Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
mkuu kwani huijui katiba ya nchi..inatamka vipindi vya uongozi ni awamu mbili tu za miaka mitano mitano..ina maama hata ww hujui majaliwa ameanza kuwa PM lini si tangu 2015 alianza na JPM hadi sasa ni miaka 10 inatimia hivyo anastaafu kwa mujibu wa katiba baada ya vipindi viwili vya uwaziri mkuu..sasa ni vp ww useme eti anapigwa chini mara ooh hatakiwi..au mwezetu PM majaliwa umemjua wakati huu wa samia wakati yupo kwenye u PM ni miaka 10 sasa..amka usingizini ww
Katiba najua, ndo maana logic yangu imejikita kwenye kutogombea ili bungeni awe mbunge wa kawaida.

Term limit ya urais ni miaka mitano Tena mitano, kuhusu uwaziri mkuu hamna kizuizi, uwaziri inatokana na mbunge wa kutoka jimbo la uchaguzi, Muhimu ateuliwe tu na Rais na bunge lipitishe!!
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Hawezi kuwa mjinga kama wewe mtoa mada.
 
Hawezi kuwa mpumbavu kama wewe mtoa mada.
Mkuu aksante sana Ubarikiwe kwa matusi!!
Matusi Yako nitafanya Lunch MODS wataona utaratibu unaofaa, mara nyingi Matusi ni short cut way ya mtu aliyeshindwa kujibu hoja 🙏🙏🙏

Karibu mkuu kwa MATUSI ZAIDI, Mungu akubariki sana kwa Matusi haya 🙏🙏🙏
 
Majaliwa ni msimamizi wa shughuli zote za serikali lakini wizi serikalini umetamalaki, matumizi ya hovyo na ufisadi tupu, nchi imejaa vijana wakubet tupu, Simba na Yanga, haoni aibu Tanzania kuagiza ngano, mchele, mafuta, sukari nje n.k?
Excutive power kuadabisha wezi ipo mikononi mwa nani???

PM au Rais??
Don't over smart your boss!! anatembea kwenye msingi huo
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Majaliwa ana uwezo wa kutosha kupima mambo na kufanya maamuzi sahihi haitaji ushauri wako .

Kawawa alukuwa waziri mkuu kwa muda mrefu lakini aliwahi kubadilishwa na akawa waziri wa kawaida na akiendelea na ubunge. Msuya na Malecela waliwahi kuwa mawaziri wakuu na waliondolewa wakaendelea kuwa back benchers bungeni, sasa nini cha ajabu ikiwa Rais ataona inafaa ampe mtu mwingine jukumu la uwaziri mkuu.

Nchi hii vyeo vya juu vinatolewa kwa kuangalia vigezo mbakimbali ikiwemo uwiano wa kidini ili kuleta utulivu.

Ili mtu aweze kuwa mchambuzi mzuri ni vyema akapitia literature review ya jambo analitaka kulitolea maoni kabla ya kuàndika.
 
Umeharibu ulipoanza kuleta udini tu kwani sisi tunachagua ma askofu au ma sheikh?
 
Majaliwa ana uwezo wa kutosha kupima mambo na kufanya maamuzi sahihi haitaji ushauri wako .

Kawawa alukuwa waziri mkuu kwa muda mrefu lakini aliwahi kubadilishwa na akawa waziri wa kawaida na akiendelea na ubunge. Msuya na Malecela waliwahi kuwa mawaziri wakuu na waliondolewa wakaendelea kuwa back benchers bungeni, sasa nini cha ajabu ikiwa Rais ataona inafaa ampe mtu mwingine jukumu la uwaziri mkuu.

Nchi hii vyeo vya juu vinatolewa kwa kuangalia vigezo mbakimbali ikiwemo uwiano wa kidini ili kuleta utulivu.

Ili mtu aweze kuwa mchambuzi mzuri ni vyema akapitia literature review ya jambo analitaka kulitolea maoni kabla ya kuàndika.
Unafikiri nimeandika kwamba nimeombwa ushauri?? la hasha!!

Ushauri sio shurti mtu anaweza kuchukua au akaukataa pia.

Vipi wewe amekuambia umjibie kuwa haitaji ushauri?? au umeamua kutoa maoni yako??🤔🤔

Nimeandika nikiwa na background ya mawaziri wakuu waliomaliza muda, ndo maana nmeona wakati wa sasa sio vyema kuwa na Waziri Mstaafu akihudumu kama mbunge wa kawaida bungeni.

