Kwa maana yenu kupiga ni kuiba hela ya umma, huyu hjawahi kuwa mtumishi wa umma sasa kapiga wapi?
Sukuma Gang Tena mmh!Nishati na madini amrudishe Kalemani
Hahaha haya mkuu. Lakini si kuna wale 10?Mkuu Kinoamiguu
Nimewataja walio mjengoni, mimi pia nilitaka kuingia mjengoni nikawasaidie kwenye maeneo haya
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=sharedP
Mtaje aliyepata kwa njia nzuri huo ubunge kutoka ccm tusikie, au wapewe wale wa chadema?Wazuri mkuu aliyeupata ubunge kwa njia chafu ana uadilifu gani? Au kwakuwa tuna katiba dhaifu ya kuwawajibisha watu wachafu baada ya kuwa viongozi?
Tuna angalia uchapaka kazi na siyo ukabilaSukuma Gang Tena mmh!
Mueleze huyo anayesema ni kiongozi muadilifu.Mtaje aliyepata kwa njia nzuri huo ubunge kutoka ccm tusikie, au wapewe wale wa chadema?
Katiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.Mkuu hii akili ya kudhani rais ana mamlaka makubwa ni ya AJABU SANA. Nitajie ni wapi mkuu yeyote hana mamlaka makubwa- anzia na kwako kwenye familia
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Conflicts of interest!!! Tutaendelea kupigwa.Mwanyika labda madini
Mzee Mwinyi aliwahi kumpa Uwaziri wa Afya Prof. Sarungi kisa tu alikuwa msimamizi mzuri Muhimbili National Hospital. Nafikiri matokeo yake unayakumbuka.Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
We chawa kuwa serious kidogo
Huku Rais ni zaidi ya MUNGUKatiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.
Emu niambia ni Rais wa Nchi gani wa Ulimwengu wa kwanza Ufisadi wa kutisha unaweza kufanyika na wahusika wasichukuliwe hatua?
Hamna kitu ni mda wa kugawa kofia na vitenge umekaribiaMbona kama kunafuka Sana huko CCM/SERIKALINI, Kimei naunga mkono hoja.
Huna unachokijua.Huyu alikuwa mshauri wa uchumi wa Raisi Mwinyi , uchumi ulikuwa ovyo serikali ikawa haina pesa ovyo kabisa
Peter Madeleka kumbe ilikuwa issue ya DPP World ? Hapo Shadow wa Kawe umeanza kunifungua akili .Ile issues aliimaliza kwa plea bargain. Ukimaliza issue kwa plea bargain, criminal liabilities inafutika!.
P
Pole sana utakuwa bado mtoto, tuliona maisha tangu nyerere hadi sasa. Na kuwa professor sio kigezo cha good performanceHuna unachokijua.
Kwa vile Nyerere kasema basi!? Sina hakika unaufahamu kiasi gani kwa yanayotokea nchi nyingine.Katiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.
Emu niambia ni Rais wa Nchi gani wa Ulimwengu wa kwanza Ufisadi wa kutisha unaweza kufanyika na wahusika wasichukuliwe hatua?
Wivu tu- charges ingekuwa kutoka kwa mwajiri wake ingelijenga tuhuma za huo mnaouita upigajiSoma hii habati hapa mkuu...
Ex-Acacia boss charged with economic sabotage
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has arraigned two officials including former Acacia vice president of corporate affairs Deo Mwanyika on 39 counts, including...www.thecitizen.co.tz
Kuna hawataguswa mpaka 2025, vigezo ni wewe nani kwetu na tunakutuma kazi gani na una kipi cha kuaminikaHuu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali