Ushauri kwa CHADEMA: Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho

Ushauri kwa CHADEMA: Mdhibitini Mdude Nyagali kabla Uvumilivu wa Rais Samia haujafika mwisho

Yaani atajuta kuzaliwa kama uvumilivu wake utafika mwisho kwa kumuua mdude Nyagali..

Maana atamuua huyo, lakini yatazaliwa ma - Mdude Nyagali mengine kadhaa yatakayomuudhi na kumkera mara 100 zaidi kuliko anavyokerwa na Mdude huyu mmoja..

Na kwa kifupi, kiongozi asiyweza kuvumilia dissent voices na badala anataka kuzijibu kwa bunduki na risasi za polisi wake, basi huyo hafai kuwa kiongozi..!

Mwambie hivi, kama uvumilivu umemshinda atoke kwenye nafasi hiyo na badala yake aende akalee wajukuu wake (kama anao) huko Kizimkazi nchini kwake Zanzibar..!!
Alivyodhibitiwa kipindi kile Cha Mwendazake alikoma,Sasa hivi ameanza tena Kwa spidi kubwa.

Kwa mfano unampumxisha ndani tuu kwani haiwezekani? Labda ni project
 
Alivyodhibitiwa kipindi kile Cha Mwendazake alikoma,Sasa hivi ameanza tena Kwa spidi kubwa.

Kwa mfano unampumxisha ndani tuu kwani haiwezekani? Labda ni project

..kwanini mtumie magereza na mahabusu ku-deal na watu wanaokosoa Chama na Viongozi wenu?

..mbona vyama vingine vinakosolewa na maisha yanaendelea, hawakamati, wala hawatesi wakosoaji wao?
 
Alivyodhibitiwa kipindi kile Cha Mwendazake alikoma,Sasa hivi ameanza tena Kwa spidi kubwa.

Kwa mfano unampumxisha ndani tuu kwani haiwezekani? Labda ni project
Hamjui anakopatikana kwani?

Nimesema, huyo Mdude atapumzishwa ndani yako. Lakini wataibuka ma - Mdude mengine 100 zaidi na kumkera zaidi huyo mama yenu..

Kumbe huyu mama yenu afanyeje sasa?

Akubali kuwa kiongozi. Kiongozi/ukubwa ni jalala. Hataki kuwa jalala, aachie ngazi akakae nyumbani kwake kwa uhuru anaotaka..!
 
Back
Top Bottom