ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sawa katika hao uliowataja ,mbona Hadi Sasa Mwigulu anaonekana kuwazidi wote kwenye Management ya Uchumi?Mwigulu is an Economist in Profession but not a Financial Economics expert.
Hajawai ku-practice taaluma yake ya Uchumi kama akina Dr Mpango, Marehemu Professor Beno Ndulu,Dr Kimei nk.
Kaka Pascal ingia LinkedIn kuna Watanzania wana CV nzito na wanafanya kazi kwenye reputable organization and companies lakini mpaka unafika mahala unashangaa inakuaje tuna ongozwa na watu wa ajabu!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Pili Uchumi sio Fedha tuu,elewa hii kwanza maana mnadhani kuongoza Wizara ya Fedha ni kuongoza firm.Na Kwa taarifa Yako Duniani kote Wizara ya Fedha inaongozwa na Wataalamu wa Uchumi na sio Wakuu wa firm Fulani.
Mwisho nitajieni Waziri mwenye mafanikio Mkubwa kwenye Wizara ya Fedha kumzidi Mwigulu Ili tuwaringanishe.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1721624598385504379?t=FzHpkfZ2eQyHjTTdQCiJdg&s=19