JPM kwny namna ya ku deal na hawa kumbikumbi nilikuwa namkubali sanaMama alidhani Magufuli alikuwa wrong, binadamu hawajawahi kuridhika wala kuwa na shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM kwny namna ya ku deal na hawa kumbikumbi nilikuwa namkubali sanaMama alidhani Magufuli alikuwa wrong, binadamu hawajawahi kuridhika wala kuwa na shukrani
sasa Sheikh Mwaipopo ndio ndio kawaelekeza Wazee wa TEC waache kusoma Waraka?..Ssh ndiye aliyetuma wahuni kama Sheikh Mwaipopo kukashifu dini za wengine.
..Sasa ameona mbinu hiyo imeshindwa anakuja hadharani na kuwaruka aliokuwa akiwatumian
Kwa bahati mbaya sana Samia na wafuasi wake hawaelewi kuwa ukiwa mwanasiasa halafu ukabahatisha ukawa Rais wa nchi wewe ni “ Public Good “ hivyo kukosolewa na wananchi wako kwa maamuzi unayofanya comes in your job description!!Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Sio cha kuwa na Chama kimoja kwa muda mrefu. Maendeleo ya jamii huanza kwenye maendeleo ya kisiasa, pale Marekani ushawahi ona chama kimoja kinadumu madarakani muda mrefu?Kipindi cha Luther kilikuwa ni kipindi cha harakati za kujikomboa lakini kipindi hiki ni Cha maendeleo Sasa mkaleta siasa za ukombozi watatushangaa
Kabla mdude hakuwepo, CCM na polisi wakaamua kumtengeneza mdude, mdude katengenezeka sasa watengenezaji wanaanza kulalama kwamba yuko auti ovu kontro!Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
sasa Sheikh Mwaipopo ndio ndio kawaelekeza Wazee wa TEC waache kusoma Waraka?
Kivipi?Siasa za Mdude zinakisaidia CCM sana
Nyie mkikosoa mnatumia haki zenu, wenzenu wakiwakosoa wanatumiwa...Tec wamekosoa mkataba na Dp. Hawajashambulia dini ya mtu.
..Ssh katuma wahuni akiwamo Shekhe Mwaipopo kushambulia imani za watu.
..Ssh tena akatuma wahuni kama Maulidi Kitenge, Zembwela, Steve Nyerere, kutukana wanaokosoa mkataba na Dp.
..Kwanini asitumie CHAMA kutetea mkataba huo? Kwanini CCM hawatetei mkataba huo badala yake wanatumika wahuni?
Putulu putulu hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa MbeleKwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Me ninachokiona kwa mdude anafanya harakat zake km mwanaharakati huru japo ni mwanachadema ila sijawah kumsikia akisema sisi chadema blah blah,zaidi ya yote namtakia kila la heri aendeleee na mapambano yake,tutajumuika nae atakapotuhitajiKwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Unaandika thread za kutisha watu?, hopeless kabisaKwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Amiliki [emoji735]Amiliki hata jeshi la sungu sungu ana madhara gani kwa nchi
Nyie mkikosoa mnatumia haki zenu, wenzenu wakiwakosoa wanatumiwa.
Msipozoea kukosolewa mtazoweshwa!
Yaani atajuta kuzaliwa kama uvumilivu wake utafika mwisho kwa kumuua mdude Nyagali..Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.
Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.
Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.
Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.
Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.
Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.
Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu