LGE2024 Ushauri kwa CHADEMA: Susieni uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Ushauri kwa CHADEMA: Susieni uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Fisi hasusiwi mzoga wala haachiwi bucha.. Kumbuka kuna vyama 15 mamluki hivi vinaweza kupewa mbunge mmoja mmoja na waka justify uchaguzi ulikuwa shirikishi huru na wa haki
Mara moja moja huwa unatoa mawazo mazuri sana. Eti jamaa anawashauri msusie, nyie mkisusa wengine wanakula.
 
Back
Top Bottom