Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!


Ajenda ikawa ya kumng'oa Ikulu? Ben huyo? Halafu nchi umpe nani? Are you serious, ulifikiri kweli ulipoyaandika haya? Ben, may be you should be hospitalized, what happened to your thinking?
 
Hainitishi, naiunga mkono na ndio maana nimejitolea kuhamasisha watu tujitokeze kwa wingi siku hiyo ikifika!.
Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki ...
Pasco


Pasco hii kaandika nani kama si woga , Tizama umezidiwa na woga mpaka umechanganyikiwa ???

Haya kaandika nani ??? au Pasco si mtu mmoja ni watu wengi ??? PASCO & CO.LTD


Wanabodi,

Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, nawashauri kwa dhati kabisa, tafadhalini sana msiandamane, na kusitisha hiyo Operesheni UKUTA, ili kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, na sio tuu ana nguvu zaidi yako, na tayari, umeishajua ni dikiteta, bali ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
 
Mkuu Gavana,
1. Mimi sio GT ila pia sio mtu wa maskani, mimi ni free thinker ambaye sina chama chochote!, tukiunda maskani za ukweli mtupu, niajiunga!.
2. Mimi kweli ni muoga kuliko hata kunguru!, kwa ulichokisema, nimetishika, kwa sababu hata Hamudu alikisema kitu kama hicho, akapuuzwa!, na siku ya siku, akakitekeleza!, hapa nimewapa tuu angalizo, wale 'jamaa zetu' ili kama uu mmoja wao, wakuweke mahala salama!.
3. Magufuli ni muoga kuliko hata mimi, hata kelele tuu za mikutano ya hadhara zinamtisha, na kuhusu UKUTA, ameishatoa onyo, mwenye masikio na asikiye!.
4. Nikikutana naye nitakuulizia hili!.
5. Ni kweli wa kuogopwa ni Mungu tuu, ila vitabu vitakatifu, vimetufunza tutii mamlaka halali!.
6. Asante kwa upendo wa mshumaa, kuwamulikia wengine huku kwaklo kunateketea!.
7. Ni ukweli mtupu, ila kuna tofauti kati ya kutamka na ku anticipate uliyotamka, yatokee!.
8. Ni kweli tuko karne nyingine, zamani kujificha nyuma ya keyboard kwa kutumia penname, kulitosha, sasa tuko kwenye ip, kwa kutumia GPS, hadi uvunguni mtu unaonekana!.
9. kama jibu no.2
10. Kama jibu no.1
11. Niliishia darasa la 7.
12. Kama jibu no.7
13. Kama jibu no.7
14.Simtishi mtu, bali nimetoa tuu angalizo, angalia usije ukamponza Invicible.
15. Sio mimi wa kuitaka ID yako, bale ni wale "jamaa zetu" iwapo nao watatishika kama mimi!.
16. Kama jibu no 5
17. Kama jibu no 4
18. Kama jibu no 14.

Pasco
 
Mkuu Gavana, huu sio uoga bali ni angalizo tuu!. Na baada ya kutoa angalizo hili, si nimerejea jf nikasema
Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki Kikamilifu...

Pasco
 




2. Mimi kweli ni muoga kuliko hata kunguru!, kwa ulichokisema, nimetishika, kwa sababu hata Hamudu alikisema kitu kama hicho, akapuuzwa!, na siku ya siku, akakitekeleza!, hapa nimewapa tuu angalizo, wale 'jamaa zetu' ili kama uu mmoja wao, wakuweke mahala salama!.


MAJIBU

Hamuud alisema nini na mimi nimesema nini ??? Aliyemuua Kabila alisema nini ?? mbona unajichanganya ??? Na kujaribu kutisha watu ukitumia nyuso tofauti ??? huu si unafiki ni kitu gani ???

hichi ulichokiandika ni kitu gani ??

Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!


6. Asante kwa upendo wa mshumaa, kuwamulikia wengine huku kwaklo kunateketea!.


MAJIBU

Kumbe una ajenda yako nyengine na ndio ukawa ni mtu mwenye nyuso nyingi ???




7. Ni ukweli mtupu, ila kuna tofauti kati ya kutamka na ku anticipate uliyotamka, yatokee!.


MAJIBU

Soma vizuri nimeandika kitu gani ??? ni wapi nime anticipate yatokee ???




8. Ni kweli tuko karne nyingine, zamani kujificha nyuma ya keyboard kwa kutumia penname, kulitosha, sasa tuko kwenye ip, kwa kutumia GPS, hadi uvunguni mtu unaonekana!.

MAJIBU

Kama ndio hivyo yanini kutishana kuhusu id na kumtisha invicible na wakati GPS zipo ???
 
Mimi ni yule yule juzi, jana na leo!. Nimeanzisha threads 973 na kuchangia mara 18,330.
Kama ni hoja ya udikiteta, nimeizungumza sana humu, tofauti na wengi, kwao ikiwa ni nyeusi basi lazima iwe ni nyeusi tii, hata kama ina madoa madoa meupe, hawakubali kusema, ina madao, watang'ang'ania nyeusi tii!.

