MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
- Thread starter
- #21
Lipo Chunya Mkuu hapo mkoani Mbeya. Halina fence wala askari hawahangaiki kukulinda, we toroka ukakutane na King Lion porini!Hiloo gereza litakuwa kiboko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo Chunya Mkuu hapo mkoani Mbeya. Halina fence wala askari hawahangaiki kukulinda, we toroka ukakutane na King Lion porini!Hiloo gereza litakuwa kiboko.
Kweli mkuuUmasikini unatofautina ndugu,nafuu mm na wewe Ni masikini lakin tunamiliki smart phone/computer na tumepata hela ya bando mpaka tukaja kuriply apa Kuna mwingine tangu asubuhi mpaka Sasa mdomo haujaenda kinywan
..
Lakini pia naungana na wewe umasikini sio sababu pekee ya kufanya uwe panya road Kuna watu n maskini zaidi yao na sio panya rodi
ha ha ha ha king lion huwa hawawatembelei eneo la gereza?Lipo Chunya Mkuu hapo mkoani Mbeya. Halina fence wala askari hawahangaiki kukulinda, we toroka ukakutane na King Lion porini!
Sababu kuu ni UMASKINI! ingawa zipo sababu nyingine!.Maana yake Kuna sababu kubwa nyingine ambayo siyo hiyo aliyoitoa mtoa mada.
Kwa ufupi mtoa mada ameandika uongo.
Wakazi wanaishi kimachale machale, uzuri gerezani bunduki zipo wakijipendekeza wanakula shaba.ha ha ha ha king lion huwa hawawatembelei eneo la gereza?
Huu ushauri wanatoa panya road wenyewe labda wanaona maji yanataka kuzidi Unga.
Polisi, piga risasi hawa wapumbavu kwanini wanajichagulia adhabu? Mbona wao wanapotukata mapanga hawasemi tuchague adhabu.?
Jino kwa jino ndo dawa yenu.
Ameandika uongo kwa kuifanya sababu hiyo kuwa ndiyo msingi.Mtoa mada hajaandika uongo , na pia zipo sababu nyingine zinazo sababibisha kuwapo hawa panya rodi Kama vile malezi,,ushawishi kutoka katika maraki zoa ambao Ni panya rodi nakadhalika
Hapa ndipo umeandika uongo na unaurudia uongo huo. Ingekuwa ni sababu kuu basi sote tungekuwa Panya road, sababu ya msingi ni malezi mabovu kutoke hapa yanazalika mambo ya hivyo kama hayo.Sababu kuu ni UMASKINI! ingawa zipo sababu nyingine!.
Toeni AJIRA acha kuleta utetezi wa kitoto! Sababu kuu ya uhalifu ni UMASKINI!Hapa ndipo umeandika uongo na unaurudia uongo huo. Ingekuwa ni sababu kuu basi sote tungekuwa Panya road, sababu ya msingi ni malezi mabovu kutoke hapa yanazalika mambo ya hivyo kama hayo.
Hao Panya road sio watukutu sana?Hili gereza hupelekwa watu watukutu zaidi
Kwa hili hapana
Sheria ifuate mkondo wake tu
Acha kuandika uongo.Toeni AJIRA acha kuleta utetezi wa kitoto! Sababu kuu ya uhalifu ni UMASKINI!
Hivi Hilo gereza unalifaham kweli?Hao Panya road sio watukutu sana?
Wakipelekwa huko watanyookaHao Panya road sio watukutu sana?
Lipoje??Dah,Gereza la Ngwala kule ni jehanamu ndogo Mkuu.Hawa watoto wakienda kule alafu warudi uraiani lazima watakuwa masheikh,wachungaji au washauri wa maadili mema kwa wenzao.🤣🤣🤣🤣
Dawa nzuri kabisa ya kumaliza panya road ni kuwaua tu. Wakionekana mahali na mapanga na nyundo zao ni kuwapurula risasi tu, wataacha tu.
Kuwapeleka gerezani ili tukawalishe kwa kodi zetu ni kutuongezea hasara.
Kwanza wanaua watu - muuaji hastahili kuishi.
Pili wanatupunguzia nguvu kazi kwa kuua na kuumiza wajenzi wa taifa.
Tatu, kwa nini kodi zetu zitumike kulisha majamba na wauaji? Ni afadhali hiyo pesa itumike kujenga madarasa na kununua madawa huku vijijini.
Tunaanza na hao wanaoua watu kwanzaUko sahihi sana, ripoti ya CAG imejaza taarifa za majizi ya fedha za umma kuliko hao panya road, je hao mnawaua lini?
Kwanini wewe Panya road unataka kujichagulia adhabu? Dawa ya panya road ni chumaRais hao panya road wakikamatwa wasiuliwe bali wapelekwe Chunya gereza la Ngwala wakalime na kujifunza mambo mbalimbali yatakaowasaidia katika maisha yao.
Gereza la Ngwala halina fence yoyote na wafungwa wanaishi kindugu na kufanya shughuli mbalimbali za uzalishaji.
Kwanini gereza halina fence? Lipo katikati ya pori lenye wanyama wakali. Ukitoroka lazima simba wapite na wewe!