Pre GE2025 Ushauri kwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS Kuhusu Kero Sugu ya Uhalifu wa Kiuchaguzi Unaofanywa na Wanasiasa Matapeli Wakati wa Chaguzi tangu 2010 hadi 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani utawala wa majimbo upo Ethiopia tu? Mbona Afrika Kusini upo, Mbona Kenya upo? Mbona Marekani upo?

Kama CCM wanaiba uchaguzi kwa kupindua matokeo halali wana tofauti gani na Mobutu?
 
Mzee wa kububujikwa na machozi ya furaha katulia kwanza akitafakari pa kuanzia.
 
Kwani utawala wa majimbo upo Ethiopia tu? Mbona Afrika Kusini upo, Mbona Kenya upo? Mbona Marekani upo?

Kama CCM wanaiba uchaguzi kwa kupindua matokeo halali wana tofauti gani na Mobutu?
"Baseless allegations" za kila uchao....

Hakuna ushahidi wa kweli juu ya hizo tuhuma....

Watanzania bado wana imani kubwa na CCM kwa kuiona inaendelea kuzuia vurugu , machafuko na vita vilivyoko Sudan ,DRC na kwingineko....


CCM haijachokwa....siku ikichokwa ITASHINDWA UCHAGUZI VYEMA TU.....
 
Hakuna ushahidi wa CCM kuiba uchaguzi? We una akili kweli?

Nilidhani nazungumza na mtu mwenye akili kumbe naongea na mjinga na chawa.

Haya kakojoe ukalale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…