, kuwamulikia wengine huku kwaklo kunateketea!.
7. Ni ukweli mtupu, ila kuna tofauti kati ya kutamka na ku anticipate uliyotamka, yatokee!.
8. Ni kweli tuko karne nyingine, zamani kujificha nyuma ya keyboard kwa kutumia penname, kulitosha, sasa tuko kwenye ip, kwa kutumia GPS, hadi uvunguni mtu unaonekana!.
9. kama jibu no.2
10. Kama jibu no.1
11. Niliishia darasa la 7.
12. Kama jibu no.7
13. Kama jibu no.7
14.Simtishi mtu, bali nimetoa tuu angalizo, angalia usije ukamponza Invicible.
15. Sio mimi wa kuitaka ID yako, bale ni wale "jamaa zetu" iwapo nao watatishika kama mimi!.
16. Kama jibu no 5
17. Kama jibu no 4
18. Kama jibu no 14.
Pasco