Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Pata picha unapomsusia mroho misosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeberu watafinya mirija bakuli letu la ombaomba litapigwa kata funuaBaada ya kususa kuna athari gani itatokea?
Dah! Watu tulivyo na NCAA, wakisusa tunakulaaaKutokana na Hali iliyojitokeza jana , nashauri ya kwamba CHADEMA watangaze kususia uchaguzi Mkuu ujao na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hii ni kutokana kwamba Serikali kupitia polisi imeshaonesha biasness na kwamba uhalifu wowote dhidi ya CHADEMA polisi hawatashughulika nao.
Itakuwa ni aibu kwa CHADEMA kuaminika kwamba TAMISEMI chini ya mkwe wa Rais ambaye ana mamlaka juu ya polisi atakuwa na haki kwa CHADEMA kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Nashauri ya kwamba kwa jinsi polisi walivyojipanga Jana dhidi ya CHADEMA ni onyo kwa CHADEMA kwamba haitaruhusiwa kukaribia madaraka ya Rais na kwamba polisi wapo tayari hata kuua ili tu CCM ibaki madarakani. CHADEMA ijiulize Kama Mzee Ally Kibao kauawa kikatili na hakuna yeyote aliyewajibishwa, Soka kapotea mazima, hakuna wakuwajibishwa. Kama uhai wa mtu haupewi thamani yake sembuse kura kwenye uchaguzi.
CHADEMA itangaze hadharani kwamba haitashiriki chaguzi zozote hapa Tanzania mpaka haki ya waliopotea na kuuawa inapatikana.
Mna susa, susaaaaaaa, susaaaaaa...
Hivi kumbe maandamano yalikua ya chadema na si wananchi?
Nyie mkisusia, wengine wanakula. Tuone nani atagalagazwa na njaa.
Hasira za mkizi ni furaha kwa ccm. Mawazo ya kipuuzi sana hayo.
ninahisi upo uwezekano mkubwa wa matokeo ya uchunguzi unaoendelea yakaishangaza chadema na umma wa waTanzania..
Inasikitisha sana, Inauma sana, Inatafakarisha sana. Uongozi tu ndrugu zangu tena wa chama?🤭
Uhalisia udhihirike wakati uhalisia unafahamika kuwa hizo chaguzi zinafanyiwa uhuni, na wanaotangazwa washindi ni kwa matakwa ya ccm? Yaani hadi leo hujajua uhalisia bali unategemea uchaguzi unaokuja ndio uhalisia ufahamike?!
Hawatafanya vile endapo chama hakitashiriki kabisa uchaguziIli kuondoa aibu watafanya Kama kwa akina Halima Mdee