Ushauri kwa CHADEMA: Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho

Ushauri kwa CHADEMA: Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho

..Ssh ndiye aliyetuma wahuni kama Sheikh Mwaipopo kukashifu dini za wengine.

..Sasa ameona mbinu hiyo imeshindwa anakuja hadharani na kuwaruka aliokuwa akiwatumian
sasa Sheikh Mwaipopo ndio ndio kawaelekeza Wazee wa TEC waache kusoma Waraka?
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Kwa bahati mbaya sana Samia na wafuasi wake hawaelewi kuwa ukiwa mwanasiasa halafu ukabahatisha ukawa Rais wa nchi wewe ni “ Public Good “ hivyo kukosolewa na wananchi wako kwa maamuzi unayofanya comes in your job description!!
Sasa kumuita Samia mtu asiyekuwa makini na hajui mambo kwa kifupi “ mpumbavu” sio kumtukana bali kusema ukweli !

Ahadi moja wapo ya wanaccm wa kweli ni “ Kusema kweli daima na fitina kwao mwiko”! Hii ilikuwa kwa ccm Asilia wakati huo kuingia chama hicho ilikuwa sio rahisi tofauti na leo ccm ina wanachama wasiojua maadili ya chama hicho na wengine wanapata uongozi ili hali ni mafisadi hivyo kukinajisi chama pamoja na serikali yake!
 
Kipindi cha Luther kilikuwa ni kipindi cha harakati za kujikomboa lakini kipindi hiki ni Cha maendeleo Sasa mkaleta siasa za ukombozi watatushangaa
Sio cha kuwa na Chama kimoja kwa muda mrefu. Maendeleo ya jamii huanza kwenye maendeleo ya kisiasa, pale Marekani ushawahi ona chama kimoja kinadumu madarakani muda mrefu?

Kuna faida kubwa kama kuna kupokezana kwa vyama unless tuingie kwenye communism kama China na tuweke sheria ya kifo Kwa fisadi yeyote hata kama aliwahi kuongoza nchi.
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Kabla mdude hakuwepo, CCM na polisi wakaamua kumtengeneza mdude, mdude katengenezeka sasa watengenezaji wanaanza kulalama kwamba yuko auti ovu kontro!
 
Kama HAKI inapatikana kwenye SHERIA, kwann Rais, Spika hawashtakiwi mahakamani?

Maandamano ya HAKI yasiyo na UKOMO ndo yatasaidia tupate Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya ya Kweli.
 
sasa Sheikh Mwaipopo ndio ndio kawaelekeza Wazee wa TEC waache kusoma Waraka?

..Tec wamekosoa mkataba na Dp. Hawajashambulia dini ya mtu.

..Ssh katuma wahuni akiwamo Shekhe Mwaipopo kushambulia imani za watu.

..Ssh tena akatuma wahuni kama Maulidi Kitenge, Zembwela, Steve Nyerere, kutukana wanaokosoa mkataba na Dp.

..Kwanini asitumie CHAMA kutetea mkataba huo? Kwanini CCM hawatetei mkataba huo badala yake wanatumika wahuni?
 
..Tec wamekosoa mkataba na Dp. Hawajashambulia dini ya mtu.

..Ssh katuma wahuni akiwamo Shekhe Mwaipopo kushambulia imani za watu.

..Ssh tena akatuma wahuni kama Maulidi Kitenge, Zembwela, Steve Nyerere, kutukana wanaokosoa mkataba na Dp.

..Kwanini asitumie CHAMA kutetea mkataba huo? Kwanini CCM hawatetei mkataba huo badala yake wanatumika wahuni?
Nyie mkikosoa mnatumia haki zenu, wenzenu wakiwakosoa wanatumiwa.

Msipozoea kukosolewa mtazoweshwa!
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Putulu putulu hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa Mbele

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Me ninachokiona kwa mdude anafanya harakat zake km mwanaharakati huru japo ni mwanachadema ila sijawah kumsikia akisema sisi chadema blah blah,zaidi ya yote namtakia kila la heri aendeleee na mapambano yake,tutajumuika nae atakapotuhitaji
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Unaandika thread za kutisha watu?, hopeless kabisa
Kama kuna kosa Mdude anafanya hatua za kisheria zichukuliwe,apelekwe mahakamani,mahakama ikamtie hatiani,si vinginevyo
 
Mdude kama aliweza kufanya haya kwa Jiwe, nazi haiwezi kumpa tabu
 
Nyie mkikosoa mnatumia haki zenu, wenzenu wakiwakosoa wanatumiwa.

