Ushauri: Kwa matokeo haya naweza kuwa lecturer?

Ushauri: Kwa matokeo haya naweza kuwa lecturer?

Hi komenti yako imenikumbusha 1st year nilivyo kua najikuta bingwa wa other sources
Niliona Moto ikabidi nimfuate anavyotaka juha yule.
Kabsa tofauti ya chuo na sekondar ni hyo tu, kupunguza ujuaji tu unatoboa lakn ukijfanya kipanga unaandka mambo ambayo hajafundshwa unapotea mazma

Mfano sasa hv vyuo ving malecture wanatoa slides za ppt sasa ukisoma unavovijua ww wakitoa maswali ya short answers, matching items, multiple choices na true and false una asilimia 90 yakukosa yote, na kiuhalisia ungekomaa na slides zake ungepata hata 6/10
 
Mm
UDSM
Usisome UDOM NA SUA
Vyuo vya serikali malecture weng ni wazee na vilaza wanapenda watu wafeli, wapo outdated , mabepari na wapenda sifa tu.

Ushauri ukitaka mafanikio nenda private utafurahi sema ada yake ni 2m kwa ualimu, we Serikalin huko lecturer anatunga mtihan yeye mwenyew kuufanya hawezi
 

Attachments

  • fe6941225960930cb4413c82478f82c8.mp4
    1,005.5 KB
Mm

Vyuo vya serikali malecture weng ni wazee na vilaza wanapenda watu wafeli, wapo outdated , mabepari na wapenda sifa tu.

Ushauri ukitaka mafanikio nenda private utafurahi sema ada yake ni 2m kwa ualimu, we Serikalin huko lecturer anatunga mtihan yeye mwenyew kuufanya hawezi
Nimecheka Kwa saut.....
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mimi ni mwanafunzi mwaka wa pili chuo X degree ya ualimu( bachelor of science with education) semester ya kwanza nilipata GPA 3.5 semester ya pili 4.2 na semester ya tatu 3.2 lakini najua na ninauwezo wa kupata 3.6 kutokana na bado sjafanya field ( teaching practice).

Sasa kwa matokeo haya naweza kuwa lecturer maana nmebaki na semester tatu tu mbele yangu nataka nikaze nipate GPA 4.0 kwa semester zote zilizobaki ili nipate GPA isiyopungua 3.8

SWALI JE HIYO 3.8 ILIHITAJIKA TOKA SEMESTER YA KWANZA AU HAPO KWA MATOKEO HAYO NIKIKAZA NIKIFIKA 3.8 OVERALL NTAKUA NIMEFUZU VIGEZO VYA KUA LECTURER?
View attachment 2602382View attachment 2602383View attachment 2602384
Hapana LEACTURE wana master degree

Kwa wewe utaingia na entry level yaani degree kama TUTORIAL ASSISTANT na overall gpa at degree level ni 3.8

So kaza msuli na usi SUP, SUP zinashusha gpa
 
Hapana LEACTURE wana master degree

Kwa wewe utaingia na entry level yaani degree kama TUTORIAL ASSISTANT na overall gpa at degree level ni 3.8

So kaza msuli na usi SUP, SUP zinashusha gpa
Je nikitaka kwenda masters kwanza ndo nirud kufundsha vyuoni itakuaje na natakiwa nisome nn?
 
Mdogo angu kaza sana sio rahisi kuweza....
Epuka C epuka B plain wew kamua mabanda Ana B+
Soma sana pia usisahau kumwomba MUNGU....
Mm mwenyewe nili lipambania KOMBE miaka zaidi ya 12 iliyo pita....
Kwa Sasa Nina postgradute nili ifanikisha miaka miwili iliyo pita...................
Huwa na PENDA Ile brass band wakati wa kutunukiwa degree....
Ntafanya PhD inshallah.....Hii PhD ni Kwa ajili ya kutimiza kiu na ndoto yangu ya ELIMU....
I wish siku Moja niwe na hiyo Title ya Dr.
 
Mdogo angu kaza sana sio rahisi kuweza....
Epuka C epuka B plain wew kamua mabanda Ana B+
Soma sana pia usisahau kumwomba MUNGU....
Mm mwenyewe nili lipambania KOMBE miaka zaidi ya 12 iliyo pita....
Kwa Sasa Nina postgradute nili ifanikisha miaka miwili iliyo pita...................
Huwa na PENDA Ile brass band wakati wa kutunukiwa degree....
Ntafanya PhD inshallah.....Hii PhD ni Kwa ajili ya kutimiza kiu na ndoto yangu ya ELIMU....
I wish siku Moja niwe na hiyo Title ya Dr.
Asante kwa ushauri, ntajitahd sana kuanzia hii 4semester stak B plain tena ntakuletea mrejesho mwezi wa 8
 
Je nikitaka kwenda masters kwanza ndo nirud kufundsha vyuoni itakuaje na natakiwa nisome nn?
Aah inategemea na kipaumbele chako

Ila kwangu mimi naona pata kazi kwanza kama TA afu utajiendeleza na masters then utakua leacture
 
Mdogo angu kaza sana sio rahisi kuweza....
Epuka C epuka B plain wew kamua mabanda Ana B+
Soma sana pia usisahau kumwomba MUNGU....
Mm mwenyewe nili lipambania KOMBE miaka zaidi ya 12 iliyo pita....
Kwa Sasa Nina postgradute nili ifanikisha miaka miwili iliyo pita...................
Huwa na PENDA Ile brass band wakati wa kutunukiwa degree....
Ntafanya PhD inshallah.....Hii PhD ni Kwa ajili ya kutimiza kiu na ndoto yangu ya ELIMU....
I wish siku Moja niwe na hiyo Title ya Dr.
Amina ikawe heri mkuu
 
Back
Top Bottom