Word....Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
ccm watamkubalia??Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Tatizo chawa ndo atako ona wanafaa etiUpo sahihi sana hasa hapo kwenye fedha. Mwigulu arudi Burundi
0 !......makonda siyo mbunge mawaziri lazima wawe wabunge wa kuteuliwa na raisi au wakuchaguliwa mkuuPaul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
Waziri kazi yake ya msingi ni kusimamia sera. Ni kiongozi wa kisiasa, ndio maana anakuwa mbunge vile vile.Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Yaani mwizi na jambazi aiseeMwanyika labda madini
Viroba vyako vimekosa wateja eeh!!Paul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
Vipi sheria au habari akakaa P🤣Huu ni Ushauri wa Bure kwa Rais Samia kwenye mabadiliko tarajiwa ya cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, namshauri Rais Samia, asibabaike sana na kuangalia ma vyeti ya usomi kwenye uteuzi wa cabinet yake, atumie watu wenye uzoefu, mfano Waziri wa Fedha wa sasa Dr. Mwigulu Mnchemba ni msomi mzuri wa uchumi, ana 1st Class ya degree ya uchumi kutoka UDSM, lakini sio mtu wa ki fedha fedha!. Hajawahi kushika na B na ma B na ma B mikononi mwake kama Dr. Charles Kimei alipokuwa CRDB, hivyo Wizara ya Fedha akimpa Dr. Kimei, fedha zitakuwa zimefika kwenyewe.
Kwenye biashara na uwekezaji, kuna wasomi wawili, madaktari wa PH.D, je, wanewahi kufanya chochote hata kuuza nyanya tu? Kwenye Biashara Uwekezaji ampe Deo Mwanyika, kina Sumri, kina Shabiby, Abood etc, watu wenye uzoefu wa kufanya biashara.
Aunde Baraza dogo lenye mawaziri wenye uzoefu, ukiwa na mtu mwenye uzoefu, hawezi kupigwa kirahisi kama msomi mwenye vyeti lakini hajawahi kuuza hata toothpicks!
Ni ushauri tu.
Paskali
Kwanini asiwe naibu makamu wa rais?Paul Makonda awe Waziri wa Mambo ya Ndani
Naunga had miguu, [emoji122][emoji122]Nishati na madini amrudishe Kalemani
Kwa dharau hizi nae aende tu huko Oman.Sasa kama Rais wako anasema Katiba ni kijitabu tu...[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
PamojaNaunga had miguu, [emoji122][emoji122]
[emoji625]Pamoja
Gari binafsi au gari la waziri? Kama la binafsi itakuwa mkopo ambao ataendelea kulipa hata akiwa sio waziri. Gari la waziri ni mali ya umma.Swali la nje ya mada ,hivi wakiteuliwa mawaziri wapya je serikali inawajibika kuwanunulia magari mapya? Gari la mwigulu halijamaliza hata miezi 7 toka amelipokea.
Haa unamsingizia Nyerere. Nakumbuka enzi yake at one time wabunge karibu wote wa Kilimanjaro walikuwa mawaziri. (Siwakumbuki)Alianza Nyerere kuhakikisha hampewi madaraka,inaendelea Hadi Leo,mpaka mtakapostaarabika na kuacha ukabila,Kama ni chuki utajua wewe na wanywa mbege wenzio
Mwisho ni uwaziri tu,kile kiti hawakalii,wao na wahayaHaa unamsingizia Nyerere. Nakumbuka enzi yake at one time wabunge karibu wote wa Kilimanjaro walikuwa mawaziri. (Siwakumbuki)