Ushauri kwa Serikali: Ajira za mkataba ndiyo suluhisho pekee la uhaba wa ajira nchini


Why the limit?!?

Binafsi nadhani, if possible ajira ilingane na output.

Kama uko ofisini for more than 5 years iwe na maana mchango wako ni dhahabu, even at the retirement age uwe na faida sio tu ilimradi uliwahi kuhudumu serikalini.

Otherwise even in two years of your service to the nation ukionekana huna msaada kitaifa utolewe tu!
 
No haliko practical mkuu, kama ishu ni mitaji kwa nini badala ya kuwaongezea mishahara waajiriwa kwa nini wasiwape graduates hio pesa wafanye mitaji??
 
No haliko practical mkuu, kama ishu ni mitaji kwa nini badala ya kuwaongezea mishahara waajiriwa kwa nini wasiwape graduates hio pesa wafanye mitaji??
Wataitoa kwa minajili ipi sasa?
 
Hapo Kuna Kitu utasaidia Ila Kuna Mambo Utaharibu Kabisa. Naona Umeangalia Kwa Upande mmoja Kwamba Unawasaidia Wasio na Ajira Pekee

Kumbuka Makazini Kunahitaji Uzoefu Pia Wa Kazi huwezi Kuingiza Watu na Kutoa Tu na Kuweka Wasio na Uzoefu

Uzoefu unapatikana aje Chief?

Mleta mada kalenga panapostahili!
 
Uko sahihi, kazi za serikali ziwe za mikataba na zisizidi miaka 10
 
RAISI AJAE

Tanzania kuna watu wengi ukiwaambia katiba mpya ni kitu muhimu sana watasema siyo muhimu lakini akigeuka analalamikia mambo yanasababishwa na katiba mbovu. Kwa kifupi wengi hawaoni correlation kati ya vitu kama ulivyoandika na katiba.
Watu wengi uwezo wao kufikiri kwa mantiki uko chini.
 
Mmeanza roho mbaya
Roho mbaya ipi? Hii nchi si ya watanzania wote? Kwa nini wengine wafe wakiwa vikongwe kwenye ajira za umma ambazo ni kodi za watanzania wote huku wengine wakionekana hawastahili?

Watu wanachotaka ni Watanzania wote wawe na fursa ya ku enjoy hiyo keki ndogo ya taifa kidogo kidogo.
 
Hiyo training waliyoipata na uzoefu kazini wataenda kuutumia kwenye sekta binafsi, hicho ndicho kinachofanyika Marekani ndio maana unaona watu wengi sana kwenye siasa na sekta binafsi ya Marekani ni wanajeshi wastaafu ila bado ni vijana.
 
Miaka mitano mtu anakuwa bado hajaiva kiutumishi hivyo taasisi zitayumba
 
Itapunguza sana tatizo la ajira kila mwaka kunaweza kuwa na watu wapya zaidi ya laki watakoukuwa wanaingia kwenye mfumo wa ajira wa serikali huku wengine wengi wanaotoka serikalini wakiwa wanaingia kwenye mfumo wa wa sekta binafsi kupitia mafao yao kama mitaji.
 
Mkuu Marekani baadhi ya ajira ni kweli ni za mikataba lakini si nyingi sana lakini mishahara yake ni mikubwa sana lakini wengi hurenew hiyo mikataba pale pale sun hutafuta mkataba mwingine sehemu nyingine lakini kazi kama hizo ni chache sana.

Hiyo training waliyoipata na uzoefu kazini wataenda kuutumia kwenye sekta binafsi, hicho ndicho kinachofanyika Marekani ndio maana unaona watu wengi sana kwenye siasa na sekta binafsi ya Marekani ni wanajeshi wastaafu ila bado ni vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…