LGE2024 Ushauri kwa CHADEMA: Susieni uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kina imhotep na wale wenzao watasema wewe ni CCM
 

CHADEMA wagomee uchaguzi. Ili kushinikiza ajenda yao ya kupata uwajibikaji wa walihusika na utekaji.
 
Mambo ya kususa yamepitwa na wakati. Shiriki uchaguzi uhalisia uthihirike kuanzia mchakato hadi uchaguzi na matokeo ya uchaguzi. Hata hivyo hitaji la Katiba mpya ni muhimu na mazungumzo yaendelee kuhusu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Kwa Hali ya Jana hata CHADEMA wakiibiwa nani atawatetea?
 
Fried chicken dance

msikimbie mtanange mvune mlicho panda

Kama wanachama wetu wamepoteza na Wala hakuna anayewajibika je kushiriki huo uchaguzi Kuna lolote la maana? Maana hata wakiibiwa kura hakuna wa kuwajibika.
 
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
 
CHADEMA wagomee uchaguzi. Ili kushinikiza ajenda yao ya kupata uwajibikaji wa walihusika na utekaji.
ninahisi upo uwezekano mkubwa wa matokeo ya uchunguzi unaoendelea yakaishangaza chadema na umma wa waTanzania..

Inasikitisha sana, Inauma sana, Inatafakarisha sana. Uongozi tu ndrugu zangu tena wa chama?🀭
 
Mambo ya kususa yamepitwa na wakati. Shiriki uchaguzi uhalisia uthihirike kuanzia mchakato hadi uchaguzi na matokeo ya uchaguzi. Hata hivyo hitaji la Katiba mpya ni muhimu na mazungumzo yaendelee kuhusu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.
Uhalisia udhihirike wakati uhalisia unafahamika kuwa hizo chaguzi zinafanyiwa uhuni, na wanaotangazwa washindi ni kwa matakwa ya ccm? Yaani hadi leo hujajua uhalisia bali unategemea uchaguzi unaokuja ndio uhalisia ufahamike?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…