LGE2024 Ushauri kwa CHADEMA: Susieni uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Ushauri kwa CHADEMA: Susieni uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kutokana na Hali iliyojitokeza jana , nashauri ya kwamba CHADEMA watangaze kususia uchaguzi Mkuu ujao na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hii ni kutokana kwamba Serikali kupitia polisi imeshaonesha biasness na kwamba uhalifu wowote dhidi ya CHADEMA polisi hawatashughulika nao.

Itakuwa ni aibu kwa CHADEMA kuaminika kwamba TAMISEMI chini ya mkwe wa Rais ambaye ana mamlaka juu ya polisi atakuwa na haki kwa CHADEMA kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Nashauri ya kwamba kwa jinsi polisi walivyojipanga Jana dhidi ya CHADEMA ni onyo kwa CHADEMA kwamba haitaruhusiwa kukaribia madaraka ya Rais na kwamba polisi wapo tayari hata kuua ili tu CCM ibaki madarakani. CHADEMA ijiulize Kama Mzee Ally Kibao kauawa kikatili na hakuna yeyote aliyewajibishwa, Soka kapotea mazima, hakuna wakuwajibishwa. Kama uhai wa mtu haupewi thamani yake sembuse kura kwenye uchaguzi.

CHADEMA itangaze hadharani kwamba haitashiriki chaguzi zozote hapa Tanzania mpaka haki ya waliopotea na kuuawa inapatikana.
Wasuse ili vyama mapandikizi vishirili kuhalalisha uchaguzi mana bila chadema sisiemu hawana haja yakuchakachua sehemu yoyote hivyo wanauwezo wakufanya uchaguzi huru kabisa mbele ya camera ila wakishakuwepo chadema habari inabadilika hivyo nikuendelea kupambana huku gari linatembea haina kususa
 
Mbona unaropoka?. Wewe umejuaje yaliyomo kwenye uchunguzi?.
historia ya uchaguzi wa ndani wa chadema iko wazi na ina sura hiyo, ambayo kwa nguvu kubwa chadema mnataka kuihamishia kwenye vyombo vya ulinzi nchi kitu ambacho ni upotoshaji kabisa...

ndio maana nakuandaa kisaikolojia kwamba matokeo ya uchunguzi yanaweza kuishangaza chadema zaidi. Umdhania ndie kumbe sie. Relax 🐒
 
Hiyo itakuwa political suicide kwa Chadema. Wakisusia CCM itawapa vyama shikizi vile vya kwenye briefcase nafasi chache za udiwani na ubunge hata kama havikupiguwa kura za kutosha ili ku justify uharamu wao na kuihadaa dunia kuwa uchaguzi wa vyama vingi umefanyika na ndiyo itakuwa mwisho wa Chadema. Wakijaribu kufurukuta kuandamana watapigwa na hata kuuwawa na Mahakamani nako wataangukia pua kwani majaji wote wanapokea maagizo toka kwa mwenyekiti wa CCM.

Dah! Shida Sana kwa CHADEMA. Kila mtu kamgeuka.
 
Wasuse ili vyama mapandikizi vishirili kuhalalisha uchaguzi mana bila chadema sisiemu hawana haja yakuchakachua sehemu yoyote hivyo wanauwezo wakufanya uchaguzi huru kabisa mbele ya camera ila wakishakuwepo chadema habari inabadilika hivyo nikuendelea kupambana huku gari linatembea haina kususa

Ok mkuu
 
historia ya uchaguzi wa ndani wa chadema iko wazi na ina sura hiyo, ambayo kwa nguvu kubwa chadema mnataka kuihamishia kwenye vyombo vya ulinzi nchi kitu ambacho ni upotoshaji kabisa...

ndio maana nakuandaa kisaikolojia kwamba matokeo ya uchunguzi yanaweza kuishangaza chadema zaidi. Umdhania ndie kumbe sie. Relax 🐒

Acha kutetea dhurma. Kama CHADEMA wanahusika wangekuwa wamekamatwa. Huyo Rais wenu kakiri inteligensia yote ipo CHADEMA
 
Kushiriki uchaguzi kwa CHADEMA ni kubariki Samiah kukaa madarakani.
 
Acha kutetea dhurma. Kama CHADEMA wanahusika wangekuwa wamekamatwa. Huyo Rais wenu kakiri inteligensia yote ipo CHADEMA
hakuna haja ya kuweweseka gentleman, wala hakuna kubababika..

ni muhimu mambo ya maana yakafanyika taratibu kwa umakini, uhakika na usahihi ili asionewe mtu wala kudhulumiwa.

haki na stahiki za kamanda Ally Mohamed kibao lazima zipatikane hata kama wahusika watajaribu kudindia wito wa vyombo vya uchunguzi, watalazimishwa kwa nguvu kufanya hivyo mpaka ukweli ujulikane, licha ya kwamba watajibu pia siku ya hukumu mbele za Mungu 🐒..

dah ni aibu na fedheha sana
 
Kushiriki uchaguzi kwa CHADEMA ni kubariki Samiah kukaa madarakani.
Kamanda haitaka itokee chadema waache kushiriki uchaguzi au umesahau kuwa nyumbu kama Lema hana maisha nje ya siasa hata mzee mbowe?
 