Mimi ni mtu mkweli daima na siku zote husema ukweli daima na sio kuwafurahisha watu humu na wala sifungamani na chama chochote, katika hizo post zote angalia kitu kinachoitwa central theme ni moja na imesimama kuwa Magufuli ni dikiteta, ila pia Tanzania, tulipofikia, tunahitaji mtu kama huyu ili mambo yaende!.

Pasco
 
Nakuona kama una panic, usipanic, nimesisitiza sikutishi, wala sitishi mtu, bali nimetoa tuu angalizo, next time chunga sana hizi kauli za ma prophets of the doom!, likitokea la kutokea, kunakuwa hakuna pa kutokea, hata kama ulijisemea tuu, na wala huhusiki, ila by the time inakuja kuwa proved huhusiki, it might be too little too late!.

Nashauri kwa hapa tulipofika, inatosha, sasa nenda na nyuzi nyingine!.

Pasco
 
Now I know which side of your arguments represent. Repression of justice and cowardice; you are not alone; but leave us WE DO NOT WANT HELP FROM YOU OR THOSE YOU YOU REPRESENT.
 

Is it true that Tanzania the MOST PASSIVE SOCIETY IN THE WORLD? No I can not believe this!!
That we must say YES to dictatorship. Be ware
The negative effects of dictatorship is not only for opposition parties or northern tribes or coastal areas or central Tanzania or the southerners or the westerners or easterners. Dictatorship has no History of boundaries I tell you. It is for all
Even the ruling party leaders and members are suffering in their hearts!! Come out before it is too late.
The check of sanity must be a must for all Tanzanians!! if you can not see this!!
 
Now I know which side of your arguments represent. Repression of justice and cowardice; you are not alone; but leave us WE DO NOT WANT HELP FROM YOU OR THOSE YOU YOU REPRESENT.
I represent nobody but the truth!. Ushauri wa bure ni sadakalawe tuu, you take it or leave it, tutakapokuta tena ni kwenye mrejesho tuu!.

Hi unajua kuwa Chadema ilikuwa wachukue nchi, 2015!, nini kilishindikana?, angalia hapa nilisema nini,
Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

na nini kilitokea!, sisi wengine wenzenu hatuna vyama lakini tunakereka na wacheza makida makida, au wachezea shilingi chooni!, na kazi yetu ni kusema tuu!.

Hiyo siku ikifika andamaneni, ila kama maandamano hayo hayana kibali, hakuna mwenye akili timamu ataandamana!.

Pasco
 

Unakimbia kistyle. Mimi simkimbii mtu wala simwogopi mtu huko ndani tumeshakaa tena wakati wa dikteta nyerere .Aliyepanic ni wewe ambye una njaa yako unajaribu kujipendekeza huku na huku uonekanwe ni mtaalamu kumbe njaa inakusumbua. Au namba zimekuwia nyingi umechanganyikiwa kuzisoma
 


Unaingia kwa ngozi yako halisi . Umetumwa??? Au ulipewa buku ngapi na Lumumba kwa hii kazi ??
 


Unamkatisha maini pasco &co. Ltd
 

Tanzania haihitaji dikteta inahitaji mtu mkweli mwenye kufuata katiba ambayo ameiapia kuilinda na kuifuata pamoja na sheria za nchi.
 
Tanzania haihitaji dikteta inahitaji mtu mkweli mwenye kufuata katiba ambayo ameiapia kuilinda na kuifuata pamoja na sheria za nchi.
Huku kufuata katiba, sheria, Taratibu na kanuni ndio kumetufikisha hapa tulipo. Tanzania ili hitaji dikiteta mzalendo anayefanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulikomboa taifa hili toka kwenye lindi la umasikini uliotopea uliogubikwa na rushwa na ufisadi.

Pasco
 

Aliyeifikisha nchi hapa ni dictator Nyerere . Watu wakiburunga yeye akiwabadilisha wizara . Kama tunahitaji dictator unamdanganya nani?? wazungu na viumbe vyake kwa kuapa utailinda katiba?

Hao unaowaongoza sio robots na wala hao wataokulinda sio robots.

Angalia nini kinatokea Burundi, somalia na kwengineko kwenye madikteta. Mwisho wake ni maangamizo
 
Na alaaniwe alaniye marehemu! . Badala ya appreciation kwa Baba wa Taifa hili Mwalimu Nyerere, wewe ndio unamuita hivyo?!. Wenzio tuko kwenye process ya kuutangaza Mwenye Heri, one step kabla hajatangazwa Mtakatifu! .

Mtakatifu mtarajiwa Julius Kambarage Nyerere, Muombee mdhambi Gavana asamehewe dhambi zake kwa maana hajui atendalo! .

Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…