Ushauri kwa Serikali ya Tanzania, hususan Waziri wa Fedha kuhusu misamaha ya kodi


Lakini serikali ilipoanza kujenga hospitali zake , Kanisa likaanza kulalamika kwa nini serikali inajenga hospitali katika mikoa ambapo tayari Kanisa lina hospitali.

Yaani Kanisa linataka serikali isitimize wajibu wake wa wa kujenga hospitali ila lenyewe ndo lidominate huduma ya afya huku serikali ikiwamwagia mabilioni ya ruzuku kila mwaka. Huu ni upendeleo wa wazi.
 
Mimi sio mwana dini ila watu wadini hawatakiwi kusaiwa kodi kabisa tena napendekeza serikali ingeandaa fungu kwaajili yaluzuku lwamaa a hawa watu wamekua wajumbe bora sana waamani ila wabunge walipetu
 
Ilipigwa marufuku, haikukaa muda alipoingia wa kujimwambafai akairudisha, mara akaisimamisha, mara akairudisha akairudisha tena, ni ujinga tu.
 
Mfyuu...
Nakusihi andika na toa hoja zako kwa lugha ya kiungwana.

Vinginevyo utauvuruga mjadala na utakuwa wa kutukanana.

Maalim Faiza bado hajafikia makamo ya kuwa Bi. Kizee.
Mohamed Said fanya mpango kumuoa faiza foxy mke wa tatu maana wote ni wafia dini na wabaguzi mnatamani Tanzania wote wawe waislam . mshirikiane ili adhima yenu itimie.
 
Mimi naunga mkono kwenye kuondoa misamaha ya kodi kwa hao Wabunge. Ila siyo taasisi za kidini. Maana zina mchango mkubwa kwa serikali na wananchi kwa ujumla, kwenye utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii.
Taasisi za dini hazina mchango wowote,jamii inazidi kua ovu tu,uzinzi,ulawiti, wizi,ufisadi....toka misamaha imeanza zinafika trillions,hawa watu wa dini wanyonyaji,hapo bado wanakula sadaka,zaka,fungu la kumi...hawali kwa jasho
 
Kati ya Serikali na hizo taasisi za dini ni nani mwenye nguvu?
 
inamankusweke
unaposema
wanyonyaji,hapo bado wanakula sadaka,zaka,fungu la kumi...hawali kwa jasho

hivi unafikili kuanzisha kanisa mpaka lipate hao waleta zaka nijambo rahisi kunavitu vigumu sana msiwe mnasema wanakula bila jasho
 
Hatutaki taasisi za "kidini" zote ziwe na misamaha ya kodi, wizi mtupu.

Pesa zikalipe madeni aliyotuwachiwa mwendazake, tunalambwa mahakama za kimataifa kila siku kwa ujinga wake yule jamaa.
Kama kiongozi mmoja tu anaweza kufanya maamuzi mabovu kama hayo unayosema kafanya mwendazake, tuna tatizo kubwa zaidi kama nchi kuliko hiyo misamaha ya Kodi unayozungumzia.
 
Haya madai yako ya kanisa kulalamika sijui kama una ushahidi nayo, itapendeza ukiuweka ili twende sawa..

Lakini pia, pamoja na ushahidi wako kihitajika, bado kwangu hoja ya kanisa ina msingi, sioni haja kwanini serikali ikajenge pale ambapo huduma tayari inapatikana, wakati yapo maeneo mengine yasiyo na huduma, huo ulikuwa ujinga wa serikali.
 
Kama kiongozi mmoja tu anaweza kufanya maamuzi mabovu kama hayo unayosema kafanya mwendazake, tuna tatizo kubwa zaidi kama nchi kuliko hiyo misamaha ya Kodi unayozungumzia.
tatizo la Tanzani ana SAfrika ni hili:


Na hili:

 
Kwa mara ya kwanza umeleta hoja ya maana ya kizalendo. Hili la wabunge kupewa misamaha ya kodi, marupurupu kibao na mikopo ya mchongo ni mojawapo ya kansa kubwa katika nchi hii. Kamwe hatutakaa tuwe na siasa safi na maendeleo ya kweli kama tutaendelea kukumbatia mifumo ya kinyonyaji kama hii
Hatutaki taasisi za "kidini" zote ziwe na misamaha ya kodi, wizi mtupu.

Pesa zikalipe madeni aliyotuwachiwa mwendazake, tunalambwa mahakama za kimataifa kila siku kwa ujinga wake yule jamaa.
 
 
Mfyuu...
Nakusihi andika na toa hoja zako kwa lugha ya kiungwana.

Vinginevyo utauvuruga mjadala na utakuwa wa kutukanana.

Maalim Faiza bado hajafikia makamo ya kuwa Bi. Kizee.
Duh! Siku zote nilijua Maalim ni wanaume tu, kama ilivyokuwa kwa Maalim Seif Sharif Hamad! Kumbe hata akina mama nao wana sifa ya kuitwa Maalim!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…