Msipozoea kukosolewa mtazoweshwa!

..sio kweli.

..wasiopenda kukosolewa ni Ccm.

..Na hutumia vyombo vya dola kushughulikia wakosoaji.
 
Rais Samia hana mamlaka ya kuruhusu wala kuzuia mikutano ya kisiasa.

Katiba yenyewe imeruhusu.
 
Kwa kuwa tunatumia jukwaaa ili kushauriana na kushauri, kutoa maoni na mapendekezo na hata kutoa onyo na karipio basi acha Leo nitoe ushauri kwa CHADEMA jambo ambalo ni nadra kweli kulifanya.

Kwa kuwa nilitumia jukwaaa hili kumshauri ndugu yangu Abdul Nondo ambaye ni Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT juu ya wazo la kufanya maandamano yasiyo na kikomo kuelekea ikulu. Katika Uzi wenye "title" , " ACT achaneni na migomo na maandamano kama CHADEMA, Jikiteni kwenye mipango na mikakati ya muda mrefu". Pengine ACT walipitia Uzi ule na kuachana na suala lile na badala yake ACT ni waumini Wazuri wa mijadala. Afya ya demokrasia na siasa safi ni mijadala.

Leo pia napenda kutumia jukwaaa hili hili kutoa ushauri Kwa CHADEMA na huu ndio ushauri wangu MDHIBITI MDUDE NYAGALI KABLA UVUMILIVU WA RAIS SAMIA HAUJAFIKA MWISHO NA CHAMA KUJUTIA.

Kwanza kabisa, kitendo Cha kumpa Rais Samia siku 30 za kuachana na mkataba wa uwekezaji wa bandari ni kitendo kilichokosa nidhamu na heshima Kwa vyombo vya Dola Kwa maana ya Mahakama na Bunge. Kutaka Rais asitishe suala lililoamriwa na Mahakama na kukubaliwa na Bunge ni kutaka kuaminisha watu kwamba Bunge na Mahakama haviko huru.

Pili, kutaka kufanya maandamano yasiyo na kikomo ni tafsiri ya kutaka kuanzisha fujo. Hiko kibali Cha kufanya maandamano yasiyo na kikomo yatatokana na sheria Gani? Katiba inatafsiriwa na katiba ,haki ya maandamano ni haki ya kikatiba lakini tafsiri ya haki inapatikana kwenye sheria.

Tatu, Mdude Nyagali amekuwa akitumia lugha za kudhalilisha na kukashifu jambo ambalo Leo Rais amelizungumzia kwenye mkutano wa vyama vya siasa amesema kwamba " Ruhusa ya mikutano ya hadhara haikutolewa ili kutukana na kusema dini za wengi". Ni wazi Rais anakerwa na kauli za Mdude Nyagali.

Tambueni Rais Samia ni mvumilivu lakini Uvumilivu wake unaweza mwisho siku moja, msimfikishe huko. Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho na huu ndio ushauri wangu kwenu
Yaani atajuta kuzaliwa kama uvumilivu wake utafika mwisho kwa kumuua mdude Nyagali..

Maana atamuua huyo, lakini yatazaliwa ma - Mdude Nyagali mengine kadhaa yatakayomuudhi na kumkera mara 100 zaidi kuliko anavyokerwa na Mdude huyu mmoja..

Na kwa kifupi, kiongozi asiyweza kuvumilia dissent voices na badala anataka kuzijibu kwa bunduki na risasi za polisi wake, basi huyo hafai kuwa kiongozi..!

Mwambie hivi, kama uvumilivu umemshinda atoke kwenye nafasi hiyo na badala yake aende akalee wajukuu wake (kama anao) huko Kizimkazi nchini kwake Zanzibar..!!
 
Back
Top Bottom