Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Lipumba apewe wizara ya fedha asimamie uchumi, huku Lisu akiletwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali..Paul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba apewe wizara ya fedha asimamie uchumi, huku Lisu akiletwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali..Paul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
Dr. Kimei sio mzuri sana wa kuongea, hata kujieleza kwake ni shida, uwaziri utakuwa mgumu kwake katika kujieleza bungeni.
Shida ya kuwapa wanafanyabiashara hizo wizara ni mgongano wa kimaslahi.
Tatzo nani atatekeleza ushauri wako shida iko hapoHuu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi
wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, jee wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tuu?. Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!.
Ni ushauri tuu
Paskali
Kwasasa nadhani tunahitaji watendaji zaidi kuliko waongeaji
Dr. Kimei sio mzuri sana wa kuongea, hata kujieleza kwake ni shida, uwaziri utakuwa mgumu kwake katika kujieleza bungeni.
Shida ya kuwapa wanafanyabiashara hizo wizara ni mgongano wa kimaslahi.
Msimamizi mkuu wa shughuli za serikali ni nani? acha aondolewe harakaHeri yako upo unbiased wengine wanaotaka mabadiliko ya baraza la mawaziri wanavizia uwaziri mkuu. Waziri Mkuu hajatajwa popote lakini wanalazimisha aondolewe, aibu nasikia mimi mtu mwadilifu kama yule kuundiwa zengwe ili atolewe.
Mkuu CCM inabidi ipotee ktk uso wa Dunia.Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi
wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, jee wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tuu?. Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!.
Ni ushauri tuu
Paskali
Waziri Mkuu hafai hata kdgWazuri mkuu aliyeupata ubunge kwa njia chafu ana uadilifu gani? Au kwakuwa tuna katiba dhaifu ya kuwawajibisha watu wachafu baada ya kuwa viongozi?
Naunga mkono hoja aseeMkuu CCM inabidi ipotee ktk uso wa Dunia.
Shida ni hiyo.
Sasa kama Rais wako anasema Katiba ni kijitabu tu... Wtf...
Kuna nchi hapo..kuna kuwajibishana..
Wacha tufe tu.
Sasa kama Rais wako anasema Katiba ni kijitabu tu...[emoji419][emoji375]Mkuu CCM inabidi ipotee ktk uso wa Dunia.
Shida ni hiyo.
Sasa kama Rais wako anasema Katiba ni kijitabu tu... Wtf...
Kuna nchi hapo..kuna kuwajibishana..
Wacha tufe tu.
We chawa kuwa serious kidogoPaul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
KabisaLipumba apewe wizara ya fedha asimamie uchumi, huku Lisu akiletwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali..
Atawanyoosha Wezi kule TamisemiWe chawa kuwa serious kidogo
Kinacho hitajika ni utendaji wake, sio kuongea kama Kemei Anafaa lakan.
Waongeaji wengi matapeli na chawa ...Tunataka uwezo basi Kimei anafit kabisa.
Dr. Kimei sio mzuri sana wa kuongea, hata kujieleza kwake ni shida, uwaziri utakuwa mgumu kwake katika kujieleza bungeni.
Shida ya kuwapa wanafanyabiashara hizo wizara ni mgongano wa kimaslahi.
Hapa kwenye kufungana sisiemu ndo hawataki, kama civics ya form 2 inasema mbunge lazima awe na chama, lakini tupo na genge bungeni japo bunge lote nalo genge tu ila lile genge dogo linakesi mahakamani siku zinaenda tu. Ndo washindwe kulinda hawa wagawanaji percent za miradiWananchi tunataka pesa irudi na watu wafungwe!!
Waongeaji wengi matapeli na chawa ...Tunataka uwezo basi Kimei anafit kabisa.
Upo sahihi sana hasa hapo kwenye fedha. Mwigulu arudi Burundi
Mwigulu na nape warudi uraiani ikimpendeza MunguMpina naye kapambana sana pamoja na makandokando yake lakini kalivalia njuga hili swala mpaka wanakaribia kutema bungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye uwezo kwenye Nishati na Madini ni Profesa Muhongo.Nishati na madini amrudishe Kalemani