Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- Thread starter
- #61
Nimemajor biologyBachelor of science with education (biology and geography)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemajor biologyBachelor of science with education (biology and geography)
Akaze butiBwana mdogo anasoma Ualimu,
BIOLOGY
GEOGRAPHY
NakaziaAkaze buti
Unataka kuwa lecturer wa kozi gani?Kama kichwa cha habari kinavojieleza mimi ni mwanafunzi mwaka wa pili chuo X degree ya ualimu( bachelor of science with education) semester ya kwanza nilipata GPA 3.5 semester ya pili 4.2 na semester ya tatu 3.2 lakini najua na ninauwezo wa kupata 3.6 kutokana na bado sjafanya field ( teaching practice).
Sasa kwa matokeo haya naweza kuwa lecturer maana nmebaki na semester tatu tu mbele yangu nataka nikaze nipate GPA 4.0 kwa semester zote zilizobaki ili nipate GPA isiyopungua 3.8, SWALI JE HIYO 3.8 ILIHITAJIKA TOKA SEMESTER YA KWANZA AU HAPO KWA MATOKEO HAYO NIKIKAZA NIKIFIKA 3.8 OVERALL NTAKUA NIMEFUZU VIGEZO VYA KUA LECTURER?
View attachment 2602375View attachment 2602376View attachment 2602377View attachment 2602378
Mkuu yaan hata mm washikaj zangu weng hivyo vyuo vyao nadhan ni mtelemko sana yaan wengi gpa zao zinacheza kuanzia 4.0 na kuendelea . Sasa mm A level nilikua na one but chuo udsm niliishia kupata gpa ya 3.0 pamoja na kukomaa sana.Vyuo gani hivi mnavyopata ma GPA makubwa makubwa aisee. Muhas nilitoka na ka gpa kadogo hadi nikashangaa tofauti na huko secondary nivo kua napasua
UDSM ni sayari nyingine, ndo maana hao SEKUCO, TEKU na wapi sijui wanalia hata Law School tu.Mkuu yaan hata mm washikaj zangu weng hivyo vyuo vyao nadhan ni mtelemko sana yaan wengi gpa zao zinacheza kuanzia 4.0 na kuendelea . Sasa mm A level nilikua na one but chuo udsm niliishia kupata gpa ya 3.0 pamoja na kukomaa sana.
TA si inaanzia 3.8?? auKuwa lecturer?
Au Tutorial Assistant (TA)?
Mimi ninavyojua kuwa lecturer ni mpaka uwe na Ph.D.....
Tena unaanzia Assistant Lecturer halafu unapanda ngazi....
Kuwa TA kaza msuli kidogo uvuke 4.0...ungekuwa siriazi hata first class ungepata....
Kwamba UDSM ndo watu wanapata GPA kubwa kirahisi?? HapanaaaUDSM
Usisome UDOM NA SUA.
Kwamba UDSM ndo watu wanapata GPA kubwa kirahisi?? Hapanaaa
Hakuna complications,Kwamba UDSM ndo watu wanapata GPA kubwa kirahisi?? Hapanaaa
Ilikua course gani??Mkuu yaan hata mm washikaj zangu weng hivyo vyuo vyao nadhan ni mtelemko sana yaan wengi gpa zao zinacheza kuanzia 4.0 na kuendelea . Sasa mm A level nilikua na one but chuo udsm niliishia kupata gpa ya 3.0 pamoja na kukomaa sana.
Mkuu we acha tu!!!!! Udsm noma sana. Huwez amin ni zaid ya miaka kumi toka nimalize pale lakini mpaka leo neno UDSM nikilisikia mwili unasisimkaUDSM ni sayari nyingine, ndo maana hao SEKUCO, TEKU na wapi sijui wanalia hata Law School tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mnavyo visema hapa ni tofauti na uhalisia uliopo huku sehemu husika.Hakuna complications,
Kuna MA-TA ambao wanakusaidia wewe pale chuoni,
Tofauti na UDOM &SUA.
Nimekuja ndyo Lecturer mtarajiwaUmekuja huku pia
NmekupataAah inategemea na kipaumbele chako
Ila kwangu mimi naona pata kazi kwanza kama TA afu utajiendeleza na masters then utakua leacture
Labda kwan we faculty yako ilikuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mnavyo visema hapa ni tofauti na uhalisia uliopo huku sehemu husika.
Sijui labda inategemea na faculty. Nisibishe sana.
Mm nafundisha biology and geography mengne ndo mnipe ushaurUnataka kuwa lecturer wa kozi gani?
Mambo yakule yaishie kuleNimekuja ndyo Lecturer mtarajiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]