cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ni hatarii tupuuu, tena zaidi ya hatari enyewee.Labda kwan we faculty yako ilikuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatarii tupuuu, tena zaidi ya hatari enyewee.Labda kwan we faculty yako ilikuwaje?
Tupia jamviniNi hatarii tupuuu, tena zaidi ya hatari enyewee.
NikuulzeNi hatarii tupuuu, tena zaidi ya hatari
Yaani pale GPA ya 4.00 kwa kozi yoyote ni bonge la kipanga.Mkuu we acha tu!!!!! Udsm noma sana. Huwez amin ni zaid ya miaka kumi toka nimalize pale lakini mpaka leo neno UDSM nikilisikia mwili unasisimka
Tatzo unazan nn wanafunzi au malecture tuanzie hapoYaani pale GPA ya 4.00 kwa kozi yoyote ni bonge la kipanga.
UdomV
Vya uchochoron kama vipi? Mm nachotaka ni mshahara wangu usome tu kwenye akanti hata kama ntafundsha TEKU
Masters of science in Zoology/BotanyMm nataka nikimaliza nijiendeleze kabsa masters nikianza kuomba ajira za ulecture nina masters tayr ndo nauliza nisome ipi nzuri masomo ni biology na geography nayosoma sasa
Ndo utaratibu au ujitoe.Kwahyo chuo ndo kipange hatma ya maisha yangu? Mkuu