Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika

Kwa maana yenu kupiga ni kuiba hela ya umma, huyu hjawahi kuwa mtumishi wa umma sasa kapiga wapi?

Soma hii habati hapa mkuu...

 
Mkuu hii akili ya kudhani rais ana mamlaka makubwa ni ya AJABU SANA. Nitajie ni wapi mkuu yeyote hana mamlaka makubwa- anzia na kwako kwenye familia
Katiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.

Emu niambia ni Rais wa Nchi gani wa Ulimwengu wa kwanza Ufisadi wa kutisha unaweza kufanyika na wahusika wasichukuliwe hatua?
 
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali


P,
Upo sawa. Na sisi tunasema tukijua fika wote ni wana Ilboru wewe, Mimi na Mwigulu laikini kwa manufaa ya nchi hii sio wizara yake.

 
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali
Mzee Mwinyi aliwahi kumpa Uwaziri wa Afya Prof. Sarungi kisa tu alikuwa msimamizi mzuri Muhimbili National Hospital. Nafikiri matokeo yake unayakumbuka.
 
Katiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.

Emu niambia ni Rais wa Nchi gani wa Ulimwengu wa kwanza Ufisadi wa kutisha unaweza kufanyika na wahusika wasichukuliwe hatua?
Huku Rais ni zaidi ya MUNGU
 
Katiba ina mpa Mamlaka makubwa sana na hii sio kauli yangu ni ya Nyerere mwenyewe.Rais wa Tanzania is above the law-chochote kinachotokea kizuri au kibaya katika Utawala wake ni yeye atakuwa amebariki kwa 💯 na Wananchi kwa uoga wetu hatuna cha kumfanya.

Emu niambia ni Rais wa Nchi gani wa Ulimwengu wa kwanza Ufisadi wa kutisha unaweza kufanyika na wahusika wasichukuliwe hatua?
Kwa vile Nyerere kasema basi!? Sina hakika unaufahamu kiasi gani kwa yanayotokea nchi nyingine.
 
Soma hii habati hapa mkuu...

Wivu tu- charges ingekuwa kutoka kwa mwajiri wake ingelijenga tuhuma za huo mnaouita upigaji
 
Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.

Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.

Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!

Ni ushauri tu.

Paskali
Kuna hawataguswa mpaka 2025, vigezo ni wewe nani kwetu na tunakutuma kazi gani na una kipi cha kuaminika
 
Back
Top Bottom