Kushiriki uchaguzi kwa CHADEMA ni kubariki Samiah kukaa madarakani.
Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi na tumaini pekee la waTanzania wote,

atakuwepo madarakani tu, chadema ishiriki au isishiriki uchaguzi wowote ule nchi. Vyama vingine zaidi ya 20 si watashiriki kwani kuna tatizo gani...

inafahamika wazi chadema kuna ukata mkubwa, hamna fedha wala sera kwaajili ya uchaguzi huo. Na hivyo ni busara kukaa kando, kuachia vya vinginevyo vidogo vidogo pia kupata fursa za uongozi,

Na chadema ikajipanga kwa uchaguzi mwingine mfano 2030 itapendeza zaidi 🐒
 
Kutokana na Hali iliyojitokeza jana , nashauri ya kwamba CHADEMA watangaze kususia uchaguzi Mkuu ujao na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hii ni kutokana kwamba Serikali kupitia polisi imeshaonesha biasness na kwamba uhalifu wowote dhidi ya CHADEMA polisi hawatashughulika nao.

Itakuwa ni aibu kwa CHADEMA kuaminika kwamba TAMISEMI chini ya mkwe wa Rais ambaye ana mamlaka juu ya polisi atakuwa na haki kwa CHADEMA kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Nashauri ya kwamba kwa jinsi polisi walivyojipanga Jana dhidi ya CHADEMA ni onyo kwa CHADEMA kwamba haitaruhusiwa kukaribia madaraka ya Rais na kwamba polisi wapo tayari hata kuua ili tu CCM ibaki madarakani. CHADEMA ijiulize Kama Mzee Ally Kibao kauawa kikatili na hakuna yeyote aliyewajibishwa, Soka kapotea mazima, hakuna wakuwajibishwa. Kama uhai wa mtu haupewi thamani yake sembuse kura kwenye uchaguzi.

CHADEMA itangaze hadharani kwamba haitashiriki chaguzi zozote hapa Tanzania mpaka haki ya waliopotea na kuuawa inapatikana.
Tuhitaji uchaguzi wa serikari za mtaa kuliko uchaguzi mkuu , wenye akili wataelewa hili
 
Alafu nyie ccm , kama sensa matangazo yalikua mengi kwa nini swala la kuandikisha mnaenda kimia kimia ? Safari hii hamuibi kura ,
 
Kutokana na Hali iliyojitokeza jana , nashauri ya kwamba CHADEMA watangaze kususia uchaguzi Mkuu ujao na uchaguzi wa Serikali za mitaa. Hii ni kutokana kwamba Serikali kupitia polisi imeshaonesha biasness na kwamba uhalifu wowote dhidi ya CHADEMA polisi hawatashughulika nao.

Itakuwa ni aibu kwa CHADEMA kuaminika kwamba TAMISEMI chini ya mkwe wa Rais ambaye ana mamlaka juu ya polisi atakuwa na haki kwa CHADEMA kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Nashauri ya kwamba kwa jinsi polisi walivyojipanga Jana dhidi ya CHADEMA ni onyo kwa CHADEMA kwamba haitaruhusiwa kukaribia madaraka ya Rais na kwamba polisi wapo tayari hata kuua ili tu CCM ibaki madarakani. CHADEMA ijiulize Kama Mzee Ally Kibao kauawa kikatili na hakuna yeyote aliyewajibishwa, Soka kapotea mazima, hakuna wakuwajibishwa. Kama uhai wa mtu haupewi thamani yake sembuse kura kwenye uchaguzi.

CHADEMA itangaze hadharani kwamba haitashiriki chaguzi zozote hapa Tanzania mpaka haki ya waliopotea na kuuawa inapatikana.
ASIPOSHIRIKI CHADEMA HAKUNA SHIDA KUNA VYAMA VINGI TU VIT SHIRIKI VILIVYO TAYARI KWA UCHAGUZI
 
CHADEMA wagomee uchaguzi. Ili kushinikiza ajenda yao ya kupata uwajibikaji wa walihusika na utekaji.
WASUSE LAKINI WAJUE UCHAGUZI UKIPITA MPAKA MIAKA MITANO TENA WASUBIRI HAUFANYIKI KILA SIKU HUU HIZO AKILI ZA KI NDEZI KABISA
 
Fisi hasusiwi mzoga wala haachiwi bucha.. Kumbuka kuna vyama 15 mamluki hivi vinaweza kupewa mbunge mmoja mmoja na waka justify uchaguzi ulikuwa shirikishi huru na wa haki
 
Kwako mwana CCM ni mawazo ya kipuuzi. Ila kwa CHADEMA ni mawazo sahihi, maana lengo ni kuuchakachua huu uchaguzi ili kuonesha mama Samiah anakubalika.
Sawa. Basi wafuate mawazo yako tuone nani atakuwa fuc&Ed up.
 
Back
Top Bottom