Sbinafsi naona sio vema yeye kupitia mkondo wa Msuya, kawawa, warioba ,malechela.

Zama zimebadilika, by the way response yako imekosa LOGIC Kabisa!!!
Jitahidi sana kutumia logic unapoandika, kama unaelewa LOGIC lakini!!🤔🤔🤔
 
Umeharibu ulipoanza kuleta udini tu kwani sisi tunachagua ma askofu au ma sheikh?
Naona wewe ni mgeni Tanzania, Kuna mambo hayapo katika maandishi ,hayajawa Institutionalized, lakini yanafanyika kubalance kwa ajili ya National Interest.

Top layers katika nchi yoyote ile hasa TZ haiwezi kuwa ya watu wa dini Moja tuu.

Hapo hakuna udini!! Labda huelewi na hutaki kuelewa!!!
🤔🤔
 
Ushauri mzuri sana. Ila kama anajipata sawa sawa angemaliza uwaziri wake mkuu akapumzika ale pesa zake alizowekeza. Shabani mpwa wake mzee wa ulisi wa ruge angeachiwa achukue jimbo
Shabani naona analinyemelea Jimbo la Ndanda,, Yuko na projects nyingi sana pale..
Mara ligi za mpira, mara mikesha ya burudani, mara misaada,
Bila shaka Ndanda ya Mwambe anaitaka
 
Kuna mtu nimewahi kuongea naye kuhusu hili, ilikuwa kabla ya kuchapishwa Fomu Moja kule Dodoma juzi.

PM alikuwa na ndoto ya kwenda kule juu zaidi, lakini yale maamuzi ya Juzi Dodoma ndiyo yamemwondoa kwenye reli.

Hata hivyo amepanga kuendelea kuwa Mbunge ili Mipango ya kwenda juu zaidi isife.

Ndiyo maana akina Edo hata baada ya kupata ile ajali ya 2008 lakini bado aliendelea kuwa karibu na Wajumbe ili kupata sapoti ile ya Mwaka 2015 (Tunaimani na Edo)

Kwahiyo PM ataendelea kuwa Mbunge wa kawaida ili asiwe nje ya ulingo

Waswahili wanasema "Fimbo ya mbali haiui Nyoka"
 
Katika stadi za mawasiliano, alifanya vizuri sana, alijua ukweli, lakini
Kiongozi hatakiwi kuwa muongo kwa Taifa analoliongoza! Majaliwa aliliongopea Taifa kuhusu kifo cha Magu ; that disqualifies him from any leadership position.
Hakuwa na mmlaka ya kutoa Tangazo la kifo, msiba wa Kitaifa , mwenye mamlaka balikuwa makamu wa Rais AMBAYE nkikatiba ndiye Rais.

Msiba wa Kitaifa Rais kufia madarakani sio jambo dogo, maandalizi yanatakiwa,ilitaka aingilie kazi ambayo siyo yake??

Alichofanya ni ku fill information gap!! Vacuum, nature does not allow Vacuum!!!
 
Unafikiri nimeandika kwamba nimeombwa ushauri?? la hasha!!

Ushauri sio shurti mtu anaweza kuchukua au akaukataa pia.

Vipi wewe amekuambia umjibie kuwa haitaji ushauri?? au umeamua kutoa maoni yako??🤔🤔

Nimeandika nikiwa na background ya mawaziri wakuu waliomaliza muda, ndo maana nmeona wakati wa sasa sio vyema kuwa na Waziri Mstaafu akihudumu kama mbunge wa kawaida bungeni.

Sbinafsi naona sio vema yeye kupitia mkondo wa Msuya, kawawa, warioba ,malechela.

Zama zimebadilika, by the way response yako imekosa LOGIC Kabisa!!!
Jitahidi sana kutumia logic unapoandika, kama unaelewa LOGIC lakini!!🤔🤔🤔
Sijamjibia nimejibu hoja yako maananunafikiri uko katika better position kuelewa situation kuliko Majaliwa mwenyewe.

Kukuongezea Warioba alikuwa waziri mkuu na makamo wa kwanza wa rais lakini aliondolewa akawa waziri wa kawaida tu. Salim pia alikuwa waziri mkuu akaondolewa akawa waziri wa kawaida japo alipewa cheo ambacho hakipo kikatiba cha naibu waziri mkuu. Kwa hiyo hakuna cha ajabu uwaziri mkuu wa Majaliwa ukiondoka.
 
Back
Top Bottom