Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Miaka ya kustaafu ipunguzwe 45 mwisho mtu aachie ngazi sasa wazee wamekaza eti mpaka miaka 60 ni mingi sana 45 tu astaafu akiwa a nguvu zake akaanzishe mradi ili awaajir wengine na wengine warithi nafasi yake. pia ajira za mkataba n sawa sasa sirikali inaangaika mbowe tu
Why the limit?!?
Binafsi nadhani, if possible ajira ilingane na output.
Kama uko ofisini for more than 5 years iwe na maana mchango wako ni dhahabu, even at the retirement age uwe na faida sio tu ilimradi uliwahi kuhudumu serikalini.
Otherwise even in two years of your service to the nation ukionekana huna msaada kitaifa utolewe tu!